Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

MTU MWENYE ELIMU HAWEZI KUPELEKESHWA KSSENGE NA FORM FOUR FAILURE KUFANYA MAAMUZI YA KIMAAMUMA.
KI MSINGI MIGIRO AME PROVE A POINT KWAMBA SHE IS JUST AN EDUCATED FOOL.
Watu kama nyinyi mnasema hivyo wengi wenu, ila mkiteuliwa na hao mnaowaita Form four failure mnaufyata mkia kama mbwa koko.

Ana majukumu na anatumikia majukumu yake, akikaa kando ya majukumu yake umewahi kusikia nini kingine?

Ukumbuke huyo mama ni Naibu katibu mstaafu wa Umoja wa mataifa ana mchango mpana sana kitaifa na kimataifa. Hizi siasa za majitaka zisiwatie upofu
 
Mnyika huyu aliyefeli first year aka sepa kukimbilia kwa mbowe ndio unamlinganisha na gwiji wa UNO mama migoro kweli wewe zuzu

USSR
Jizi na lipenda rushwa linachangia bila aibu
 
Hakuna haja ya kuibua vimisamiati vya kiingereza ili kumpamba mnyika, huyo dogo ni kilaza na alidisco chuo...
Usimlinganishe dr migiro na uchafu uchafu wa tecdema...

Na kule chadema kuna matatizo makubwa sana ambayo hayana mwisho.
Jizi na lipenda rushwa linachangia bila aibu
 
Leo tujadidili ugwiji wa miamba hii miwili; Asha Rose Migiro first class ya law UDSM na Mnyika TO Tanzania. Nani ametisha
Angekuwa TO asingefeli chuo! Ht hivyo ni aibu kufananisha watu km hao, ni utovu wa adabu! Hv vijana wa chadema mmezaliwa jalalani?
 
Me sitaki chochte ninachotaka ni kuona mabdiliko upi ni utofauti wangu mimi diploma holder wa chuo cha serikali Tanzania na yeye mnufaika wa western education ambayo inasemekana ni bora sana kuliko ya kwangu utofauti huo uwe ni either mchango wa moja kwa moja kwa jamii au mchango wa kimawazo ni hilo tu tofauti na hapo sitachelea kusema elimu iyo si kitu kwani haina tija.

Imagine vinyl tapes without phonograph

NB:Member joined yesterday😂
Sikio huwa Linazidi kichwa?
 
Ni kweli?;
Ndio, Mnyika mwenyewe aliwahi eleza hili kuwa kuna mgomo ulifanyika akiwa 3rd year na sababu yeye ndio ali husika kwenda kuwatuliza wanafunzi both chuoni na mabibo, basi ikawa translated kuwa yeye ndio alikua organiser na hivyo akafukuzwa na sio kufukuzwa tu bali alikuwa blacklisted kusoma chuo chochote kile duniani.

So kumalizia degree yake ni mpaka CCM itoke madarakani.
 
Ndio, Mnyika mwenyewe aliwahi eleza hili kuwa kuna mgomo ulifanyika akiwa 3rd year na sababu yeye ndio ali husika kwenda kuwatuliza wanafunzi both chuoni na mabibo, basi ikawa translated kuwa yeye ndio alikua organiser na hivyo akafukuzwa na sio kufukuzwa tu bali alikuwa blacklisted kusoma chuo chochote kile duniani.

So kumalizia degree yake ni mpaka CCM itoke madarakani.
Duuh duniani?
 
Ndio, Mnyika mwenyewe aliwahi eleza hili kuwa kuna mgomo ulifanyika akiwa 3rd year na sababu yeye ndio ali husika kwenda kuwatuliza wanafunzi both chuoni na mabibo, basi ikawa translated kuwa yeye ndio alikua organiser na hivyo akafukuzwa na sio kufukuzwa tu bali alikuwa blacklisted kusoma chuo chochote kile duniani.

So kumalizia degree yake ni mpaka CCM itoke madarakani.
Kumbe jamaa ana ushawishi toka kitambo sana
 
Hao UN wenu nao ni takataka tu,ni huku kwenye vi nchi vyenu vya kiboya ndio mnaowachukulia UN seriously ila wanaojichambua wote hawana muda na huo umoja wa kipuuzi.
Ndio maana hata huyo Naibu Katibu Mkuu wenu hana tofauti na wajinga wengine ndani ya Chama walioishia darasa la saba D
Na wewe unapatikana kwenye hivyo vinchi au upo mbinguni?

Kwa akili yako unadhani kuwa tecdema ndo akili?

Anyway, ulishawahi kusoma au kupata uelewa kuhusu mifumo ya UN na utendaji kazi wake au majukumu yake?
 
Back
Top Bottom