umepoteza muda wako kuandika taka taka
ACT-New Zealand, mbona una hasira sana. Karibuni New Zealand,hakuna branch ya chama cha Siasa ktk nchi tofauti na chama kiliposajiliwa.
Karibuni New Zealand, huko Tanzania hao ni matapeli.
umepoteza muda wako kuandika taka taka
Mwenyekitiwao wa muda ni LIMBU, ambayae bado pia ni katibu wa ADC, kazi ipo, MM kaingizwa chaka, MICHUZI BLOG: Katibu Mkuu wa ADC katika ziara mkoani Mwanza
Mbaya zaidi vyote vinaanzishwa na mtu huyo huyo mmoja< kwanini haya ma MM yasinge ende yenyewe? ama kumuuliza huyo amekifikisa wapi ADC?mh kweli kuna kazi hiki si kiliundwa kutoka CUF then baada ya migongano tena Chadema kunaundwa kingine mh hapa patamu
padri slaa mpaka leo hajarudisha kadi ya ccm na anailipia ada kila mwezi mbona huongei hilo?
mkuu, ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa dini, kabila wala kanda
Unakosea mkuu sisi kama wapinzani adui yetu ni sisiemu sio chadema wananchi wamechoshwa na serikali iliyopo madarakani na sio chadema mambo ya ukabila hapa yata tu cost 2015
Adui yetu ni sisiemu na si vinginevyo
nimekuelewa mkuu
Unakosea mkuu sisi kama wapinzani adui yetu ni sisiemu sio chadema wananchi wamechoshwa na serikali iliyopo madarakani na sio chadema mambo ya ukabila hapa yata tu cost 2015
Adui yetu ni sisiemu na si vinginevyo
Unaelewesha vichaa hawezi kukuelewa kitu, huyo adui yake ni CDM.
ACT-Tanzania ndiyo CCM, kwahiyo hawezi kuwa agaist CCM.
ACT original ipo New Zealand kaka.
Unakosea mkuu sisi kama wapinzani adui yetu ni sisiemu sio chadema wananchi wamechoshwa na serikali iliyopo madarakani na sio chadema mambo ya ukabila hapa yata tu cost 2015
Adui yetu ni sisiemu na si vinginevyo
CCJ ilianzishwa na majina ya waanzilishi yalikuwa kwenye makabrasha kwa msajiri wa vyama vya siasa walisema ni chama cha sita walikuwa na sababu zao japo hawakuwa na ushahidi, sasa hujanijibu swali langu ktk uanzishwaji wa chama cha siasa ili chama kipate usajiri ni criteria gani zinatakiwa ziwe-met.......maana ulisema chama hakina mwanzilishi(maana ni illegally registered-some thing like you have raised PO) usikimbie hoja yangu swala la mimi ku-prove beyond reasonable doubt juu ya mwanzishaji na udini na ukanda wake vitakuja baada ya wewe kuupa mjadala legality-kuwa ni chama halali ama si halali, maana sitaki kuthibisha allegations zangu wakati umesha-raise question of doubt kwenye uhalali wa chama, we should ascertain the PO raised before determining the merit of the case itself.
Sijakimbia hoja yako.....wewe umesema ACT ni chama cha udini na ukigoma kwa maana mwanzilishi wake unamjua na ndio maana umetoa mwelekeo huo....Niliposema mwanzilishi wake hajajulikana kwa maana haikuwa wazi kwa wadau kujua nani mwanzilishi wa hicho chama zaidi ya rumors tu kuwepo kwa chama hicho lakini ajabu wewe umeshamjua na kusema ni mdini na mkigoma...but Gazeti la mwananchi la tar 4/3/2014 imeweka wazi Mwigamba ndio mwanzilishi wake na Kadawi Limbu ndio mwenyekiti wake....sasa huo udini na ukigoma upo wapi.....ifike wakti tuwe tunafanya research kabla ya kurukia katika hitimisho.