(Abnormal Feelings Problem) Nisaidieni kunishauri kuhusu hili linantesa

(Abnormal Feelings Problem) Nisaidieni kunishauri kuhusu hili linantesa

Status
Not open for further replies.
Jina linaanzia herufi sitaitaja, naishi dsm kww sasa, yes hua natembeavnae sometims but hajui hii issue at all

Mkuu hili jambo ni ushetani na umejiendekeza mwenyewe , kama unajua ya kuwa kimaadili n hata kwa tamaduni na mira zetu halifai why unali entertain, liache kwa roho moja, kaza watoto wazuri, kingine jitume ufanye kazi za kukuingizia kipato acha kutegemea cha wanaokukaza, nasema uache kutegemea cha wanaokukaza kwa sababu pengine ukiwakacha ufadhili utastop.
 
JF members habari za wakati huu, ni matumaini yangu wote mko salama.

Dah guys i need advice katika jambo lenye limekua linanipa stress na mawazo na sijui nitafix vipi niwe normal cas nishajitahidi sana ila narudi nyuma.

Nilisoma thread moja hapa i think iliandikwa na somebody Bharka if nakumbuka vyema, na alivyo andika hadi nkaogopa nikasema au mtu ananifahamu ameamua kuniandikia JF akijifanya ni mtu mwingine[emoji32] ok tupotezee hiyo.

Ndugu mimi kama mwana JF mwenzenu, mdogo wenu, mtoto wenu, ndugu yenu nna changamoto moja, ambayo hata JF naogopa kuiandika, Sjawahi kupenda mschana, ndio nnademu wa kuzugia kama huyo bharka sjui, ila kiukweli najihusisha kwa siri sana na mapenzi ya jinsia moja(gays), whats wrong with me? Nimelelewa familia nzuri as normal, nmesoma private schools nzuri tu za bei ghali , nmesoma degree yangu university of Nairobi tena course ngumu ina ma physics issues, nimeshi ulaya kiasi, nilipata job nzuri and everything is ok, but why navutiwa sana na handsome mens than beautiful ladies? why?

Je, wazazi wangu wamenizembea? ni uzembe wangu mwenyewe maybe hisia nazilazimisha? but why ma manzi hawanvutii but handsome mens wananivutia sana? au kuangalia porn tangu mdogo kuliniharibu? cas dah nahisi porn ziliniharibu psychology hadi one day nilipoona ya gays ikanivutia zaidi?

Ndugu kama una watoto wadogo hebu wakatazeni kutumia tumia cm zenye internet, au laptops ets zinaharibu watoto, i think hata me ndio ziliharibu mindset yangu, imagine nmekua nachezea na laptop na internets, smartphones etc, wawekeeni mipaka ya baadhi ya vitu ni muhimu sana, hata i hate kuzaliwa family yenye uwezo, imeniharibu[emoji26]

Sasa nahitaji msaada wenu, im very serious katika hili, rafki zangu wanaoa, wengine wana watoto wazuri tu, na very serious relationships why not me? why sivutiwi na women? i hate this feelings, msaada wenu please najiskia vibaya,wazazi hawajui na kila cku wamauliza taoa lini nazuga tu, naondoaje hii hali, please help me guys nashindwa na nishafika 27 old now[emoji26], nipeni ushauri wenu tafanya na kufata kila ushauri , nishauri nifanye nini niache, nisaidieni please, sitaku haya na feelings, ni ushetani.

Natanguliza shukrani.
Pole sana Mkuu Kwa tatizo lako...hakika Io ni spirit kabisa inayokutesa sio hali ya kawaida hio ni spirit imeuvaa mwili wako...kitakachokuokoa na hiyo spirit ni maombi tu Usali sana usome sana neno uache kuangalia porns uache zinaa......nicheki pm Kwa ushauri zaidi
 
Duh, sasa nmezaliwa nmekuta parents wana uwezo wao na pesa zao, mi ningefanya aje mkuu? bora hata nngezliwa na maskini maybe nngekua normal, only God knows why
Kuna mambo ya hovyo haswa shule za boarding unakuta mpo wanaume watupu na umesoma tangu mdogo , unatakiwa kukutana sana na wanawake ili ujue tabia zao.

