ACT-Tanzania: Challenges and Opportunities! (SEHEMU YA KWANZA)

ACT-Tanzania: Challenges and Opportunities! (SEHEMU YA KWANZA)

Wana nafasi nzuri iwapo watafanya siasa za kujenga hoja na wananchi wakubali kuunga mkono hoja zenye mashiko. Pia nadhani iwapo watajenga hoja chama tawala huenda kikaona aibu na kukubali kuachia madaraka kwani hakitakuwa na hofu ya future yao hata kwa makosa waliyoyafanya kwani nadhani kuna uwezekano wa chama hiki kuleta muafaka wa kitaifa tofauti na sasa kwa kile kinachoendelea kati ya ccm na cdm.
Mkuu unachokisema ni kweli. kuna hata kautaratibu ka baadhi ya watu wanathubutu kusema CCM wakitoka madarakani tukiingia sisi watatukoma; sasa siasa hizi za visasi zinafanya hata kwa mfano ccm wakiona wanaelekea kushindwa, wafanye siasa za kufa na kupona kwa kuogopa visasi.Siasa za visasi hazina tija hata kidogo la msingi ni kujenga nchi na kujenge jamii tengemavu.Watu wanasahau alicho kifanya Mzee Mandela baada ya uhuru wa S.A.
 
Mamlaka na madaraka yote yatatoka kwa wananchi, sio kwa mkuu wa wilaya, Rais, mbunge, ACT-Tz, CCM, Chadema, NCCR-Mageuzi, Bunge, au pengine popote. Katiba ya nchi (na Rasimu ya Warioba ukitaka) imeeleza mwananchi ni nani.

Jibu swali....mwananchi ni nan? Mbona unazunguka zunguka?
 
Act ndyo nini upuuzu huo ni ccm b kawadanganyeni makapurwa sio wajanja hadanganywi mtu hapa mbumbu hawako humu mzee mtoa mada oga ulale huna jipya hakuna wafanya biashara wa siasa hapa mzee kajipange upya huna kazi wewe kibaraka
 
Kashfa namba moja duniani ni kuwa puppet. Hawa wapuuzi wanazunguka huko na huko kwa niaba ya mabwana zao kushawishi wananchi kukataa mabadiliko yaliyoasisiwa na wananchi wenyewe. Taarifa za mitandao zinaonesha hivyo.
Huo mimi nauona ni wivu tu huna hoja wala data kuthibitisha hichi unachosema.
 
Act ndyo nini upuuzu huo ni ccm b kawadanganyeni makapurwa sio wajanja hadanganywi mtu hapa mbumbu hawako humu mzee mtoa mada oga ulale huna jipya hakuna wafanya biashara wa siasa hapa mzee kajipange upya huna kazi wewe kibaraka
Acheni ACT wafanye siasa mimi ninavyojua ccm b ni ukawa.
 
Hiki ni chama cha nini hasa? Kiuhalisia sijawahi kukisikia. Nakiona mitandaoni tu.
 
Hiyo ni ccm ndogo km walishindwa kutetea ili kuivunja mikataba mibovu zidi ya walalahoi ni jambo gn jipya wanalo..nafikiri hakuna.
 
act ni tawi la ccm,acheni kuwazuga wadanganyika! Huu ni wakati wa kuelezana ukweli!
 
Ni ajabu kwamba hawa ACT-Tz wanashirikiana na baadhi ya watawala kutaka kupindua maoni ya wananchi juu ya uendeshaji wa nchi yao. Chama cha aina hii huwezi kusema eti "hakina kashfa". Kama nilivyosema, usaliti (kushiriki kupindua maoni ya wananchi) ni kashfa mbaya zaidi pengine kuzidi hata 0717289417 ufisadi na uchafu mwingine.

