Arsenal
Senior Member
- Aug 12, 2008
- 190
- 71
Kwa wale ambao wanaona DSTV ni bei sana kwa mwezi njo uku abu dhabi tv network ambayo unanunua dikoda inaitwa Humax yenye kuchukua two smart cards ya barclays kwa ajili ya english premier league na smart card ya aljazeera kwa ajili ya La liga, hii dikoda inabeba smart card zote mbili na unainunua kwa usd 275 (includes a year subscription)lkn bila dish (bongo dish ni km laki ivi)ambapo utakuwa na uwezo wa kupata channels nyingi za kawaida plus 19 HD sports channels etc, hii kitu kwa mwaka ni usd 120 tu..renewal ya kila mwaka kuna njia nyingi nowdays online kwenye website yao pia its possible Abu Dhabi TV Network au thru western union etc etc....kwa maelezo zaidi just google adtv na peruzi peruzi apa Abu Dhabi TV Network | FREQUENTLY ASKED QUESTIONS (FAQ)
cheers!
cheers!