Ukirudi kwenu unashinda ndani ya geti mara hivi utaweza kweli kupata mazoea na hao jinsia "ke" ,jamii ni kujamiana sio kusex ila kuzungumza ,kukaa pamoja na kuwa na urafiki haijalishi ni jinsia gani.
 
Pole sana dogo achana na uo ushetani kama mashine ipo active inasikitisha sana kama ulishawahi mpa mzigo mwanaume mwenzio itakutesa kisaikolojia inabidi umle uyo aliekukula ili ngoma iwe draw then rudi kwa wanawake
 
Tafuta Girlfriend ambae ni open minded halafu mwambie kuhusu hisia zako halafu tafuta boyfriend awe anakupiga start halafu unaenda kwenye papuchi, threesome
 
Duh, sasa nmezaliwa nmekuta parents wana uwezo wao na pesa zao, mi ningefanya aje mkuu? bora hata nngezliwa na maskini maybe nngekua normal, only God knows why

imagine[emoji22], yani nkiwa ofisini akija mtu hb nachanganyikiwa, i feel good yani tamtake care as a manager, kila atachoomba tkua tu nasema yes, mbona nisiwe na hizo feelings kali kwa madem, why handsome men[emoji51]
Hiyo ni spirit hapo uko possessed sio wewe unayofanya hayo ila ni Io spirit iliyo ndani yako ndo inakufanya hivo.....meditate kwenye kusoma sana neno na prayers....pole sana
 
Pole sana Mkuu Kwa tatizo lako...hakika Io ni spirit kabisa inayokutesa sio hali ya kawaida hio ni spirit imeuvaa mwili wako...kitakachokuokoa na hiyo spirit ni maombi tu Usali sana usome sana neno uache kuangalia porns uache zinaa......nicheki pm Kwa ushauri zaidi
nakuja mkuu, dah inaumiza sana me kua na haya mahisia[emoji26]
 
JF members habari za wakati huu, ni matumaini yangu wote mko salama.

Dah guys i need advice katika jambo lenye limekua linanipa stress na mawazo na sijui nitafix vipi niwe normal cas nishajitahidi sana ila narudi nyuma.

Nilisoma thread moja hapa i think iliandikwa na somebody Bharka if nakumbuka vyema, na alivyo andika hadi nkaogopa nikasema au mtu ananifahamu ameamua kuniandikia JF akijifanya ni mtu mwingine
emoji32.png
ok tupotezee hiyo.

Ndugu mimi kama mwana JF mwenzenu, mdogo wenu, mtoto wenu, ndugu yenu nna changamoto moja, ambayo hata JF naogopa kuiandika, Sjawahi kupenda mschana, ndio nnademu wa kuzugia kama huyo bharka sjui, ila kiukweli najihusisha kwa siri sana na mapenzi ya jinsia moja(gays), whats wrong with me? Nimelelewa familia nzuri as normal, nmesoma private schools nzuri tu za bei ghali , nmesoma degree yangu university of Nairobi tena course ngumu ina ma physics issues, nimeshi ulaya kiasi, nilipata job nzuri and everything is ok, but why navutiwa sana na handsome mens than beautiful ladies? why?

Je, wazazi wangu wamenizembea? ni uzembe wangu mwenyewe maybe hisia nazilazimisha? but why ma manzi hawanvutii but handsome mens wananivutia sana? au kuangalia porn tangu mdogo kuliniharibu? cas dah nahisi porn ziliniharibu psychology hadi one day nilipoona ya gays ikanivutia zaidi?

Ndugu kama una watoto wadogo hebu wakatazeni kutumia tumia cm zenye internet, au laptops ets zinaharibu watoto, i think hata me ndio ziliharibu mindset yangu, imagine nmekua nachezea na laptop na internets, smartphones etc, wawekeeni mipaka ya baadhi ya vitu ni muhimu sana, hata i hate kuzaliwa family yenye uwezo, imeniharibu
emoji26.png


Sasa nahitaji msaada wenu, im very serious katika hili, rafki zangu wanaoa, wengine wana watoto wazuri tu, na very serious relationships why not me? why sivutiwi na women? i hate this feelings, msaada wenu please najiskia vibaya,wazazi hawajui na kila cku wamauliza taoa lini nazuga tu, naondoaje hii hali, please help me guys nashindwa na nishafika 27 old now
emoji26.png
, nipeni ushauri wenu tafanya na kufata kila ushauri , nishauri nifanye nini niache, nisaidieni please, sitaku haya na feelings, ni ushetani.

