shingwengwe
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 1,152
- 125
nani kakuambia kiko kigoma tu.? act imesambaa nchi nzima kuna wawakilishi kila mkoa na kila wilaya ya tanzania...tatizo lenu misukule mmezoea sana ubaguzi
labda kimesambaa huko kwenu na misikitini hiki chama cha wasaliti!!
watz wa sasa wanajitambua sio mbulura kama wewe mchumia tumbo!