Nadufurai sana unvyo uliza mada zako kwanza tu nianze mwananchi ndio kila kitu ndio mwenye mamlaka ya kumueka mtu madarakani na kumtowa ndio humchaguwa yule anaechaguwa wa kuu wa wilaya mkowa

Nije kwenye swli lako hapo juu ACT ni chama ambacho hakija shiriki chaguzi za aina yoyote iwe ya kijiji s/mtaa au udiwani na bado hakijafanya mkutano mkuu wa chama chake bado kinadurufu katiba yake kabla ya kuipeleka kwenye mkutano mkuu halafu waitangaze na kuwa katiba mama ya chama


Unaposema act kinashirikiana na watawala kupinduwa maoni ya wananchi ni maoni gani hayo mkuu ambao wananchi wamepitisha act ikayapinga? Jb kabla ya kuendeleya mada
 
Kwa uandishi huu na elimu yako uliyonayo inashangaza kuwa unataka kufisadi time kwa kujadili chama cha mamluki na wanafiki,please niambie hoja gani Zitto aliyowahi kuianzisha na akaisimamia hadi mwisho??! Mabilioni ya Uswisi- filamu imeishia wapi??!

Mgodi wa Buzwagi??!! Zitto alijengewa shule na kupewa mabati jimboni kwake na kampuni ile ile!!! Akaingizwa kwenye kamati ya Bomani na wakaongeza 1% ya mrahaba!!

Sakata la nishati na mitambo ya Buzwagi??!! Zitto alishauri Tanesco inunue mitambo ile ili hali mmiliki alikuwa ni Rostam Aziz na Zitto na Rostam na January Ma-rope ni chanda na dole!!

Huyu Zitto ni Mlaghai tu na kibaraka wa wenye pesa na madaraka anayejificha katika siasa kwa kujifanya mzalendo kumbe wapi!!!

Kitila Mkumbo nae ni mamluki tu kwani ipo wazi huwezi kupewa idara kuu ya Elimu ya juu na Serikali ya CCM kama wewe ni mpinzani wa kweli,rejea wadhifa wa Kitila pale DUCE then njoo kwa kina Luhanga na Bana pale UDSM then endelea IFM,TIA,AIA etc

Na umamluki wake unathibitika kwa kula njama dhidi ya CHADEMA ili hali akiwa ni mshauri wa CHADEMA!! KWA nini hakutumia nafasi yake ya ushauri kueleza hayo mapungufu bila kuandaa njama za kupindua??!!

Naamini wameanzisha CHAMA kipya kama mradi mpya tu kuelekea 2015 ili kugawa kura za CHADEMA!! Kwa kuwa kuingia CCM ingethibitika rasmi habari za Zitto kuwa ndoano yao na ingeibuka pasipo samaki ni hasara kwa CCM kwa pesa na mbinu zao,wakaamua kwenda kuiepeleka ndoano yao kuvua sehemu mpya!!

Lengo ni lile lile la kufanya kazi ya CCM huku wakipewa fursa za kukuzwa kisiasa na CCM na mathalani sasa ACT inatajwa takes bungeni hata na Pinda na masipika ili kutoa airtime kwa mradi wao na lengo naona sasa ni kugawa kura za kanda ya Ziwa!!

ACT ni TLP mpya kwa kuwaleta wakina Mrema wapya kutoka kanda mpya kuiba kura kwani Mrema kashaisha na Kanda ya kaskazini CCM ni totally defeated kasoro Tanga!!

Mada imeharibika kwa huyu mjinga kuleta mada ya kashfa ya kumtaja mtu na kusahau mada iliopo ubaoni ni kuweleze tu zzk ndio mwanasiasa pekee alieweza kuchangia mada na ikainufaisha nchi yetu kama ww unabisha nitajie mwanasiasa wa upinzani alieleta hoja na ikafanikiwa zaidi ya hoja zinakuwa nyingi halafu zinaishiya njiani

Swala la buzwagi lilipitishwa na kutungiwa sheria na leo tunaona mtunda yake

Swala la madini nchi yetu ilikuwa hainufaiki na chochote kwenye madini yetu sasa tunaanza kuona angalau faida ya madini huo ni mchango kutoka kw zzk

Swala swla la IPTL hilo zzk alilalamika sana serkali ipitishe sheria tanesco wanunuwe mitambo ile tena hadi kwenye vyombo vya habari amefikisha malalamiko yake bola hivyo italeta hasara kwa tanesco kweli sasa tunaona hasara inayotokeya
 
Kwa uandishi huu na elimu yako uliyonayo inashangaza kuwa unataka kufisadi time kwa kujadili chama cha mamluki na wanafiki,please niambie hoja gani Zitto aliyowahi kuianzisha na akaisimamia hadi mwisho??! Mabilioni ya Uswisi- filamu imeishia wapi??!

