mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,152
kweli kabisa ndugu, usiwape namba yako kabisa maana ukiwapa namba yako ya simu watakuibia simu yako, halafu ukiwapa parua pepe watakuibia E-mail yako. Yaani ni hatari sana! usikubali kabisa mkuu!
nawapenda sana Act lakini kuna mambo yanantia shaka? Kwa nini mnashabikiwa sana na ccm? nyie ni chama cha upinzani kweli au mpo kuisadia ccm? halaf kwa nini viongozi wemu na baadhi ya mashabiki wenu ni wale waliofukuzwa chadema? viongozi wenu wataaminikaje wakati wana kashfa inayojulikana na watz karibia wote? ujingaaliyofanya Kitila umemwaibisha sana hata ya wasomi wenzake wamemshangaa na kutokuamini kitila anaweza kuwa so low.pmbona chama chemu hakionekani kimeanzishwa kwa nia njema? Mna kazi kubwa sana kujisafisha mbele ya umma. Hakuna kitu kibaya km kuanzisha chama ambacho viongozi wake tayari wana kashfa na hawaaminiki mbele ya umma. maana yake badala ya kuanza na sera mbadala mnaanza na kujisafisha!