ACT-Tanzania: Challenges and Opportunities! (SEHEMU YA KWANZA)

ACT-Tanzania: Challenges and Opportunities! (SEHEMU YA KWANZA)

Mada inahusiana na changamoto na fursa walizo nazo ACT-Tanzania.Hiyo unayoizungumzia wewe ni fursa au ni changamoto?
Ni changamoto kama ulivyosema mwenyewe hapa.
Sasa upo uwezekano wa watu ambao hawakuwa waadilifu kwenye vyama vingine, kuingia ACT, Kwa dhumuni lile lile la kufanya uharibifu nchini na hivyo kuifanya ACT-Tanzania nayo isiaminike na wasioiami wawe na uhalali wa kufanya hivyo.
 
ACT ni kwa vipi mmetumia fursa na changamoto zilizopo kufanya Tanzania kuw sehemu bora zaidi ya kuishi hadi sasa?
 
Back
Top Bottom