Mgodi wa Buzwagi??!! Zitto alijengewa shule na kupewa mabati jimboni kwake na kampuni ile ile!!! Akaingizwa kwenye kamati ya Bomani na wakaongeza 1% ya mrahaba!!

Sakata la nishati na mitambo ya Buzwagi??!! Zitto alishauri Tanesco inunue mitambo ile ili hali mmiliki alikuwa ni Rostam Aziz na Zitto na Rostam na January Ma-rope ni chanda na dole!!

Huyu Zitto ni Mlaghai tu na kibaraka wa wenye pesa na madaraka anayejificha katika siasa kwa kujifanya mzalendo kumbe wapi!!!

Kitila Mkumbo nae ni mamluki tu kwani ipo wazi huwezi kupewa idara kuu ya Elimu ya juu na Serikali ya CCM kama wewe ni mpinzani wa kweli,rejea wadhifa wa Kitila pale DUCE then njoo kwa kina Luhanga na Bana pale UDSM then endelea IFM,TIA,AIA etc

Na umamluki wake unathibitika kwa kula njama dhidi ya CHADEMA ili hali akiwa ni mshauri wa CHADEMA!! KWA nini hakutumia nafasi yake ya ushauri kueleza hayo mapungufu bila kuandaa njama za kupindua??!!

Naamini wameanzisha CHAMA kipya kama mradi mpya tu kuelekea 2015 ili kugawa kura za CHADEMA!! Kwa kuwa kuingia CCM ingethibitika rasmi habari za Zitto kuwa ndoano yao na ingeibuka pasipo samaki ni hasara kwa CCM kwa pesa na mbinu zao,wakaamua kwenda kuiepeleka ndoano yao kuvua sehemu mpya!!

Lengo ni lile lile la kufanya kazi ya CCM huku wakipewa fursa za kukuzwa kisiasa na CCM na mathalani sasa ACT inatajwa takes bungeni hata na Pinda na masipika ili kutoa airtime kwa mradi wao na lengo naona sasa ni kugawa kura za kanda ya Ziwa!!

ACT ni TLP mpya kwa kuwaleta wakina Mrema wapya kutoka kanda mpya kuiba kura kwani Mrema kashaisha na Kanda ya kaskazini CCM ni totally defeated kasoro Tanga!!

Mhh...act-Tanzania ishaanza kuwatoa watumapovu kiasi hiki!!...
Mmeshaambiwa ni mtt na ana siku kumi..embu muachen looh
 
Hata nikibaki mimi na wasaliti wa ACT, hawawezi kuchua nchi. Tangu lini na wapi msaliti wa wananchi amefanikiwa?? mpinzani wa wapinzani ni nani ktk dunia ya leo???? marekani anasema kama hauko upande wetu wewe ni adui yetu.
 
Nilishawahi kuleta uzi mzima hapa nikihoji hivi ni nani mwananchi hasa! Hakuna aliejibu zaidi ya wachangiaji wengi kusema nao wanashangaa! sasa nawe nakuuliza tena kabla ya kuanza kuishughulikia hoja yako kwa undani; kwa uelewa wako wewe mwananchi ni nani hasa? je wewe ni mwananchi? je mimi ni mwananchi? je wana ACT-Tanzania ni wananchi? je wana CUF wananchi? je Mkuu wa wilaya ni mwananchi? je polisi ni mwananchi? Mwananchi ni nani hasa? na ukijibu swali hili; ikiwa una nia njema. nasi tutaendelea kuifanyia kazi hoja yako na kuona ukweli na mantiki yake

nakushukuru sana mkuu kwa uwezo wako wa kufikiri. Ujue watu wengi ndani ya nchi yetu hii wameingia kwenye siasa bila hata kujua siasa ni nini, wanajikuta wanaingia kwenye mkumbo wa kushabikia siasa za majungu na za kuchafuana wakiamini ndio upinzani wenyewe. Leo hii hata viongozi wao waju wameshatambu udhaifu huo wa wafuasi wao, hata wakizusha tuhuma zozote kwa mpinzani wao wanategemea kupata support kubwa kutoka kwa wafuasi wao. Na viongozi hawa wanafanya hivyo kwakuwa wanajua vijana wengi ni washabiki tu ni wavivu wa kufikiri na kushindwa kujua ukweli ni upi kwa ushahidi na uongo ni upi. Nakushukuru mkuu betlehem.
 
