KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 4,404
- 5,926
Na wewe unapatikana kwenye hivyo vinchi au upo mbinguni?Hao UN wenu nao ni takataka tu,ni huku kwenye vi nchi vyenu vya kiboya ndio mnaowachukulia UN seriously ila wanaojichambua wote hawana muda na huo umoja wa kipuuzi.
Ndio maana hata huyo Naibu Katibu Mkuu wenu hana tofauti na wajinga wengine ndani ya Chama walioishia darasa la saba D
Kwa akili yako unadhani kuwa tecdema ndo akili?
Anyway, ulishawahi kusoma au kupata uelewa kuhusu mifumo ya UN na utendaji kazi wake au majukumu yake?