Mwl. Kaijage
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 216
- 214
Poleni chadema na Hongereni ACT.
Baada ya chama cha Chadema kushindwa
propaganda ya kumchafua Mzalendo
namba moja Zitto zuberi Kabwe kuwa
anatumiwa na ccm,waliamua kuwatumia
waandishi wa Tanzania Daima pamoja na
wazee mashuhuri ili kumbakisha chadema.
Hofu kubwa ya chadema ni kuhofia endapo
Zitto atajiunga na chama cha Kizalendo cha
ACT,basi itakuwa mwisho wa chadema.
Pamoja na jitihada za kumbakisha chadema
Zitto alitoa Masharti Magumu ambayo
chadema walishindwa kuyatekeleza.
Moja ya sharti la Zitto kubaki chadema ni
wale waliomzushia tuhuma kuwa
anatumiwa kuhujumu chadema basi warudi
kwenye vyombo vya habari na kukanusha
maneno yao(Sharti gumu)
Sharti lingine ni kuwa yupo tayari kubaki
chadema endapo tu wapiganaji wake
watarudishwa kwenye chama,(Prof
Mkumbo,Mwigamba ,na wengine wengi)
Chadema baada ya kushindwa
kumshawishi,wakaja na plan B.
Katika plan hii waliamua kumrubuni
Mwenyekiti wa muda Bw.Kadawi Limbu ili
asikubali kuitisha uchaguzi wa chama na
kisha akiendeshe chama kwa maelekezo
toka makao makuu ya chadema (Ufipa)
Limbu kwa kushawishiwa na pesa kidogo
zilizoletwa na mtu anaeitwa Saidi
Kubenea,akaapa kuwashughulikia wote
wanaodai uchaguzi ndani ya chama
Akamfukuza Katibu Mkuu wa chama na
viongozi wandamizi wa chama bila kufuata
katiba wala taratibu za chama.
Lengo ni kuhakikisha chama
kinasambaratika ili kumkatisha tamaa Zitto
Kabwe ambae muda wowote atatua ACT
kujenga demokrasia kwa vitendo.
Hatimae Plan B nayo imeshindwa,Maana
mission kupewa mtu mwenye shule ya
Form four (Kubenea)kukabiliana na Think
tank za ACT kama Prof Mkumbo,Zitto na
Mwigamba ni sawa na kumtisha kuku ndoo
ya maji.
Kubenea kumshinda Prof Mkumbo ni sawa
na Kabati kuangushwa na Mende.
Nilitegemea tu kuwa plan B nayo
ingeshindwa maana akili ndogo haiwezi
kuishinda akili kubwa.
Kushindwa kwa mipango hiyo dhidi za Zitto
Kabwe ,kumewagharimu mamilioni ya fedha
chadema ,pamoja na hayo yote chadema
wameibuka na plan C.
Hii nikumwaga pesa kwa wahariri wa
vyombo vya habari ili kuhakikisha habari
chanya za Mzalendo Zitto hazitolewi
kwenye vyombo vya habari.
Lakini pamoja jitihada hizo za chadema
kumhujumu Zitto,lakini Zitto anazidi
kuchanja Mbuga.
Ni katikati ya zengwe hilo ,Zitto alihutubia
mkutani Mkubwa huko mkoani Mtwara kwa
kushirikiana na Mchumi wa Dunia Prof
Lipumba.
Lakin kwa upande wa chama cha ACT-
Tanzania imekuwa neema,chama kimepata
coverage ya kutosha katika vyombo vyote
vya habari.
Chama kimejitangaza bila kutumia
gharama,chakufurahisha nikuwa
wamaoitangaza ACT ni chadema.
Huenda kutokana na uelewa mdogo wa
viongozi wao hawajagumdia kama wanazidi
kuifanya ACT kufahamika mbele ya macho
yawanyonge.
Hapa ndipo unapokubali kuwa chama
kikiwa na viongozi makini kazi ya
kurangaza chama huwa rahisi.
Ni ukweli usiopingika kuwa chadema
ilitangazwa na CCM baada ya kuwa
inasemwa kila ccm walipohutubia.
Pia ni ukweli usiopingika kuwa ACT
inatangazwa na chadema
Hongereni ACT kwa kupata covarage
kwenye vyombo vya habari kwa kutumia
gharama za chadema.
Asanteni chadema kwa kuijenga ACT
kupitia magazeti yenu ya Tanzania Daima
na Mawio.
