ACT-Tanzania , Taarifa Mkononi mwako

ACT-Tanzania , Taarifa Mkononi mwako

mkuu wakati fulani ni bora ukasoma na kupita kama guest, kama wanavyofanya wageni wenzako! au wewe mwenyeji? lakini sasa kama wewe mwenyeji mbona unakuwa hivyo?

Hawa jamaa ni matapeli kikundi kidogo cha watapeli sasa wanataka kuibia watu.
 
mkuu wewe unaijua itikadi ya ACT-Tanzania, maana hatari iliyopo ni kwamba kama utakuwa unamuuliza mwenzako wakati nawe hujui, hata ikitokea ukidanganywa; itakuwa ni vigumu kugundua.Kama wewe tayari unaelewa jibu la swali ulilouliza, basi hamna shida kaka!
Namuuliza kwa kuwa amejinasibu kama anayeielewa vyema,
 
Tunaomba ACT muishi kadri ya msingi wa UWAZI ambao utawatofautisha na vyama vingine.

Kwa kuanzia wekeni wazi mambo ya pesa zilizogharimia usajili.

Nani walichangia, na kwa kiasi gani, na zilitumikaje.

UWAZI mkiuweka katika matendo mtatupata wanachama wengi.

Hii muhimu.
 
Hiki chama mlichemka mlipoanza kujenga msingi wa uhalali wenu kwa ku-attack Chadema.

I am not a politician but I know one when I see one. Wote ni wale wale wenye njaa tuu.

Baadala ya kujenga hoja mnakuja na nyimbo zile zile zilizochoka za kuattack personalities. My point is, Chadema might be weak and a failure in its agenda (by the way, I dont agree with many of their approach to politics). Lakini hiyo haiwahusu. Kikubwa kwenu ni kuhakikisha wananchi wanaelewa mnachosimamia. Kusimama jukwaani na kuanza kuwatukana CHADEMA naona ni ukosefu wa fikra. Na I suspect you are simply marceneries paid to spoil things.

Mimi Masanja naona hiki chama ni reactionary. Just losers kwenye vyama vingine. Basically you are trying to show Chadema na wengineo kwamba na nyinyi mna chama kwa hiyo hata kama waliwafukuza..you can as well establish your own party. No roots. No values..simply to confuse us poor wananchi.

I will be pleasantly surprised if you prove me wrong.

Masanja

Masanja unaakili sana
 
Ofisi zenu ziko wapi kwa hapa Shinyanga? Maana hivi vyama vya mtandaoni kwenye Facebook na twitter watanzania wengi hatujavizoea.
 
Tunawatakia heri kwenye safari yao wafanye siasa za kusaidia watu siyo kama za chadema za kuuwa watu badala ya kuwasaidia na kuwatumikia.
 
wadau mwenye akili timamu wacha tusapoti ACT ni tumaini jipya litu tuwaache vipofu wanafiki wakabila wakokotane
 
Tunaelewa kuwa uzi Huu ameutuma zzk,hivyo sisi hatupo tayari hâta kusoma hiyo e-mail tenu ya kifisadi.
 
wadau mwenye akili timamu wacha tusapoti ACT ni tumaini jipya litu tuwaache vipofu wanafiki wakabila wakokotane

Kwa hiyo wasiosapoti ACT Hawana akili timamu!?

By the way, tunaomba UWAZI pesa za mchakato wa Usajili.

Sera na msingi wa Uwazi zitumike kwa vitendo.
 
Mkuu, mtu yeyote mwenye akili anapokutana na mtu mshari, humjibu kwa salama! mara nyingi mtu mwenye hekima hapayuki payuki bali huongea kauli thabiti kwa sauti ya chini na yenye utulivu mkubwa lakini huwa mara nyingi inakuwa nzito (kama anayezungumza ni mwanaume). Basi hapo utakuta watu wote kimyaaa! ni hivyo tu mkuu, kwa kawaida haki inaposimaa batili hujitenga kwa kuwa haki na batili daima hazichangamani.je! ni kwa vipi tunaweza kumtofautisha yule anayejua jambo dhidi ya yule asiyefahamu jambo?


Tunaomba ufafanuzi wa msingi wa UWAZI.
 
Hiki chama kina julikana huku Jf pekee mtaani si dhani kama kuna anaye kijua hata mimi ndo leo nakisikia
 
Back
Top Bottom