ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Habarini wanajamvi wenzangu
Ni matumaini yetu kuwa tu wazima na tunaendelea na pilikapilika za
sikukuu ya Pasaka ,na mambo mengine kiujumla,
Leo nimependa kusema nanyi hususani ndugu zetu hawa na jamaa
zetu, wengine ni marafiki zetu wa karibu sana katika maisha yetu.
Jambo la leo ambalo nimeonelea nizungumze nanyi ni kutokana na
mfumo au niseme desturi na mila za baadhi ya kabila zetu hapa TZ
Mila zetu zimetufanya tuwe na mfumo mbovu wa maisha hususani
kuendekeza kuzifuata hata kama hizo mila na desturi zinapotosha
imekuwa ni desturi ya maisha yetu kwa ujumla, Jambo ambalo
nataka kuliongelea hapa ni TOHARA kwa WANAUME. Mila nyingi
hususani katika mikoa mingi hawatahiriwi eti ni kuenzi mila na
tamaduni zao. Mila nyingi zimekuwa potofu hasa zile za kusema
mtoto wa kike anatahiriwa, hii ni mila potofu ambayo huleta mau-
aji na maangamizi kwa watoto wetu wa kike. Nilikuwa sitaki
kuongelea wanawake zaidi hapa ila nimejikuta kuongea tu kutokana
na hii mada hapa.
Leo nimependa kuwafunda wanaume kutokana na mila hizi ambazo
wamezilea na kuzipenda na kuzitelekeleza, mila nyingine kama hizi ni
uchafu uliokithiri. jamani wewe uliona wapi mwanaume hatahiriwi.
si kuleteana uchafu mnamo faragha.
Mila zingine ni upotofu na uchafutu, wewe kwa akili zako unathubute
kutokutahiriwa kwa ajili ya usafiwako na mwenzako pia, huoni
unamuambukiza magonjwa mwenziowakati wa faragha jamani.
Sijafurahishwa na mila na tamaduni hizindo mana nimeonelea
leo niwafunde wanaume hasa vijana ambao hamjaingia katika
NDOA mjifunze na kuondoikana na upotofu huu.
na dhana hii ya kutokutahiriwa. Wewe kijana kama hujaenda
kutahiriwa nenda hospitali kashughulikiwe ili uwe msafi. Jamani onen
i ni aibu kwa kutokutahiriwa, na ni ashamed pia kaka zangu, vijana na
ndugu zangu sio busara kabisa kutokufanya jambo hilo.
Lady nimependa leo niwafunde kidogo kuhusu jambo hili kwani ni
hatari kwa afya zetu na ni uchafu kutokutahiriwa.
NAWATAKIA MAANDALIZI MEMA YA SIKUKUU YA PASAKA
NAWAPENDA NA MSINICHUKIE KWANI MM NI MSAIKOLOGIST
POKEENI ZAWADI HII YA PASAKA KWENU
Ni matumaini yetu kuwa tu wazima na tunaendelea na pilikapilika za
sikukuu ya Pasaka ,na mambo mengine kiujumla,
Leo nimependa kusema nanyi hususani ndugu zetu hawa na jamaa
zetu, wengine ni marafiki zetu wa karibu sana katika maisha yetu.
Jambo la leo ambalo nimeonelea nizungumze nanyi ni kutokana na
mfumo au niseme desturi na mila za baadhi ya kabila zetu hapa TZ
Mila zetu zimetufanya tuwe na mfumo mbovu wa maisha hususani
kuendekeza kuzifuata hata kama hizo mila na desturi zinapotosha
imekuwa ni desturi ya maisha yetu kwa ujumla, Jambo ambalo
nataka kuliongelea hapa ni TOHARA kwa WANAUME. Mila nyingi
hususani katika mikoa mingi hawatahiriwi eti ni kuenzi mila na
tamaduni zao. Mila nyingi zimekuwa potofu hasa zile za kusema
mtoto wa kike anatahiriwa, hii ni mila potofu ambayo huleta mau-
aji na maangamizi kwa watoto wetu wa kike. Nilikuwa sitaki
kuongelea wanawake zaidi hapa ila nimejikuta kuongea tu kutokana
na hii mada hapa.
Leo nimependa kuwafunda wanaume kutokana na mila hizi ambazo
wamezilea na kuzipenda na kuzitelekeleza, mila nyingine kama hizi ni
uchafu uliokithiri. jamani wewe uliona wapi mwanaume hatahiriwi.
si kuleteana uchafu mnamo faragha.
Mila zingine ni upotofu na uchafutu, wewe kwa akili zako unathubute
kutokutahiriwa kwa ajili ya usafiwako na mwenzako pia, huoni
unamuambukiza magonjwa mwenziowakati wa faragha jamani.
Sijafurahishwa na mila na tamaduni hizindo mana nimeonelea
leo niwafunde wanaume hasa vijana ambao hamjaingia katika
NDOA mjifunze na kuondoikana na upotofu huu.
na dhana hii ya kutokutahiriwa. Wewe kijana kama hujaenda
kutahiriwa nenda hospitali kashughulikiwe ili uwe msafi. Jamani onen
i ni aibu kwa kutokutahiriwa, na ni ashamed pia kaka zangu, vijana na
ndugu zangu sio busara kabisa kutokufanya jambo hilo.
Lady nimependa leo niwafunde kidogo kuhusu jambo hili kwani ni
hatari kwa afya zetu na ni uchafu kutokutahiriwa.
NAWATAKIA MAANDALIZI MEMA YA SIKUKUU YA PASAKA
NAWAPENDA NA MSINICHUKIE KWANI MM NI MSAIKOLOGIST
POKEENI ZAWADI HII YA PASAKA KWENU