Acha niwafunde kidogo Wanaume

Acha niwafunde kidogo Wanaume

alafu basi tuwaache watoto wenyewe waamue wakikua. Tunawakata wakiwa wadogo without their will. I wont circumcise my sons

Kwa kulijua hilo hata my son sijamfanyia upuuzi huo.
 
Ni mjadala mzuri lakini unacheza zaidi na akili au mawazo ya mwanadamu.

Je mleta mada unajua wanadamu tuna kuwa na maswali mengi kichwani kabla hatujafanya maamuzi yoyote?

Sasa naweza kusema watu katika mila na desturi zao wanakua na maswali mengi lakini nitaweka machache tu ambayo wengi huwa yanatugusa tangu tukiwa watoto hadi tuna pokua watu wazima. Hii ni katika shughuli za kila siku.

1.HIVI NI KAWAIDA KUTOTAHIRI UKOO WETU,KABILA LETU MKOA WETU,DINI YETU,RANGI YETU, TAIFA LETU?
Wakipata jibu la hili swali wanajua wafanye nini.

2.HIVI NISIPOENDA JANDO MWILI WANGU UTAPUNGUKIWA KITU?
Wenye jibu la NDIYO watakua na mpangilio wao na wenye jibu la HAPANA pia watajiandaa na chanagamoto zao jinsi ya
kuzikabili mbeleni.

3.JE JANDO NDIYO MAPENZI NDANI YA NDOA?

4.JE WATU WASIOENDA JANDO WANAMUDU VIPI UNYANYAPAA?

5.JE JANDO SIYO THE HOLLWOOD COSPIRACY?

6.JE MILA NA DESTURI ZETU ZINA MANUFAA?

KWA KIFUPI MPANGO MZIMA HAPA NI JINSI YA KUDILI NA WASIWASI NA MAWAZO AMBAYO MENGINE HAYANA UHALISIA WOWOTE KATIKA MAISHA YETU WANADAMU
 
Dada umeanza kwa ukali sana na imekuwa hivo hadi mwisho, kumbuka unashauri tu na kitu unashauri ni sehemu ya maishaya watu kwa miaka mingi(utamaduni). Watu wanabadirika lakini jua inachukua muda kwa sababu c wote wana access ya kujua hiyo elimu uliyo nayo wewe.

unasema maranyingi MILA ZIMEKUWA POTOFU je zimekuwa potofu kuanzia lini hadi lini? tunatahiri kwa sababu ni mila potofu ama kwa sababu ya ya vitu fulani fulani ambavyo tunadhani tukitahiri tunaweza kujiprotect?

Je kuzaliwa na GOMVI ni mila ama?

Je ni kwanini tunazaliwa na MAGOMVI?

kutahiri kwa mwanaume ni amri kutoka kwa mwenyez mungu sasa labda hao wanao watahiri wanawake watujuze wanafanya ivo kama tamaduni au ni maamuz ya nani?!
 
Nimeishasema - siwezi kumsahihisha Muumba wangu, alikuwa na maana yake kuficha kichwa cha dude langu,

Vitabu vyote vitakatifu vinatuasa utahiriwa, kwa wakristo baada ya siku 9 mtoto kuzaliwa, sasa wewe sijui, una dini gani mkuu, uchafu huo
 
Kwa kulijua hilo hata my son sijamfanyia upuuzi huo.
tushukuru shule za tanzania yetu hii hazina utamaduni wa kuoga shuleni baada ya michezo. Otherwise our sons wangekuwa under so much pressure kwasababu ya kuwa tofauti. Naona kama itachukua muda mrefu sana watu kukubali ukweli wa mambo
 
Vitabu vyote vitakatifu vinatuasa utahiriwa, kwa wakristo baada ya siku 9 mtoto kuzaliwa, sasa wewe sijui, una dini gani mkuu, uchafu huo
kwanza waafrika wanagpi mnatahiri siku ya 9? Mpaka hapo wenyewe mmenda kinyume. Americans wanaotahiri na Wayahudi ndo wanaongoza kwa kukata vitoto vichanga. Unajua wanafanyiwaga bila ganzi??? Unajua kuna accidents nyingi zinatokea ikiwemo kumkata mtoto kitu yake? Kukata nyama nyingi mno kisha kumletea matatizo baadae?Ushawahi kujiuliza kwanini mungu aamuru hivyo? Tena miaka hiyo aliyotoa hiyo amri, kulikuwa na ganzi kweli? Baadae Yesu alivyokuja, kutahiri kwa wakristo kukawa ni uamuzi si sheria. Kisa cha kubadilisha mawazo? Au ndo vilio vya watoto vilimfikia? Najua utasema i should not question your God. Mtaendelea kuumiza vitoto kwasababu za imani zisizo za kweli.
 
Huyo mtu aliyeweka uzi huu inaonekana amekutana na kitu original ambacho hakijachakachuliwa na manesi au madaktari! Acha umalaya, tulia na wako maana umalaya wako ndo umekufanaya ukutane na govi.
 
