Hiki chama mlichemka mlipoanza kujenga msingi wa uhalali wenu kwa ku-attack Chadema.
I am not a politician but I know one when I see one. Wote ni wale wale wenye njaa tuu.
Baadala ya kujenga hoja mnakuja na nyimbo zile zile zilizochoka za kuattack personalities. My point is, Chadema might be weak and a failure in its agenda (by the way, I dont agree with many of their approach to politics). Lakini hiyo haiwahusu. Kikubwa kwenu ni kuhakikisha wananchi wanaelewa mnachosimamia. Kusimama jukwaani na kuanza kuwatukana CHADEMA naona ni ukosefu wa fikra. Na I suspect you are simply marceneries paid to spoil things.
Mimi Masanja naona hiki chama ni reactionary. Just losers kwenye vyama vingine. Basically you are trying to show Chadema na wengineo kwamba na nyinyi mna chama kwa hiyo hata kama waliwafukuza..you can as well establish your own party. No roots. No values..simply to confuse us poor wananchi.
I will be pleasantly surprised if you prove me wrong.
Masanja