Alaah! hebu ifafanue vizuri hii ndugu yangu! maana inaonekana una uelewa mzuri wa kile unachokiongea.kwa hiyo kimsingi kitakuwa kimesajiliwa bila katiba vile vile au?au kitakuwa kina katiba lakini kwa kuwa wewe hujaiona; basi kimsingi itakuwa haipo? kwani mkuu kwa kawaida katiba za vyama vya siasa hupatikana je kitaalam na uhalali wake wa kisheria na kisiasa hupatikana je na wakati gani, na ni wakati gani hasa inatakiwa ianze kutumika kitaalam? maana inaonekana wewe ni mzuri sana kwenye mambo haya!

Kisha baada ya hapo, turudi kwenye mada ya msingi hapo juu kama una la kuchangia maana nimeona kwenye comment yako ya awali umependekeza kwamba; ni bora kama mtu hana cha kuchangia akaacha na kusoma michango ya wenzake, wazo ambalo kimsingi ni zuri na mimi nilikubaliana nalo..

umejibu inavyotakiwa, hawa watu wanasikia story vijiweni na kuaminishwa then wanakuja kusumbua wanao jua,
 
Kaka umeuliza mwananchi ni nani na bahati nzuri Katiba imetoa maana ya neno "mwananchi" kwamba ni yule ambaye (kwa umoja wao) madaraka na mamlaka ya uendeshaji wa nchi hutoka kwao na hukabidhi mamlaka haya kwa wachache (watawala) ili waendeshe nchi kwa niaba yao (wananchi).

Ni ajabu kwamba hawa ACT-Tz wanashirikiana na baadhi ya watawala kutaka kupindua maoni ya wananchi juu ya uendeshaji wa nchi yao. Chama cha aina hii huwezi kusema eti "hakina kashfa". Kama nilivyosema, usaliti (kushiriki kupindua maoni ya wananchi) ni kashfa mbaya zaidi pengine kuzidi hata ufisadi na uchafu mwingine.

mkuu naomba ufafanuzi, hawa ACT wameshirikije kupindua maoni ya wananchi? Mawazo gani hayo hawa ACT wanawasaliti wananchi?
 
Upinzani wa kweli utapatikana tu pale wapinzani wote watakapojitambua kwamba ni wapinzani! Kuanzisha vyama lukuki wala hakutaisaidia nchi hii. Vitaanzishwa vingi lakini mwisho wa siku waanzishaji wanaishia kuwa wachumia tumbo, kila mtu na chake. NRA, UMD, NLD, UPDP, TADEA, Demokrasia Makini, FORD, CHAUSTA, TPP, nk vipo wapi?

Kama kweli wapinzani wote wana dhamira moja kwa nini wasijipange wakaungana na kuwa kitu kimoja.

CHADEMA walijifanya vipofu eti peke yao ndio wapinzani, wakiamini ya kwamba wao tu ndio wanaweza kuleta upinzani wa kweli na kutwaa dola; wakawaona wapinzani wenzao si kitu. Wakajimilikisha upinzani.

Leo naona wanazinduka na kuona kwamba wanawahitaji wenzao. Huo pia ni unafiki au kukosa maono. Kwa hiyo hawakufikiri mwanzo kwamba wanawataka wenzao au wanawaghilibu tu?

Ghiliba, ubinafsi, uzandiki, utumiwaji na uroho unavimaliza vyama vya upinzani nchini.



Utungaji wa Katiba mpya ni fursa mujarabu ya kuupatia upinzani nguvu lakini naona kama wanataka kuimwaga hii fursa.

Wakati tunadai katiba miaka ile ya 1990 (wengi wa UKAWA hakuwepo labda Mbatia wakati huo akiwa kijana mdogo na Mabere Marando) tukiongozwa na akina Mabere, Mapalala, Kasanga Tumbo nk hatukuwa tunadai serikali tatu sisi wengine tulikuwa tukidai vyama vingi, Tume Huru ya Uchaguzi, Haki za Binadamu kuidhinishwa kinagaubaga kwenye Katiba na kuhimizwa kutunzwa kwa mujibu wa Katiba pamoja na Rais wa Jamhuri kupunguziwa Madaraka lukuki aliyonayo kwa sasa. Mtikila yeye pamoja na hayo alikuwa akiidai Tanganyika na wala si serikali tatu; bali kila nchi iwe kivyake.

