logician mkuu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 792
- 221
Una mawazo mazuri sana, tambua tunasoma na kuheshimu mawazo yako.Dah! kweli! heri yao wale wenye shibe tena shibe ya milele, yaani wao hawahisi njaa milele maana matumbo yao yana ukuta maalum wenye 'Alloy'. Yaani watu wenye njaa ni shida ndio maana tunawashauri watu wafanye utaratibu wasiwe na njaa na hii pia ni nzuri kwa ajili ya usalama wa chakula (food security) nchini.
Mimi binafsi nategemea kusoma falsafa, mipango na mikakati halisi inayotekelezeka ndani ya ACT ambayo italeta tofauti kwa wananchi wa Tanzania.
Mpaka sasa bado sijayapata, na sijakata tamaa.