Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

To be fair, fanya apple-to-apple comparison. Idiots wa CCM walinganishe wao kwa wao. Usibabaike na first class (paper qualification) ya Migiro. Angekuwa smart asingekubali kuwa dragged into the CCM mess. The fazafaka has squandered her entire political capital in less than one year!
Hivi mnyika aliwahi kuwa T.O wa Tanzania?
 
Sasa migiro na masetifiketi yake Ana mchango gani ndani ya nchi zaidi ya kubebwa tu kama gunia la kande? Ndo maana Ban ki moon aliona mzigo akautua tu, haya wakampeleka ubalozini kafanya nini zaidi ya kutumikia tumbo, tangu karudi sisiemuni juzi tu kaonekana alipotumwa amtangaze nchimbie! Keshazeeka na kupitwa na wakati akalee wajukuu kule! Kwanza elimu ya kimagharibi haijawahi kumbadilisha mbongo, bora genzee angalau wana kauthubutu kdg cha kuhoji sio hii mizee
 
Back
Top Bottom