mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
masuala ya katiba yanazungumziwa bungeni na wawakilishi wetu tuliowachagua. hapa tunazungumzia chama makini cha siasa ACT. watanzania chadema wameshaichoka
huo utafiti umefanya lini kama sio uzandiki, unafiki na undumilakuwili umekujaa na mahaba ya kisukule ya kidini ya act ya kigoma yamekupumbaza