Deo hii bendera inakufaa kwenye chama cha ACAMzee walimvuruga CCM halafu wakatupotezea.
Ndugu yangu ni ndugu yangu tu,wewe ndio acha kkubwabwaja huyu jamaa nuts and bolts and fuses ziko sawa kabisa acheni kumsimanga kila mtu ni chizi kiaina.
Hapa ndio ameni vunja mbavu.Na SECUCO ya Lushoto ulikuwa unasomea nini?
Deogratius Kisandu ndio habari ya mujini, (sorry Jamii Forums). Ana mikakati yake na mmoja wapo ni kuwa kwenye picha. Ningekushauri usisome nyuzi zake.Deogratius Kisandu you are now boring us
Deo hii bendera inakufaa kwenye chama cha ACAView attachment 466225
Lakini tutafanya kila tuwezalo urudi kwenye chama cha mababu zako CCM.
Uwazi na ukweli, hana maficho. Acha tusome nyuzi zake lazima 1+1 itupe jawabu.Hapa ndio ameni vunja mbavu.
April 2014: Mafunzo maalum ya mahusiano ya Ndoa na Uchumba, JRC, Mwanza.
A sense of humour too, I like you.Aksante sana imepita bila kupingwa. Bado logo tu.
Ndo matatizo ya elimu za kuungauanga , ana hofu ya inferiority complex maana hata huo ualimu ni wa kuunagunga, lazima cv iwe mbovu na isyielewekahii ni Cv au mukhutasari wa kikao cha ndugu
Aksante sana imepita bila kupingwa. Bado logo tu.