Achieni Keyboard mkaongoze mapambano makamanda

Achieni Keyboard mkaongoze mapambano makamanda

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,279
Reaction score
13,708
Shalom Makamanda,

Sasa kila mtu anasikilizia kwenye mitandao ya kijamii shughuli imedoda huko twendeni tukaanikize maana tumepiga sana tambo karibia mwezi mzima sasa ndo muda wa kutoka tuachie keyboard jamani.

Tuache woga.

IMG_0614.jpeg
 
Na sisi tunawasubili waje, safari hii Haina haja ya polisi kuwadhibiti raia tu tunatosha, tumeshabeba vilainishi tunakukamata tunakupaka mafuta
 
Mnajitoa ufahamu au siyo,hii ngoma tutachezeshana Kwa miaka mitano iliyobaki.
Itakuwa funga fungua funga fungua.....
Matak yenu
 
Mnajitoa ufahamu au siyo,hii ngoma tutachezeshana Kwa miaka mitano iliyobaki.
Itakuwa funga fungua funga fungua.....
Matak yenu
Leo kuna muda wetu tumeupanga. Mark my words, watarudi hapa macho na masikio yao yakiwa hayaamini.
 
Yaani nyie Akili zenu vipi?...hivi unafikiri kuandamana ni lazima watu watoke barabarani?kitendo cha biashara kusimama,maduka kufungwa ni USHINDI MKUBWA KWA WAANDAMANANIJI. umeshajiuliza serikali imekosa mapato kiasi gani? Sema tatizo unakaa kwa shemeji yako huwezi jua
 
Pamoja na ulinzi wote bado kinamwigulu wamejificha kwenye mashimo na ikulu ya dodoma imepata kazi
 
😂😂😂😂😂😂😂
Maandamano chaliiiiiiiiiiiiiiii!!!!
Wapiiiii straight uchwaraaaaaaa???
Wapi Lijariiiiiii wa bei ya jioniiiiiii????

😂😂😂😂😂😂
 
Nawapongeza sana vijana ambao Leo wametulia:
Wameacha kuandamana

Kama ujumbe umeshafika kwa wahusika:

Jukumu la kuijenga na kuilinda nchi YETU ni la sisi sote:
Tukumbuke tuna wagonjwa, watoto, akinamama, wazee na watu maalum wanahitaji kuhudumiwa na haki Yao:
 
NIMEFURAHI SANA KUONA ULINZI UNAIMARISHWA KILA KONA.NA LEO KWANGU NITALALA NIKIWA SIJAFUNGA MLANGO MAANA ULINZI UPO KILA KONA.
 
Back
Top Bottom