ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

huyu# abhakorakamo# yani anataka afanywe kamoja,ana akili ndogo sana hata hajui kushawishi kama ndiye anatumiwa kushawishi wanachama basi jamaa ni kilaza kweli,kila siku anakuja na mada ile ile kila jukwaa yupo,utafikiri kachanganyikiwa,kiufupi unakera kwa mada zako za hao misukule wako.
 
Wewe hata kingereza hujui huenda ata hujaelewa jamaa katumia lugha gani

Huyu kakabidhi akili kwa wengine, halafu anajifanya mjanja. Amekaririshwa neno ACT, Fuatilia posts zake humu hamna kitu. Hakuna hoja hata kidogo.
 
huyu# abhakorakamo# yani anataka afanywe kamoja,ana akili ndogo sana hata hajui kushawishi kama ndiye anatumiwa kushawishi wanachama basi jamaa ni kilaza kweli,kila siku anakuja na mada ile ile kila jukwaa yupo,utafikiri kachanganyikiwa,kiufupi unakera kwa mada zako za hao misukule wako.

jinyonge
 
Huyu kakabidhi akili kwa wengine, halafu anajifanya mjanja. Amekaririshwa neno ACT, Fuatilia posts zake humu hamna kitu. Hakuna hoja hata kidogo.

we hoja zako ziko wapi mburura mkubwa we
 
Wamepata hata usajili hao?

Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
 
-§-Chama kipya cha "ACT" almaarufu kama "Alliance for Cowards and Traitors"

1. Ni maalumu kwa wakazi wa Mkoa wa Kigoma pekee au ni kwaajili ya Tanzania nzima??!!
2. Kipo kwaajili ya kupambana na CCM au CHADEMA ??!!
3. Kina nia ya kweli ya kuchukua dola??!!
4. Ipi sababu kubwa ya waasisi na viongozi wa juu wa chama hicho kutojitokeza wazi na baadala yake kuishia kujificha nyuma ya pazia??!!
5. Ni kweli kwamba chama hiki kinahusishwa na Udini??!!
6. Ni kweli kwamba chama hiki ni Tawi la Chama Tawala (CCM) maalum kwaajili ya kupunguza kura za upinzani haswa CHADEMA mwaka 2015 ??!!
7. Tunapata picha gani kutokana na chama hiki kinachoundwa na viongozi na wanachama walioasi, kusaliti na kufukuzwa katika vyama vingine vya siasa??!!
8. Unaichukuliaje kauli mbiu ya chama hiki ya "Taifa kwanza Chama baadae" ilihali wahusika (waasisi) haohao wakiwa ndio wa kwanza kukimbilia kuanzisha na kusajili chama chao (ACT)??!!
9.
Wewe kama wewe unakizungumziaje chama hiki kilichopata usajili wa muda siku chache zilizopita??!!

:rolleyez:Kuuliza sio ujinga!


 
Hili pandikizi tu..

Hakuna dhamila ya kweli ya kuikomboa inchi..

Hii ni SISIEMU B..
 
-§-Chama kipya cha "ACT" almaarufu kama "Alliance for Cowards and Traitors"

1. Ni maalumu kwa wakazi wa Mkoa wa Kigoma pekee au ni kwaajili ya Tanzania nzima??!!
2. Kipo kwaajili ya kupambana na CCM au CHADEMA ??!!
3. Kina nia ya kweli ya kuchukua dola??!!
4. Ipi sababu kubwa ya waasisi na viongozi wa juu wa chama hicho kutojitokeza wazi na baadala yake kuishia kujificha nyuma ya pazia??!!
5. Ni kweli kwamba chama hiki kinahusishwa na Udini??!!
6. Ni kweli kwamba chama hiki ni Tawi la Chama Tawala (CCM) maalum kwaajili ya kupunguza kura za upinzani haswa CHADEMA mwaka 2015 ??!!
7. Tunapata picha gani kutokana na chama hiki kinachoundwa na viongozi na wanachama walioasi, kusaliti na kufukuzwa katika vyama vingine vya siasa??!!
8. Unaichukuliaje kauli mbiu ya chama hiki ya "Taifa kwanza Chama baadae" ilihali wahusika (waasisi) haohao wakiwa ndio wa kwanza kukimbilia kuanzisha na kusajili chama chao (ACT)??!!
9.
Wewe kama wewe unakizungumziaje chama hiki kilichopata usajili wa muda siku chache zilizopita??!!

:rolleyez:Kuuliza sio ujinga!



umepoteza muda wako kuandika taka taka
 
Back
Top Bottom