ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

nani kakuambia kiko kigoma tu.? act imesambaa nchi nzima kuna wawakilishi kila mkoa na kila wilaya ya tanzania...tatizo lenu misukule mmezoea sana ubaguzi

labda kimesambaa huko kwenu na misikitini hiki chama cha wasaliti!!
watz wa sasa wanajitambua sio mbulura kama wewe mchumia tumbo!
 
Mbona kuna vyama kama Chausta,DP,SAU,NRA hamuvizungumzi wala hamutaki kujua viongozi wake? endeleeni kukipa majina mabaya haisaidii mnachofanya ni sawa na kumpiga chura teke.

hivi hawa vilaza kwanini wanang'ang'ania sana majina? au wanataka waende wakawaloge? wachawi hawa
 
Umeshazoea kulishwa matango pori hata bendera ya USA ina nyota, hayo malalamiko yanatolewa na vilaza wa Chadema.
Heshima mbele mkuu,yaani hapa kwenye mawazo yangu namwona jamaa amevaa suruali nyeupe imepepita magoti
kidogo,kichwani ana kofia kama ya mbunge wa Vvvunjo miguuni ana yeboyebo na mkononi ana mkwaju.Nakuamkia tena heshima mbele mkuu!
 
labda kimesambaa huko kwenu na misikitini hiki chama cha wasaliti!!
watz wa sasa wanajitambua sio mbulura kama wewe mchumia tumbo!

kimesambaa mpaka kanisani. hata kardinali pengo anakijua vizuri sana hiki chama
 
mkuu. kuna watu wanakera sana. wamekazania kigoma kigoma , zito anawatesa sana. wehu kabisa hawa

kama makatibu wenezi wana akili za kisengerenyuma kama wewe,basi hiki chama kitakufa kabla hata ya kupata usajili wa kudumu!!!
Jibu hoja, viongozi wake wa juu ni kina nani ili maneno yako ya kuwapamba eti ni wasomi tuyaamini!!!
 
Chadema mpaka kitawale nchi kipoteze mwelekeo ndipo kitapata mbadala.kwa sasa adui yetu ccm tu
 
Mbona kuna vyama kama Chausta,DP,SAU,NRA hamuvizungumzi wala hamutaki kujua viongozi wake? endeleeni kukipa majina mabaya haisaidii mnachofanya ni sawa na kumpiga chura teke.
Hivi vyama ulivyovitaja hakuna aliyewahi kujitaja kuwa ni mbadala wa ccm wala CDM,hicho cha kwenu mnachotaka kuvigeuza vyama vingine kama mawe ya kupandia ndo maana tunawapa za uso,si mmesema kina transparency sasa mnaficha nini kuwataja viongozi je hiyo ndio transparency? Ndo maana mi nimesema ni MAIGIZO kama jina lake lilivyo au hamjui maana ya transparency?
Wtz tumeishachoshwa na ubabaishaji,kama ni vyama ni vingi ukifukuzwa chama hiki amia kingine Wataz tunataka maendeleo
 
Wewe umekosa kazi ya kufanya baada ya kupata division 5 bora uje nikupe kazi ya kunichungia mbuzi
 
Hivi vyama ulivyovitaja hakuna aliyewahi kujitaja kuwa ni mbadala wa ccm wala CDM,hicho cha kwenu mnachotaka kuvigeuza vyama vingine kama mawe ya kupandia ndo maana tunawapa za uso,si mmesema kina transparency sasa mnaficha nini kuwataja viongozi je hiyo ndio transparency? Ndo maana mi nimesema ni MAIGIZO kama jina lake lilivyo au hamjui maana ya transparency?
Wtz tumeishachoshwa na ubabaishaji,kama ni vyama ni vingi ukifukuzwa chama hiki amia kingine Wataz tunataka maendeleo

mkuu. chadema imesambaratika. chadema imejaa ubaguzi na utapeli wa hali ya juu mfano mzuri ni hela ya ruzuku inavyotafunwa pale makao makuu. vyama vyote vya upinzani ni vya hovyo. ndio maana ikaanzishwa act chama makini ili watanzania wapate ukombozi wa kweli na maendeleo ya kweli ya nchi yao
 
mkuu. chadema imesambaratika. chadema imejaa ubaguzi na utapeli wa hali ya juu mfano mzuri ni hela ya ruzuku inavyotafunwa pale makao makuu. vyama vyote vya upinzani ni vya hovyo. ndio maana ikaanzishwa act chama makini ili watanzania wapate ukombozi wa kweli na maendeleo ya kweli ya nchi yao

kwa nini mnaficha majina ya viongozi wake wakuu ili tuwapime tuone uzalendo wao????
 
Mbona kuna vyama kama Chausta,DP,SAU,NRA hamuvizungumzi wala hamutaki kujua viongozi wake? endeleeni kukipa majina mabaya haisaidii mnachofanya ni sawa na kumpiga chura teke.

Nitauliza CHAUSTA cha nini wakati mada haihusiani na CHAUSTA
 
ACT Tanzania ni chama makini. watanzania wenzangu tukiunge mkono kwa hali na mali kitukomboe
 
abakarokamo nadhani una lengo nyuma yako watu waache kuzungumzia masuala yenye tija kama katiba ya nchi na vyama venye tija kama cdm wahamishe fikra kwenye huu umbea wako. umepewa kichwa chenye nywele ni pamoja na kufikiri pia
 
abakarokamo nadhani una leng nyuma yako watu waache kuzungumzia masuala yenye tija kama katiba ya nchi na vyama venye tija kama cdm wahamishe fikra kwenye huu umbea wako.

masuala ya katiba yanazungumziwa bungeni na wawakilishi wetu tuliowachagua. hapa tunazungumzia chama makini cha siasa ACT. watanzania chadema wameshaichoka
 
Back
Top Bottom