Baada ya chama cha Chadema kushindwa
propaganda ya kumchafua Mzalendo
namba moja Zitto zuberi Kabwe kuwa
anatumiwa na ccm,waliamua kuwatumia
waandishi wa Tanzania Daima pamoja na
wazee mashuhuri ili kumbakisha chadema.
Hofu kubwa ya chadema ni kuhofia endapo
Zitto atajiunga na chama cha Kizalendo cha
ACT,basi itakuwa mwisho wa chadema.
Pamoja na jitihada za kumbakisha chadema
Zitto alitoa Masharti Magumu ambayo
chadema walishindwa kuyatekeleza.
Moja ya sharti la Zitto kubaki chadema ni
wale waliomzushia tuhuma kuwa
anatumiwa kuhujumu chadema basi warudi
kwenye vyombo vya habari na kukanusha
maneno yao(Sharti gumu)
Sharti lingine ni kuwa yupo tayari kubaki
chadema endapo tu wapiganaji wake
watarudishwa kwenye chama,(Prof
Mkumbo,Mwigamba ,na wengine wengi)
Chadema baada ya kushindwa
kumshawishi,wakaja na plan B.
Katika plan hii waliamua kumrubuni
Mwenyekiti wa muda Bw.Kadawi Limbu ili
asikubali kuitisha uchaguzi wa chama na
kisha akiendeshe chama kwa maelekezo
toka makao makuu ya chadema (Ufipa)
Limbu kwa kushawishiwa na pesa kidogo
zilizoletwa na mtu anaeitwa Saidi
Kubenea,akaapa kuwashughulikia wote
wanaodai uchaguzi ndani ya chama
Akamfukuza Katibu Mkuu wa chama na
viongozi wandamizi wa chama bila kufuata
katiba wala taratibu za chama.
Lengo ni kuhakikisha chama
kinasambaratika ili kumkatisha tamaa Zitto
Kabwe ambae muda wowote atatua ACT
kujenga demokrasia kwa vitendo.
Hatimae Plan B nayo imeshindwa,Maana
mission kupewa mtu mwenye shule ya
Form four (Kubenea)kukabiliana na Think
tank za ACT kama Prof Mkumbo,Zitto na
Mwigamba ni sawa na kumtisha kuku ndoo
ya maji.
Kubenea kumshinda Prof Mkumbo ni sawa
na Kabati kuangushwa na Mende.
Nilitegemea tu kuwa plan B nayo
ingeshindwa maana akili ndogo haiwezi
kuishinda akili kubwa.
Kushindwa kwa mipango hiyo dhidi za Zitto
Kabwe ,kumewagharimu mamilioni ya fedha
chadema ,pamoja na hayo yote chadema
wameibuka na plan C.
Hii nikumwaga pesa kwa wahariri wa
vyombo vya habari ili kuhakikisha habari
chanya za Mzalendo Zitto hazitolewi
kwenye vyombo vya habari.
Lakini pamoja jitihada hizo za chadema
kumhujumu Zitto,lakini Zitto anazidi
kuchanja Mbuga.
Ni katikati ya zengwe hilo ,Zitto alihutubia
mkutani Mkubwa huko mkoani Mtwara kwa
kushirikiana na Mchumi wa Dunia Prof
Lipumba.
Lakin kwa upande wa chama cha ACT-
Tanzania imekuwa neema,chama kimepata
coverage ya kutosha katika vyombo vyote
vya habari.
Chama kimejitangaza bila kutumia
gharama,chakufurahisha nikuwa
wamaoitangaza ACT ni chadema.
Huenda kutokana na uelewa mdogo wa
viongozi wao hawajagumdia kama wanazidi
kuifanya ACT kufahamika mbele ya macho
yawanyonge.
Hapa ndipo unapokubali kuwa chama
kikiwa na viongozi makini kazi ya
kurangaza chama huwa rahisi.
Ni ukweli usiopingika kuwa chadema
ilitangazwa na CCM baada ya kuwa
inasemwa kila ccm walipohutubia.
Pia ni ukweli usiopingika kuwa ACT
inatangazwa na chadema
Hongereni ACT kwa kupata covarage
kwenye vyombo vya habari kwa kutumia
gharama za chadema.
Asanteni chadema kwa kuijenga ACT
kupitia magazeti yenu ya Tanzania Daima
na Mawio.