Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,933
- 31,178
Mmliki wa klabu ya soka ya Chalsea FC Roman Abromovich ametua mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya kupanda mlima Kilimanjaro.
Bwana Abromovich alitua jana jioni saa 1 akiwa na watu sita na amefikia katikaHotel ya River Trees Country iliyoko eneo la USA River nje kidogo ya Mji wa Arusha .
Bwana Abromovich alitua jana jioni saa 1 akiwa na watu sita na amefikia katikaHotel ya River Trees Country iliyoko eneo la USA River nje kidogo ya Mji wa Arusha .