Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

Leo tujadidili ugwiji wa miamba hii miwili; Asha Rose Migiro first class ya law UDSM na Mnyika TO Tanzania. Nani ametisha
ASHA ROSE MIGIRO NI MSOMI ALIYETUMIA ELIMU YAKE KWA MANUFAA YAKE BINAFSI NA KWA MANUFAA YA WAHUNI WENGINE AMBAO KUPITIA UHUNI WAO NA YEYE NI MNUFAIKA.
JOHN JOHN MNYIKA NI MSOMI AMBAYE AMEHAKIKISHA ANAKITUMIA HATA KILE KIDOGO ALICHOKIPATA KWENYE ELIMU KUISEMEA JAMII YA WATANZANIA MASKINI WASIO NA MTETEZI CHINI YA UTAWALA DHALIMU WA MAJIZI , WATEKAJI NA WAUAJI. HAKIKA KANISA KATOLIKI LINAJIVUNIA KUZALISHA NA KUKUZA VIPAJI AMBAVYO VIMEKUWA NA TIJA NA MCHANGO MKUBWA KATIKA HARAKATI ZA UKOMBOZI WA MTANZANIA DHIDI YA UKOLONI MAMBOLEO.
 
Hebu kuwa na nidhamu kwanza, hivi unamjua huyo Mama Migiro au unaleta siasa zako za majitaka tu hapa. Huyk CV yake imeshiba hana elimu ya kubabaisha
MTU MWENYE ELIMU HAWEZI KUPELEKESHWA KSSENGE NA FORM FOUR FAILURE KUFANYA MAAMUZI YA KIMAAMUMA.
KI MSINGI MIGIRO AME PROVE A POINT KWAMBA SHE IS JUST AN EDUCATED FOOL.
 
Leo tujadidili ugwiji wa miamba hii miwili; Asha Rose Migiro first class ya law UDSM na Mnyika TO Tanzania. Nani ametisha
Kitaalamu, msomi ni yule mwenye kutumia elimu yake Kwa manufaa ya jamii, haijalishi ni kidato Cha nne au degree.

Unaweza kuwa na degree, masters au PhD lakini kama hauitumii elimu yako Kwa manufaa ya jamii inayokuzunguka, wewe sio msomi maana elimu yako Haina manufaa Kwa jamii.

Kwa muktadha huo, namuona Mnyika ni msomi aliebobea kuzidi Dr na professors kadhaa ambao wamekubali kuiasi jamii Kwa kukaa upande wa wadharimu wenye kuitesa jamii. Hawa ndio wale elimu zao haziwasaidii wao na ata jamii yao... professorial rubbish.

Useful idiots.
 
MTU MWENYE ELIMU HAWEZI KUPELEKESHWA KSSENGE NA FORM FOUR FAILURE KUFANYA MAAMUZI YA KIMAAMUMA.
KI MSINGI MIGIRO AME PROVE A POINT KWAMBA SHE IS JUST AN EDUCATED FOOL.
Migiro ni kama mjomba wangu mmoja kapatia elimu yake USA ni msomi kwelikweli lakini hajaelimika hata kidgo yaani hana impact yoyote kwenye familia zaidi ya kutuletea Vinyls tapes ambazo hatuna hata Santuri ya kuzicheza😂🙌

NB:
“to see the sun and moon is no sign of sharp sight; to hear the
noise of thunder is no sign of a quick ear.”
The Art of War
Sun Tzu
 
Migiro ni kama mjomba wangu mmoja kapatia elimu yake USA ni msomi kwelikweli lakini hajaelimika hata kidgo yaani hana impact yoyote kwenye familia zaidi ya kutuletea Vinyls tapes ambazo hatuna hata Santuri ya kuzicheza😂🙌

NB:
“to see the sun and moon is no sign of sharp sight; to hear the
noise of thunder is no sign of a quick ear.”
The Art of War
Sun Tzu
IN TANZANIA WE HAVE AN ABUNDANCE OF EDUCATED FOOLS AND THEY ARE EVENLY DISTRIBUTED, WHEREVER YOU GO YOU ARE LIKELY TO MEET ONE.
 
Migiro ni kama mjomba wangu mmoja kapatia elimu yake USA ni msomi kwelikweli lakini hajaelimika hata kidgo yaani hana impact yoyote kwenye familia zaidi ya kutuletea Vinyls tapes ambazo hatuna hata Santuri ya kuzicheza😂🙌

NB:
“to see the sun and moon is no sign of sharp sight; to hear the
noise of thunder is no sign of a quick ear.”
The Art of War
Sun Tzu
Mkuu ulitaka upewe nini?

Na wewe una nini cha kutoa ?

Nipe nikupe ,

Do me I do you
 
Kitaalamu, msomi ni yule mwenye kutumia elimu yake Kwa manufaa ya jamii, haijalishi ni kidato Cha nne au degree.

Unaweza kuwa na degree, masters au PhD lakini kama hauitumii elimu yako Kwa manufaa ya jamii inayokuzunguka, wewe sio msomi maana elimu yako Haina manufaa Kwa jamii.

Kwa muktadha huo, namuona Mnyika ni msomi aliebobea kuzidi Dr na professors kadhaa ambao wamekubali kuiasi jamii Kwa kukaa upande wa wadharimu wenye kuitesa jamii. Hawa ndio wale elimu zao haziwasaidii wao na ata jamii yao... professorial rubbish.

Useful idiots.
 

Attachments

Mkuu ulitaka upewe nini?

Na wewe una nini cha kutoa ?

Nipe nikupe ,

Do me I do you
Me sitaki chochte ninachotaka ni kuona mabdiliko upi ni utofauti wangu mimi diploma holder wa chuo cha serikali Tanzania na yeye mnufaika wa western education ambayo inasemekana ni bora sana kuliko ya kwangu utofauti huo uwe ni either mchango wa moja kwa moja kwa jamii au mchango wa kimawazo ni hilo tu tofauti na hapo sitachelea kusema elimu iyo si kitu kwani haina tija.

Imagine vinyl tapes without phonograph

NB:Member joined yesterday😂
 
Back
Top Bottom