Aisee! kweli jambo usilolijua ni sawa na ............Hamna maana nyie wakigoma
Inawezekana kawapa namba yake ya simu, wakamuibia simu yake pengine ndio maana analalamika.Sidhani kama angeweza kulalamika bila sababu.Umeambiwa kama hutaki achaaa zuzzuuuu
act ni upumbavu mtupu,bora uungane na mrema kulko hii kitu ya wasaliti
Kila ajaye kwa shari,
Kwa hakika Mungu aijua vyema yake siri,
Na ana uwezo wa kuivunja yake dhamiri,
Na wala asiweze kusimama!
Fungueni Website bwana na Blog aka globu! Mbona nafuu sana! Email za yahoo na gmail zinashusha hadhi!
Uroho wa madaraka na tamaa ya fedha ndio msingi wenu.!!
act ni upumbavu mtupu,bora uungane na mrema kulko hii kitu ya wasaliti
Tatizo wafuasi Wa ACT ndio hao hao Wa CCM.....!!!Zitto anajiharibia sanaaaa
Asante sana ACT kwa kuja kitofauti,nawatabiria makubwa katika siasa za Tanzania,itikadi yenu na falsafa ya kusimama upande wa wanyonge hakika ni jawabu kwa matatizo ya watanzania.
sasa watanzania wataamka na ACT,watashinda na ACT na watalala na ACT katoka simu na computer zao.
Chapeni kazi,ccm na chadema wapo kwaajili ya maslahi yao na familia zao.
ACT kupata budget mpaka Wasira, Banana (Mzee wa matembo) na Nape wakae, wawape fedha za kuzunguka!! Wanafiki hao!!
Ndugu, mwana ACT-Tanzania au Mpenzi wa ACT-Tanzania au Mtanzania mzalendo, tunapenda kukuasa kwamba ACT-Tanzania kinajijenga na kujiimarisha katika misingi ya ustaarabu ,ustahimilivu na uungwana.nyau we....
Una ushahidi kwa ukiongeacho??? Kama act ina-share wafuasi na ccm kwa mtizamo wangu itakua ni advantage kubwa sana.
Kwan hata nyie daily mko busy kuwashawishi wafuasi wa vyama vingne wawaunge mkono hususani ccm.
Kwa mtaji huo huoni kama act wameanza na mtaji mzuri kwa kupata wafuasi wengi kutoka kwenye chama chenye wanachama wengi.
Kuna mtu kasema ACT na CCM ni ndugu wa damu!
Dah! kweli! heri yao wale wenye shibe tena shibe ya milele, yaani wao hawahisi njaa milele maana matumbo yao yana ukuta maalum wenye 'Alloy'. Yaani watu wenye njaa ni shida ndio maana tunawashauri watu wafanye utaratibu wasiwe na njaa na hii pia ni nzuri kwa ajili ya usalama wa chakula (food security) nchini.Tumechoka nyie waganga njaa tu.
Njoo uwazuie na huku mitaani, ACT Tanzania tunayokutana nayo mitaani ni aina ya huyo abakorakamo. ABAKORAKAMO ndie anaongoza kuwatetea humu, wakati huo huo anatetea na CCM!!! Coincidence or design?Ndugu, mwana ACT-Tanzania au Mpenzi wa ACT-Tanzania au Mtanzania mzalendo, tunapenda kukuasa kwamba ACT-Tanzania kinajijenga na kujiimarisha katika misingi ya ustaarabu ,ustahimilivu na uungwana.
Hivyo basi kwa kupitia kwako, tunashauri kujiepusha kumjibu mtu matusi na tunashauri kuwa wavumilivu tunapotukanwa kwani viongozi wazuri ni wale wanaoweza kuvumilia.Ukiona unapata jazba na unatamani kujibu vibaya, ni bora ukaamua usijibu kabisa kwani ACT-Tanzania imekusudia kufundisha siasa za 'Level' ya juu sana.