ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

masuala ya katiba yanazungumziwa bungeni na wawakilishi wetu tuliowachagua. hapa tunazungumzia chama makini cha siasa ACT. watanzania chadema wameshaichoka

huo utafiti umefanya lini kama sio uzandiki, unafiki na undumilakuwili umekujaa na mahaba ya kisukule ya kidini ya act ya kigoma yamekupumbaza
 
Ni chama cha ZITO hicho wala msiangaike kutaka kujua mwenye nacho.Kuanzisha chama si kazi ndogo...................,CDM haijaanza leo ivyo ACT inahitaji milongo 3 ili kuweza kujua ata kirefu chake.
Zito wa mahakama amekalia kuti kavu na nje ya chadema ataanza moja!
 
Ni chama cha ZITO hicho wala msiangaike kutaka kujua mwenye nacho.Kuanzisha chama si kazi ndogo...................,CDM haijaanza leo ivyo ACT inahitaji milongo 3 ili kuweza kujua ata kirefu chake.
Zito wa mahakama amekalia kuti kavu na nje ya chadema ataanza moja!

lete udhibitisho kuwa ni chama cha zito.....toa uongo wako hapa.......
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.

Pungwani wewe.
 
Masikini chadema itabaki kaskazini tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mkuu. chadema imesambaratika. chadema imejaa ubaguzi na utapeli wa hali ya juu mfano mzuri ni hela ya ruzuku inavyotafunwa pale makao makuu. vyama vyote vya upinzani ni vya hovyo. ndio maana ikaanzishwa act chama makini ili watanzania wapate ukombozi wa kweli na maendeleo ya kweli ya nchi yao
Hapo penye red binafsi nakushukuru kwa kuwa umekuwa transparent kwamba nyie ni ccm au watoto wake maana ninyi sio wapinzani.Mwenye akili afahamu.
 
kama makatibu wenezi wana akili za kisengerenyuma kama wewe,basi hiki chama kitakufa kabla hata ya kupata usajili wa kudumu!!!
Jibu hoja, viongozi wake wa juu ni kina nani ili maneno yako ya kuwapamba eti ni wasomi tuyaamini!!!

Hivi kwanini ni ngumu kutaja majina ya hawa viongozi jamaa wanazunguka zunguka tu hata hawataji,nina uhakika kwa mtindo huu wa uoga hata wa kutaja majina ya viongozi kitakufa muda sio mrefu,inaonekana ni cha kikabila au kikanda
 
Hapo penye red binafsi nakushukuru kwa kuwa umekuwa transparent kwamba nyie ni ccm au watoto wake maana ninyi sio wapinzani.Mwenye akili afahamu.

mkuu hongera kuwa makini,jamaa kajichongea mwenyewe kuwa kuwa hiki chama ni CCM tu maana kasema vyama vyote vya upinzani ni hovyo tu,kama ACT ingekuwa upinzani nadhani asingesema hivo
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.


Acha ndoto za alinacha! Eti act ni chama makini! Viongozi wake sio chochote ila WACHUMIA TUMBO TU.
Kwa sasa na kwa miaka mingi hakuna/ hakutakuwa na chama makini zaidi ya CHADEMA.
 
Acha ndoto za alinacha! Eti act ni chama makini! Viongozi wake sio chochote ila WACHUMIA TUMBO TU.
Kwa sasa na kwa miaka mingi hakuna/ hakutakuwa na chama makini zaidi ya CHADEMA.

viongozi wa act ni watu makini sana
 
Back
Top Bottom