Leo tunakuja kuibua suala la Serikali tatu na linakuwa ndilo suala kuu, tumesahau masuala hayo muhimu. Kwa kulazimisha serikali tatu, tunataka kukosa fursa hizi nyingine ambazo ni muhimu kufika tunakokutaka.

Tupate Tume huru, twende kwenye uchaguzi, wapinzani kama wana nguvu ya kushinda kwenye uchaguzi huru na wa haki washinde. Baada ya hapo wakiwa madarakani basi waangalie muundo wa serikali wanaoutaka, si basi.

Kama CCM wanakwamisha serikali tatu, tupate Tume Huru, uchaguzi uwe huru, wapinzani washinde CCM wawe pembeni, turudi kwenye muundo wa serikali, hapo sasa tutaamua kama ni moja, mbili ama tatu! Kwisha. Lakini hili la kukimbia kwa sababu ya suala la muundo wa serikali na kuachana na fursa muhimu ambazo tumekuwa tukizipigania miaka nenda rudi, naona ni usaliti vilevile.

Tupate Katiba itakayoruhusu vyama kuungana na kuingia kwenye uchaguzi kama wenzetu Wakenya wanavyofanya. Tupate Katiba ambayo ukianzisha chama hata baada ya wiki moja uruhusiwe kwenda kwenye uchaguzi, tupate Katiba inayoruhusu mgombea binafsi ili kuepukana na udikteta wa vyama. Hawataki!!!
Wanataka serikali tatu, kama hazipo tukose fursa hizo nyingine ambazo ni muhimu!!!
 
Chadema naona mnatokwa na povu lkn jueni act ni kiboko yenu.
 
betlehem,


ACT ni Mkusanyiko wa Wasaliti na wahaini waliokosa Fursa ya kutekeleza usaliti wao ndani Vyama ambavyo ni tishio kwa Chama Tawala.
Wasaliti hawa ambao walishindwa kutumia taratibu rasmi kwenye vyama vyao kutaka kutekeleza mipango yao, wamekuwa wakitumia njia za uani ambazo ni haramu katika kutekeleza usaliti huo, watu hawa pia hujulikana kama Wasaliti waoga.
Baada ya jaribio la ku fail na wengi wao kuishia kutimuliwa, plan B ilikuwa ni kuanzisha Vyama vingine kutaka kujaribu a second attempt ya usaliti wao nje ya hivyo vyama.
Lakini cha kushukuru Mungu ni kuwa watu wanaojitambua wamekipuuza hiki Chama na kujikuta kikibakiwa na wanachama wale wale waliotimuliwa kwenye vyama vyao kwa kutaka kuleta usaliti.
Watu kama nyie akina betlehem ni Mavuvuzela tu ya wale wasaliti wakuu ambao wengine inasemekana wamewatoselea mbali na kuamua kusaka huruma za Kimahakama kutaka kubakia kwenye Vyama vyao ingawa kimsingi hawana nafasi na ni suala la muda tu kwa wao kung'olewa rasmi.
Watu wengine wameenda mbali zaidi na kutoa abbreviation za ACT kama ni "Alliance for Cowards and Traitors"
 
Last edited by a moderator:
UKAWA wanataka tukose Katiba mpya. Mimi kwa hili nashindwa kuwaelewa kabisaaaaa.

Nashangaa kuona hata wewe unashiriki kupotosha ukweli kuhusu katiba lakini nyote mnaopindisha kuna siku ukweli utawaumbua.

Unakumbuka nani aliyesimamia vuguvugu la kuwepo kwa mchakato wa katiba? unakumbuka matamshi ya viongozi waandamizi wa CCM akiwemo mwanasheria mkuu wa serikali Werema? Nani wanaopinga maoni ya wananchi waliyoyatoa kwenye tume ya Warioba, umesikia maneno ya katibu mkuu wa CCM kuwa katiba haina manufaa yeyote so kwa akili yako huru unaona nani anataka tukose katiba mpya.
 
Back
Top Bottom