Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,401
Hii ndio Biograph ya Deogratius Kisandu.
Kuzaliwa: 28 Juni 1980. Siku ya Jumamosi.
1990-1994: Shule ya msingi Sunge, kata ya Busoka, Kahama, Shinyanga. Darasa la i-v.
1995-1996: Shule la msingi kahama, kahama, Shinyanga. Darasa la vi-vii.
1997: Kidato cha kwanza, Magu sekondari, Magu, Mwanza.(Evening Class-ODL).Niliishia Form one tu.
July 1998-April 1999: Mtawa shirika la Ndugu wadogo wa Afrika, Morogoro. Niliishia hatua ya Uaspiranti tu(Utakaji) hivyo sikutunukiwa cheti zaidi ya Kitambulisho.
April 1999-2002: Form i-iv, Kishimba sekondari, Kahama, Shinyanga.(Evening classes-ODL).
Desemba 2002-2003: ASTASHAHADA ya Uandishi wa habari, Chuo cha Royal College of Journalism, Dar es Salaàm.
2004: Mwandishi wa habari wa kujitegemea.
2007: Ku attend mtihani wa Kidato cha sita katika kituo cha kufanyia mtihani cha sekondari ya wasichana Tabora.(Cheti cha kidato cha sita)
April 2007-Juni 2007: Induction course for secondary school Teachers, Chuo cha ualimu Tabora(Leseni ya kufundishia 2007-2012).
2007-2012: Mwalimu, Shule ya sekondari Mwamala, Nzega, Tabora.
2008: Kurudia mtihani wa kidato cha sita (resitter), Kahama sekondari.
2008: Msimamizi Mkuu, mtihani kidato cha Pili, Mogwa sekondari, Nzenga.
April 2009: Msahihishaji wa Mitihani ya Mock kidato cha NNE, kanda ya Magharibi, Tabora.(Somo la kiswahili).
2009-2012: Shahada ya Elimu Maalum(Ndani yake nimesoma Political Science and Public Administration), Chuo Kikuu kishiriki cha Tumaini Makumira cha Sebastian Kolowa(SEKUCo), kwasasa SEKOMU.
2013 up to date: Mwalimu, Shule ya sekondari Mkolani, Mwanza.
2013: Mafunzo maalum ya Gesi asilia na madini, Mwanza, TEITI.
2014: Muwezeshaji Kongamano la KATIBA Mpya, Mwanza.
2016: Semina ya kusimamia mtihani na kusahisha kidato cha sita, Mwanza.
2016: Msimamizi wa mitihani kidato cha sita, Ngaza sekondari, Mwanza.
2016: Mafunzo maalum ya Imani Takatifu ndani ya Kanisa Katoliki(KATEKESI), Mwanza.
2012-2016: Nimeshiriki semina zote za JUKWAA LA KATIBA kupitia taasisi yetu ya JUKWAA la Mwalimu na Wanafunzi Tanzania (Teachers and Students Forum Tanzania).
Niliposahau nitaleta mwendelezo,
Wenu wa karibu:
Deogratius Nalimi Kisandu.
Kuzaliwa: 28 Juni 1980. Siku ya Jumamosi.
1990-1994: Shule ya msingi Sunge, kata ya Busoka, Kahama, Shinyanga. Darasa la i-v.
1995-1996: Shule la msingi kahama, kahama, Shinyanga. Darasa la vi-vii.
1997: Kidato cha kwanza, Magu sekondari, Magu, Mwanza.(Evening Class-ODL).Niliishia Form one tu.
July 1998-April 1999: Mtawa shirika la Ndugu wadogo wa Afrika, Morogoro. Niliishia hatua ya Uaspiranti tu(Utakaji) hivyo sikutunukiwa cheti zaidi ya Kitambulisho.
April 1999-2002: Form i-iv, Kishimba sekondari, Kahama, Shinyanga.(Evening classes-ODL).
Desemba 2002-2003: ASTASHAHADA ya Uandishi wa habari, Chuo cha Royal College of Journalism, Dar es Salaàm.
2004: Mwandishi wa habari wa kujitegemea.
2007: Ku attend mtihani wa Kidato cha sita katika kituo cha kufanyia mtihani cha sekondari ya wasichana Tabora.(Cheti cha kidato cha sita)
April 2007-Juni 2007: Induction course for secondary school Teachers, Chuo cha ualimu Tabora(Leseni ya kufundishia 2007-2012).
2007-2012: Mwalimu, Shule ya sekondari Mwamala, Nzega, Tabora.
2008: Kurudia mtihani wa kidato cha sita (resitter), Kahama sekondari.
2008: Msimamizi Mkuu, mtihani kidato cha Pili, Mogwa sekondari, Nzenga.
April 2009: Msahihishaji wa Mitihani ya Mock kidato cha NNE, kanda ya Magharibi, Tabora.(Somo la kiswahili).
2009-2012: Shahada ya Elimu Maalum(Ndani yake nimesoma Political Science and Public Administration), Chuo Kikuu kishiriki cha Tumaini Makumira cha Sebastian Kolowa(SEKUCo), kwasasa SEKOMU.
2013 up to date: Mwalimu, Shule ya sekondari Mkolani, Mwanza.
2013: Mafunzo maalum ya Gesi asilia na madini, Mwanza, TEITI.
2014: Muwezeshaji Kongamano la KATIBA Mpya, Mwanza.
2016: Semina ya kusimamia mtihani na kusahisha kidato cha sita, Mwanza.
2016: Msimamizi wa mitihani kidato cha sita, Ngaza sekondari, Mwanza.
2016: Mafunzo maalum ya Imani Takatifu ndani ya Kanisa Katoliki(KATEKESI), Mwanza.
2012-2016: Nimeshiriki semina zote za JUKWAA LA KATIBA kupitia taasisi yetu ya JUKWAA la Mwalimu na Wanafunzi Tanzania (Teachers and Students Forum Tanzania).
Niliposahau nitaleta mwendelezo,
Wenu wa karibu:
Deogratius Nalimi Kisandu.