Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

Hao UN wenu nao ni takataka tu,ni huku kwenye vi nchi vyenu vya kiboya ndio mnaowachukulia UN seriously ila wanaojichambua wote hawana muda na huo umoja wa kipuuzi.
Ndio maana hata huyo Naibu Katibu Mkuu wenu hana tofauti na wajinga wengine ndani ya Chama walioishia darasa la saba D
Na wewe unapatikana kwenye hivyo vinchi au upo mbinguni?

Kwa akili yako unadhani kuwa tecdema ndo akili?

Anyway, ulishawahi kusoma au kupata uelewa kuhusu mifumo ya UN na utendaji kazi wake au majukumu yake?
 
kwani kwa uelewa wako unafikiri mtu akiwa waziri basi ni mtu mmoja very smart au very resourceful.
kwa Afrika kama mjinga yeyote anaweza kuwa rais sembuse huo uwaziri.
Usichokijua hadi mwaka ambao Lussu anahitimu UDSM, huyo mama alikuwa mhadhiri
 
Hebu kuwa na nidhamu kwanza, hivi unamjua huyo Mama Migiro au unaleta siasa zako za majitaka tu hapa. Huyk CV yake imeshiba hana elimu ya kubabaisha
Ali-underperform pae UN Ban Ki-moon akamtema chap-(five yrs), akamteua m2 mwingine kuendelea naye. Angefanya vizur alikuwa na nafas ya kuendelea na Ban.
 
Huyo Mama Migiro ukumbuke naibu katibu mkuu mstaafu wa UN, hapo CCM anafanya kazi yake aliyoagizwa tu. Ila kielimu hebu muwe na nidhamu kwanza hadi UN inakitambua hicho kichwa
Hakuna ubishi CV ya Mh. Migiro siyo ya kitoto. Ukiachilia mbali kuwa ni msomi wa PhD, pia first class ya UDSM nayo sio kitu kirahisi. Nakumbuka Prof. Lipumba kuna wakati alikuwa akijisifu kuwa alipata first class ya uchumi pale UDSM.

Kwahiyo ni wazi kuwa CCM wana katibu mkuu bora kulinganisha na CHADEMA, angalau kwa hivi vigezo vya elimu na uzoefu wa uongozi kitaifa na kimataifa.
 
Hakuna ubishi CV ya Mh. Migiro siyo ya kitoto. Ukiachilia mbali kuwa ni msomi wa PhD, pia first class ya UDSM nayo sio kitu kirahisi. Nakumbuka Prof. Lipumba kuna wakati alikuwa akijisifu kuwa alipata first class ya uchumi pale UDSM.

Kwahiyo ni wazi kuwa CCM wana katibu mkuu bora kulinganisha na CHADEMA, angalau kwa hivi vigezo vya elimu na uzoefu wa uongozi kitaifa na kimataifa.
UPo sahihi, shida ni jinsi anavyitumika tu
 
Mnyika huyu aliyefeli first year aka sepa kukimbilia kwa mbowe ndio unamlinganisha na gwiji wa UNO mama migoro kweli wewe zuzu

USSR
Myika anepiga miaka mitatu UDSM huku Migiro akitimuliwa UN kwa incompetence (uzembe) licha ya shahada ya sheria ambapo hakuwahi kufanya kazi ya sheria.
 
Hakuna ubishi CV ya Mh. Migiro siyo ya kitoto. Ukiachilia mbali kuwa ni msomi wa PhD, pia first class ya UDSM nayo sio kitu kirahisi. Nakumbuka Prof. Lipumba kuna wakati alikuwa akijisifu kuwa alipata first class ya uchumi pale UDSM.

Kwahiyo ni wazi kuwa CCM wana katibu mkuu bora kulinganisha na CHADEMA, angalau kwa hivi vigezo vya elimu na u
Hujui hata argument yako ni nini unawezaje kulinganisha elimu ya kukariri na mtu mwenye ujuzi wa practical
Migiro hafanyi kazi kwa utashi wake nje ya HR wa kawaida ila ni kutekeleza maagizo ya Samia na Wassira haitaji kutumia "elimu" yake kwa lolote la ziada.
zoefu wa uongozi kitaifa na kimataifa.
 
Back
Top Bottom