Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

Hakuna ubishi CV ya Mh. Migiro siyo ya kitoto. Ukiachilia mbali kuwa ni msomi wa PhD, pia first class ya UDSM nayo sio kitu kirahisi. Nakumbuka Prof. Lipumba kuna wakati alikuwa akijisifu kuwa alipata first class ya uchumi pale UDSM.

Kwahiyo ni wazi kuwa CCM wana katibu mkuu bora kulinganisha na CHADEMA, angalau kwa hivi vigezo vya elimu na uzoefu wa uongozi kitaifa na kimataifa.

..unaamini Dr.Migiro anaweza kuwa Katibu Mkuu wa Chadema na akaimudu hiyo nafasi kama alivyoweza John Mnyika?

..Dr.Migiro ni mhadhiri na mkufunzi mahiri wa sheria, lakini sio mwanasiasa mzuri. Kwenye siasa ameteuliwa kutokana na vyeti, lakini ni nafasi ambazo zinahitaji mtu mwenye wito, na kipaji.
 
CCM hawana huruma mkuu. Nakumbuka wale mawakala wa UKAWA waliokamatwa wakijumlisha matokeo ya urais nchi nzima (Tallying center) walifungiwa kuajiriwa serikalini au kusoma vyuo vya Tanzania MILELE!! yaani walikua blacklisted indefinitely

..hata James Mbatia wa Nccr alifukuzwa Udsm akiwa mwaka wa 3 au wa 4 faculty of Engineering.
 
Leo tujadili ugwiji wa miamba hii miwili; Asha Rose Migiro first class ya law UDSM na Mnyika TO Tanzania. Nani ametisha
Ametisha nini?

This is just status anxiety.

Migiro kaja New York City hapa UN kashindwa hata kujimix na diplomats, kashindwa kujifunza kwa wenzake kama kina Michelle Bachelet.

Alikuwa anafikiri UN politics ni kama siasa za umangimeza za CCM.

Akashindwa vibaya sana.

Mpaka leo ukiuliza Migiro kafanya nini UN hakuna mtu anayejua.

Mtu msomi ni yule anayejua kuyasoma mazingira na kwenda nayo.

Migiro hilo tu lilimshinda.
 
Back
Top Bottom