min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,310
- 127,335
Pasta ulijulia wap ngozi zao zina harufu ya chuma?🤪aise mbona unasema ukweli mtupu kuhusu iyo harufu 🤣
Pasta ulijulia wap ngozi zao zina harufu ya chuma?🤪aise mbona unasema ukweli mtupu kuhusu iyo harufu 🤣
ilinichukua muda sana kupata jibu hadi nilipotembelea kiwanda cha nondo nakupata ukweli juu ya mfanano huo mkuuaise mbona unasema ukweli mtupu kuhusu iyo harufu 🤣
MUNGU ni mwema, ulishiriki mandamanosalama tu sijui wewe
nawahudumia kwa karibu sana ni wapendwa na ninashauri sana kuachana na hiyo kitu 🤓Pasta ulijulia wap ngozi zao zina harufu ya chuma?🤪
hii hapana kwa kweli.upwilu uniue tu..
Nyie ma pasta nyie 😊😊 acheni hizi bhna ,eti kwa ukaribu 🤣🤣🤣🤣🤣nawahudumia kwa karibu sana ni wapendwa na ninashauri sana kuachana na hiyo kitu 🤓
Huijui dunia wewe.hii hapana kwa kweli.upwilu uniue tu..
ya kazi gani mieMUNGU ni mwema, ulishiriki mandamano
ni wapendwa na huduma ndivyo inavyotaka na hakuna namna nyingine 🤓Nyie ma pasta nyie 😊😊 acheni hizi bhna ,eti kwa ukaribu 🤣🤣🤣🤣🤣
safi sana kikubwa kazi, kazi ni kazi tuh hadi iwe kaziya kazi gani mie
Unafanyaje mhidia☺️☺️Mimi sijichubuhi
💯ni wapendwa na huduma ndivyo inavyotaka na hakuna namna nyingine 🤓
Hapana mkuu, labda huko bonyokwa ndani ndani wameanza kumistakeKujichubua ndo wanaita skin care siku hizi.
🤣🤣🤣Trust me hawaskusikii ongezs ssuti
Na tatizo jingine kuna watu weusi mpaka gizani huwaoni labda skenue meno nje na ndio sababu ya wao kujichubua
Sasa si bado wanajichubua hapo, au tofauti inakuwa wapi?Wanunulieni wanawake zenu vipodozi vya bei ghali wapendezeshe ngozi zao, acheni kuwasimanga
Mhidia nini?? Ila niko naturalUnafanyaje mhidia☺️☺️
Kama wanaume hawana hela za kununua vipodozi vya bei ghali jitahidini kujikubali, hivyo mlivyo mnapendeza na mnapendwa.Wanunulieni wanawake zenu vipodozi vya bei ghali wapendezeshe ngozi zao, acheni kuwasimanga