Jicho/ Macho.
Jicho/ Macho.
Na nafikiri ungeacha kwanza wewe kuffikiria huo ujinga kwani nina nadhani hata wewe mara ya kwanza ulipoulizwa hilo swali bila shaka ulijibu huo ujinga unaotaka kuacha kufikiria. Hongera kwa kutambua hili ndugu yangu.
<br />Umejuaje kuwa huo ni ujinga kama we si mjinga?.
Ni sehem gani LAINI katika mwili wa BINADAM ambayo imezungukwa na NYWELE na ina UNYEVUNYEVU na ikikerwa sana hutoa MAJI. Acheni kufikiria ujinga nyinyi.....
JIBU NI ------------->>