Mkuu, mtu yeyote mwenye akili anapokutana na mtu mshari, humjibu kwa salama! mara nyingi mtu mwenye hekima hapayuki payuki bali huongea kauli thabiti kwa sauti ya chini na yenye utulivu mkubwa lakini huwa mara nyingi inakuwa nzito (kama anayezungumza ni mwanaume). Basi hapo utakuta watu wote kimyaaa! ni hivyo tu mkuu, kwa kawaida haki inaposimaa batili hujitenga kwa kuwa haki na batili daima hazichangamani.je! ni kwa vipi tunaweza kumtofautisha yule anayejua jambo dhidi ya yule asiyefahamu jambo?