Natanguliza shukrani.
Huenda una pepo la ushoga. Na kama ndivyo, unauhitaji msaada wa Mungu.

Kama hutajali, anza kusoma sana Biblia, ukiweza, tumia hata zaidi ya masaa 4 kila siku kusoma Biblia.

Pili, watafute "wahubiri" wenye imani uwaeleze, watakusaidia.

Tatu, tafuta Vitabu vinavyoweza kukujenga Imani na uvusome.

Nimekuwekea vichache. Visome, utapata cha kukusaidia.
 
JF members habari za wakati huu, ni matumaini yangu wote mko salama.

Dah guys i need advice katika jambo lenye limekua linanipa stress na mawazo na sijui nitafix vipi niwe normal cas nishajitahidi sana ila narudi nyuma.

Nilisoma thread moja hapa i think iliandikwa na somebody Bharka if nakumbuka vyema, na alivyo andika hadi nkaogopa nikasema au mtu ananifahamu ameamua kuniandikia JF akijifanya ni mtu mwingine[emoji32] ok tupotezee hiyo.

Ndugu mimi kama mwana JF mwenzenu, mdogo wenu, mtoto wenu, ndugu yenu nna changamoto moja, ambayo hata JF naogopa kuiandika, Sjawahi kupenda mschana, ndio nnademu wa kuzugia kama huyo bharka sjui, ila kiukweli najihusisha kwa siri sana na mapenzi ya jinsia moja(gays), whats wrong with me? Nimelelewa familia nzuri as normal, nmesoma private schools nzuri tu za bei ghali , nmesoma degree yangu university of Nairobi tena course ngumu ina ma physics issues, nimeshi ulaya kiasi, nilipata job nzuri and everything is ok, but why navutiwa sana na handsome mens than beautiful ladies? why?

Je, wazazi wangu wamenizembea? ni uzembe wangu mwenyewe maybe hisia nazilazimisha? but why ma manzi hawanvutii but handsome mens wananivutia sana? au kuangalia porn tangu mdogo kuliniharibu? cas dah nahisi porn ziliniharibu psychology hadi one day nilipoona ya gays ikanivutia zaidi?

Ndugu kama una watoto wadogo hebu wakatazeni kutumia tumia cm zenye internet, au laptops ets zinaharibu watoto, i think hata me ndio ziliharibu mindset yangu, imagine nmekua nachezea na laptop na internets, smartphones etc, wawekeeni mipaka ya baadhi ya vitu ni muhimu sana, hata i hate kuzaliwa family yenye uwezo, imeniharibu[emoji26]

Sasa nahitaji msaada wenu, im very serious katika hili, rafki zangu wanaoa, wengine wana watoto wazuri tu, na very serious relationships why not me? why sivutiwi na women? i hate this feelings, msaada wenu please najiskia vibaya,wazazi hawajui na kila cku wamauliza taoa lini nazuga tu, naondoaje hii hali, please help me guys nashindwa na nishafika 27 old now[emoji26], nipeni ushauri wenu tafanya na kufata kila ushauri , nishauri nifanye nini niache, nisaidieni please, sitaku haya na feelings, ni ushetani.

Natanguliza shukrani.
Pole na Mungu atakusaidia Kama mwenyewe umejitambua na umejua ni makosa na ushetan basi utakaa sawa tu usiwaze.Ila acha kuwa karibu na hao unaojihusisha nao na mapenz ya jinsia moja,pia tumia mda wako mwingi kutafakar Mambo ya Mungu itakusaidia kuwa na hofu ya kufanya Mambo mabaya,tafuta girlfriend uwe naye.
 
Kuna mambo ya hovyo haswa shule za boarding unakuta mpo wanaume watupu na umesoma tangu mdogo , unatakiwa kukutana sana na wanawake ili ujue tabia zao.

Ukirudi kwenu unashinda ndani ya geti mara hivi utaweza kweli kupata mazoea na hao jinsia "ke" ,jamii ni kujamiana sio kusex ila kuzungumza ,kukaa pamoja na kuwa na urafiki haijalishi ni jinsia gani.
dah, ni kweli mkuu, yani imekua too late but i hope tachukua hatua nichange, sii poa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom