Abood bado hawajabadilika hadi sasa

Abood bado hawajabadilika hadi sasa

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,450
Reaction score
6,211
Wakuu habari za asubuhi

Abood ameleta mabasi mengi tu lakini hadi sasa hawataki kubadilika na tabia zao za ajabu ajabu.
Leo na safiri na Bus lao la Abood kutoka Tunduma kwenda Dar lakini cha kushangaza linabeba abiria Kama daradara njiani gari imejaa lakini konda bado anapakia watu njiani viti vyote vimejaa Hadi watu wengine wamekaa kwenye korido na wengine wamesimama.

Lakini pia siti uliyokatiwa ticket siajabu usikae unaambiwa kaa popote pale mjiriekebishe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habari za asubuhi
ABOOD ameleta mabasi mengi tu lakini hadi sasa hawataki kubadilika na tabia zao za ajabu ajabu.
Leo na safiri na Bus lao la Abood kutoka Tunduma kwenda Dar lakini Cha kushangaza linabeba abiria Kama daradara njiani gari imejaa lakini konda bado anapakia watu njiani viti vyote vimejaa Hadi watu wengine wamekaa kwenye korido na wengine wamesimama.
Lakini pia siti uliyokatiwa ticket siajabu usikae unaambiwa kaa popote pale mjiriekebishe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wafanyakazi wanapiga hela
 
Kuna basi linaitwa Tembo safari, linatokea Dar, walinitapeli kwa kuniambia linafika Kigoma kumbe linaishia Kahama. Wakaniandikia ticket ya Kigoma , tulipofika Kahama konda akanikimbia.

Mbaya zaidi nilikuwa na mizigo na wamenitoza nauli yake Hadi Kigoma. Polisi wa pale stendi ya kahama nao hawana maana. Badala ya kunisaidia wananiomba rushwa
 
Ni tabia ya konda na dereva wake sio basi hiyo husika
 
Huyu nadhan Mabus yake yashazoea uswahili, nimepanda gar la Mwanza tokea Morogoro, ilibidi nicheke vadala ya kukasirika, inasimama kila kituo hadi inauliza watu nyiee mnaenda ilihal hao watu wamebeba majembe wanaonekana wakienda zao shba kabisa.

Haya gari liko full ila as long kuna abiria anataka kupanda atapandiswa,

Kila stendi ya iwe ya kijiji, wilaya au mkoa itaingia, Stendi ya Gairo ikaingia ikakusanya wauza karanga za kuchemsha na wengineo ikawa hata pa kupumlia hamna,

Likafika Mbande stendi likaingia,

Kibaigwa stendi likaingia,

Nikasema hili Mwanza litatembeea week njiani,

Ikabidi nishuke tu njian nikaanzisha shuguli nyingine ku-buy time ili nipange safari nyingine upya na silu nyingine
 
Nilipanda hilo bus kutoka dar kwenda mwanza, kwanza stand lilitoka saa 2, tulivyofika Moro likaingia kwenye yard yao pale mjini wakatukalisha pale almost masaa mawili. Tulifika Mwanza saa moja asubuhi.
 
Kuna basi linaitwa Tembo safari, linatokea Dar, walinitapeli kwa kuniambia linafika Kigoma kumbe linaishia Kahama. Wakaniandikia ticket ya Kigoma , tulipofika Kahama konda akanikimbia. Mbaya zaidi nilikuwa na mizigo na wamenitoza nauli yake Hadi Kigoma.

Polisi wa pale stendi ya kahama nao hawana maana. Badala ya kunisaidia wanahiomba rushwa
Achana na hao wa kahama nenda juu zaidi as longer unayo ticket ...ungelipwa na fidia
 
Wakuu habari za asubuhi
ABOOD ameleta mabasi mengi tu lakini hadi sasa hawataki kubadilika na tabia zao za ajabu ajabu.
Leo na safiri na Bus lao la Abood kutoka Tunduma kwenda Dar lakini Cha kushangaza linabeba abiria Kama daradara njiani gari imejaa lakini konda bado anapakia watu njiani viti vyote vimejaa Hadi watu wengine wamekaa kwenye korido na wengine wamesimama.
Lakini pia siti uliyokatiwa ticket siajabu usikae unaambiwa kaa popote pale mjiriekebishe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Duh...huwa nadhani huo upuuzi unafanywa na New Force tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom