Acheni kujichubua

Daa aisee ,hatari sana Hadi watoto wanaogopa kukaa na mzazi wao wa kike

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Daa aisee ,hatari sana Hadi watoto wanaogopa kukaa na mzazi wao wa kike

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Huyu mama,ni nesi. Kipindi hicho,nadhani ndo wa kwanza kuibua hilo zoezi. Sema yeye ilimkubali hakuwa na hata dot nyeusi. Alibadilika akawa mweupe kinoma. Kila mtu awe mgonjwa au muuguzi,alitamani hata kumgusa,hasa kwa waliomfahamu kabla. Bahati nzuri,hakuwa na roho mbaya,akiona unamuangalia sana umepigwa butwaa,atakuita msalimiane kwa mkono. Si unajua mambo ya vijijini,alitamba kwa uwezo na ujanja.
Huu muili,uacheni tu. Nadhani mwenyewe atakuwa anajutia alichokifanya.
 
hizi nyumba zinamengi bro angu, unakuta jike bishi na jeuri kichizi mwamba anaamua aliachanize tu lifanye linavyotaka lenyewe
Huyo nae hamna mme hapo. Mengine mazamiaji tu.
Jirani kuna lijama, limemdandia mtu,mama ana watoto 3, hamna hata mmoja wa shikaji. Nyumba ni ya urithi. Mama mkologo umemkataa,kweupe ni mzungu. Kweusi ni kama wa Sudani kusini au mjal...... wa Kisumu.
Sasa mfano kama huyo,asiponyamaza ataenda wapi? Af nae atasema mke wangu!!!
 
Hapo amalizie tu uzee wake Kwa majuto

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Daa

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…