Achieni Keyboard mkaongoze mapambano makamanda

Achieni Keyboard mkaongoze mapambano makamanda

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maandamano chaliiiiiiiiiiiiiiii!!!!
Wapiiiii straight uchwaraaaaaaa???
Wapi Lijariiiiiii wa bei ya jioniiiiiii????

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwahiyo mkuu umefarijika sana maandamano kufeli?? Nlidhani wewe ni mmoja wapo wanaopigania injustice am so disappointed aisee!
 
Nawapongeza sana vijana ambao Leo wametulia:
Wameacha kuandamana

Kama ujumbe umeshafika kwa wahusika:

Jukumu la kuijenga na kuilinda nchi YETU ni la sisi sote:
Tukumbuke tuna wagonjwa, watoto, akinamama, wazee na watu maalum wanahitaji kuhudumiwa na ni haki Yao:
 
Nawapongeza sana vijana ambao Leo wametulia:
Wameacha kuandamana

Kama ujumbe umeshafika kwa wahusika:

Jukumu la kuijenga na kuilinda nchi YETU ni la sisi sote:
Tukumbuke tuna wagonjwa, watoto, akinamama, wazee na watu maalum wanahitaji kuhudumiwa na haki Yao:
Ni mjinga tu atakaeamini kuwa leo ikishindikana bhasi suala limeisha. NEVER

Mkuu hakuna kitu kibaya kama raia wenye uchungu ambao umedharaulika na pili, mpasuko wa kidini ambao umechochewa.

Vitu ambavyo ningetamani yoyote aliyepo juu aangalie chini na aimalize lakini kwa matendo SIONI. It's painful kwa mtu yoyote anaeipenda nhii hii lakini tutafanyaje. Hatuwezi kuziba jua kwa ungo
 
Kwahiyo mkuu umefarijika sana maandamano kufeli?? Nlidhani wewe ni mmoja wapo wanaopigania injustice am so disappointed aisee!
Sikiliza Naa, mie ni m1 wa wale waliotaka kuwa wakombozi wa hii nchi, na nikuambie Tar 29 nilinusurika risasi, wa pembeni yangu alikufa huku nashuhudia,

Toka ile siku sikuwa sawa km siku 4, nikaja kuwa na nafuu, na toka pale nilikua 1 ya watu niliokua napigania kuhusu hili la leo, na nilijipanga kutoka tena road ikiwa hamasa itaonekana, na sio hapa tyuuh, Toka IG, X, Tiktok etc.

Siku zote hizo kuna kitu kilikua kinaumiza nafsi yangu, nilivumilia, ila leo asubuhi nimeshindwa kuinafikia Nafsi yangu.

Nimeona niende na inavyotakiwa kuwa km wao wanavyotaka.

Sio wee pekee ako uliyekua disappointed, wako watu wamekuja had DM, kuniuliza kulikoni, mbona nimebadilika ghafla, nimejibu nimebadilika kwa kuwa nimebadilishwa.

Mnisamehe kwa kweli, UNAFIKI siuweziii.
 
Kwahiyo mkuu umefarijika sana maandamano kufeli?? Nlidhani wewe ni mmoja wapo wanaopigania injustice am so disappointed aisee!
Ilifika saa 8 hawataaamini Tena maneno Yao we ngojea tu
 
  • Thanks
Reactions: naa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maandamano chaliiiiiiiiiiiiiiii!!!!
Wapiiiii straight uchwaraaaaaaa???
Wapi Lijariiiiiii wa bei ya jioniiiiiii????

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Anko na wewe ushaanza kulipwa afu saba sabaπŸ˜€πŸ˜€
 
  • Thanks
Reactions: naa
Ni mjinga tu atakaeamini kuwa leo ikishindikana bhasi suala limeisha. NEVER

Mkuu hakuna kitu kibaya kama raia wenye uchungu ambao umedharaulika na pili, mpasuko wa kidini ambao umechochewa.

Vitu ambavyo ningetamani yoyote aliyepo juu aangalie chini na aimalize lakini kwa matendo SIONI. It's painful kwa mtu yoyote anaeipenda nhii hii lakini tutafanyaje. Hatuwezi kuziba jua kwa ungo
Ni kweli
Ila tayari vijana washaonesha kutoridhika kwao tarehe 29:
Sio kuwa wameridhia bali ujumbe wote umefika sababu ya kuandamana kwao:
Kama tuna busara hebu tuipe muda Serikali kusikiliza, na kuyafanyia kazi yote yaliyo lalamikiwa huku nchi ikiwa imara:
Maana kwa leoleo itakuwa ngumu kutekeleza kila kitu kinacho daiwa:

Mimi naamini Serikali itayafanyia kazi yote yaliyo lalamikiwa kwani imekiri kuchukua hatua:

Tukiwa na hasira za Moja kwa Moja bila kutulia na kusikiliza, mwisho wa siku kila kitu kitaharibika na waovu wataiharibu nchi kabisa:
Tutawapa mwanya wa kuiharibu nchi yetu isiweze kukalika:

Nadhani Mkuu umenielewa
 
Yaani nyie Akili zenu vipi?...hivi unafikiri kuandamana ni lazima watu watoke barabarani?kitendo cha biashara kusimama,maduka kufungwa ni USHINDI MKUBWA KWA WAANDAMANANIJI. umeshajiuliza serikali imekosa mapato kiasi gani? Sema tatizo unakaa kwa shemeji yako huwezi jua
Mashabiki wa CCM hawana hizo akili ndugu.Yaani watu hawashtuki kwa nini downtown posta barabara zimefungwa, hakuna watu barabarani.Hapo it means kuna tatizo....akili za hawa watu ni za kipekee
 
Pole mkuu but ukombozi hauwi wa siku moja, kama kweli una crave mabadiliko kama unavojinasibu kukata tamaa ni mwiko.
Na hata wewe ukikata tamaa usikatishe tamaa wengine, una watu wengi una wa motivate hata wasipojiweka bayana mkuu.
Mwisho lolote lilikokutisha tamaa i hope and pray you heal from it, kila la kheri mkuu katika njia yako mpya.
 
Nawapongeza sana vijana ambao Leo wametulia:
Wameacha kuandamana

Kama ujumbe umeshafika kwa wahusika:

Jukumu la kuijenga na kuilinda nchi YETU ni la sisi sote:
Tukumbuke tuna wagonjwa, watoto, akinamama, wazee na watu maalum wanahitaji kuhudumiwa na haki Yao:
wananchi wametuma message nzuri
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maandamano chaliiiiiiiiiiiiiiii!!!!
Wapiiiii straight uchwaraaaaaaa???
Wapi Lijariiiiiii wa bei ya jioniiiiiii????

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Coca una mapepo?
Si wewe tar 29 tulitoka kupinga uhuni wa gavoo.!! Na risasi ikakukosa IMEKUWAJE TENA? πŸ˜₯
 
Back
Top Bottom