Huyo mtu aliyeweka uzi huu inaonekana amekutana na kitu original ambacho hakijachakachuliwa na manesi au madaktari! Acha umalaya, tulia na wako maana umalaya wako ndo umekufanaya ukutane na govi.
mmmhhhh
 
Ninahisi chembechembe za upotoshaji katika maandishi yako...Hebu fafanua kwa manufaa ya wengine, tohara kwa mwanamke inapelekea vipi usafi?
unajua wanawake nao wana Smegma? Inatengenezwa kwenye lips za ndani na chini ya kisimi. NAFIKIRI waliokuwa na tradition za kutahiri wanawake, wanawake wao wengi walikuwa na smegma nyingi! Na tofauti na maumbile ya mwanaume, ni ngumu zaidi kusafisha kwa wanawake. BASI TURUDISHE FEMALE CIRCUMCISION KAMA CIRCUMCISION NI USAFI
 
Umepatia; na ndo maana yeyote nilowahi kumlamba akiniona anataka kukumbushia na wala hasemi kinachomfanya arudi tena. Anasuga eti "we mtam sana"
kwa hiyo Tutor B wewe ni Govinda???? Loh! mamamaaaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeee!! mimi ogopa wewe kuanzia leo, na wala thichezi na wewe kumbe uko hivyo.
 
Huyo mtu aliyeweka uzi huu inaonekana amekutana na kitu original ambacho hakijachakachuliwa na manesi au madaktari! Acha umalaya, tulia na wako maana umalaya wako ndo umekufanaya ukutane na govi.
Sinai kwa nini umemuandikia kwa maneno ya ukali mleta mada, mm sijaona alipokosea, kuandika kitu si lazima awe malaya au amekutana nalo, ila hata kwa kusikia tu, jana Rais wetu alikuwa anatoa ushauri kwa wanaume wakatahirie maana inaongeza maambukizi ya Ukimwi kwa kiasi kikubwa, je naye ni Malaya kakutana na Govinda.
Pls mm sioni sababu ya mtu kuandika maneno kama yako, kama huwezi boro usichangie kuliko kuandika hayo.
 
Hivi jamani ukiwa mtu mzima na govi lenyewe gumu likiondolewa ni kwa ganzi au ni vipi? Maana ni hatari hapo. Ila sana madume hebu tuondoe ile foreskin kina dada zetu hawazitaki kabisa. Da kitu kumenya ndizi ndani ya ganda!!! Hivi ukimenya ndomu inaingia vizuri au inaumiza na ndiyo kupasuka? Nashukuru mila hizo kwetu hazipo!!! Age group wote enzi zile ukimaliza darasa la saba unasubiri matokeo mnawekwa ndani.
 
Tatizo tulilonalo kama taifa kwasasa ni ukosefu wa mira na desturi za taifa. Na chonzo cha ugomvi mwingi duniani ni pale mtu mmoja anapoona mila zake ni "the mila" neno mila potofu ni potofu lenyewe. Uzinzi ndio tatizo la msingi, na wala sio kutahili au kutotahiliwa. Uzinzi bila kutumia condom ni tatizo la msingi. Sasa badala ya kukemea ngono nzembe, mnakemea wasiotahili. Kwanza ingekuwa amri yangu ningesema nivae ngozi langu ili nione inakuwaje. Ni mtazamo tu
 
Hivi jamani ukiwa mtu mzima na govi lenyewe gumu likiondolewa ni kwa ganzi au ni vipi? Maana ni hatari hapo. Ila sana madume hebu tuondoe ile foreskin kina dada zetu hawazitaki kabisa. Da kitu kumenya ndizi ndani ya ganda!!! Hivi ukimenya ndomu inaingia vizuri au inaumiza na ndiyo kupasuka? Nashukuru mila hizo kwetu hazipo!!! Age group wote enzi zile ukimaliza darasa la saba unasubiri matokeo mnawekwa ndani.
tupo tunayoyataka hayo magovi. LOL. Na angalau watu wazima, hata 'watoto wakubwa', kama miaka saba, wanpewa ganzi. Hao vichanga vya siku 9 no ganzi no what. UNYAMA KABISA
 
Tatizo tulilonalo kama taifa kwasasa ni ukosefu wa mira na desturi za taifa. Na chonzo cha ugomvi mwingi duniani ni pale mtu mmoja anapoona mila zake ni "the mila" neno mila potofu ni potofu lenyewe. Uzinzi ndio tatizo la msingi, na wala sio kutahili au kutotahiliwa. Uzinzi bila kutumia condom ni tatizo la msingi. Sasa badala ya kukemea ngono nzembe, mnakemea wasiotahili. Kwanza ingekuwa amri yangu ningesema nivae ngozi langu ili nione inakuwaje. Ni mtazamo tu
si ndo hapo chacha. Eti inapunguza maambukizi. Wanatafuta ticket
 
mimi mwanangu nimemtahiri akiwa na miez 2 nafikir iko poa tu.
 
kwa hiyo Tutor B wewe ni Govinda???? Loh! mamamaaaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeee!! mimi ogopa wewe kuanzia leo, na wala thichezi na wewe kumbe uko hivyo.

Umeogopa nini sasa? Ukitaka uondo wa ngoma ingia ucheze - majibu utayaleta hapa hapa kweupe! Shauri yako - ukisusa ....... akina ...... wanakulaje?
 
Back
Top Bottom