(Abnormal Feelings Problem) Nisaidieni kunishauri kuhusu hili linantesa

(Abnormal Feelings Problem) Nisaidieni kunishauri kuhusu hili linantesa

Status
Not open for further replies.
duh, inafikirisha[emoji22], am i number 3? no way, mbona mambo mengine niko fresh tu had watu huniita genious, no way
Man Jack?
Hivi watu walioathirika kisaikolojia huwa wanajitambua?

Bro!
Mimi ninachoamini kulingana na story yako, You know what you are doing brother.

Kuhusu hiyo no 3 brother nina uhakika wewe haupo humo!!!
 
JF members habari za wakati huu, ni matumaini yangu wote mko salama.

Dah guys i need advice katika jambo lenye limekua linanipa stress na mawazo na sijui nitafix vipi niwe normal cas nishajitahidi sana ila narudi nyuma.

nilisoma thread moja hapa i think iliandikwa na somebody Bharka if nakumbuka vyema, na alivyo andika hadi nkaogopa nikasema au mtu ananifahamu ameamua kuniandikia JF akijifanya ni mtu mwingine[emoji32] ok tupotezee hiyo

Ndugu mimi kama mwana JF mwenzenu, mdogo wenu, mtoto wenu, ndugu yenu nna changamoto moja, ambayo hata jf naogopa kuiandika, Sjawahi kupenda mschana, ndio nnademu wa kuzugia kama huyo bharka sjui, ila kiukweli najihusisha kwa siri sana na mapenzi ya jinsia moja(gays), whats wrong with me?nmelelewa familia nzuri as normal, nmesoma private schools nzuri tu za bei ghali , nmesoma degree yangu university of Nairobi tena course ngumu ina ma physics issues, nimeshi ulaya kiasi, nilipata job nzuri and everything is ok, but why navutiwa sana na handsome mens than beautiful ladies? why?

Je wazazi wangu wamenizembea? ni uzembe wangu mwenyewe maybe hisia nazilazimisha? but why ma manzi hawanvutii but handsome mens wananivutia sana? au kuangalia porn tangu mdogo kuliniharibu? cas dah nahisi porn ziliniharibu psychology hadi one day nilipoona ya gays ikanivutia zaidi?

Ndugu kama una watoto wadogo hebu wakatazeni kutumia tumia cm zenye internet, au laptops ets zinaharibu watoto, i think hata me ndio ziliharibu mindset yangu, imagine nmekua nachezea na laptop na internets, smartphones etc, wawekeeni mipaka ya baadhi ya vitu ni muhimu sana, hata i hate kuzaliwa family yenye uwezo, imeniharibu[emoji26]

sasa nahitaji msaada wenu, im very serious katika hili, rafki zangu wanaoa, wengine wana watoto wazuri tu, na very serious relationships why not me? why sivutiwi na women? i hate this feelings, msaada wenu please najiskia vibaya,wazazi hawajui na kila cku wamauliza taoa lini nazuga tu, naondoaje hii hali, please help me guys nashindwa na nishafika 27 old now[emoji26], nipeni ushauri wenu tafanya na kufata kila ushauri , nishauri nifanye nini niache, nisaidieni please, sitaku haya na feelings, ni ushetani.

Natanguliza shukrani.

Pole sana.

Unaweza kusaidika ili hali umetambua ulipo si sehemu yako.

Jambo la msingi ni kutambua msingi wa tatizo. Huwezi kupigana vita bila kujua adui.

Msingi wa kwanza ni kujua kilichokufikisha huko:

1: Malezi ndani ya familia/ composition(male vs female).

2: Biolojia haijabalansi/mwili.

3: Abuse

4: Matumizi mabaya ya uhuru.

NB: Ukikutana na wataalamu wa afya/Saikolojia, kuangalia chimbuko lako la maisha, kuangalia mwili pamoja na homoni pia kutumia upande wa kiroho vyema utaweza kuondoka huko. Siraha ipi itatumka zaidi au muunganiko upi, itategemea na tatizo lilikoanzia.

Keep on fighting positively.
 
Hii ni changamoto ya akili pia. Kuna wakati uliiambia akili yako ikadaka hizo tabia. Iambie unachukia hilo jambo. Chukua hatua za dhati kabisa na umchague mke akusaidie uachane na hayo mauchafu
 
JF members habari za wakati huu, ni matumaini yangu wote mko salama.

Dah guys i need advice katika jambo lenye limekua linanipa stress na mawazo na sijui nitafix vipi niwe normal cas nishajitahidi sana ila narudi nyuma.

nilisoma thread moja hapa i think iliandikwa na somebody Bharka if nakumbuka vyema, na alivyo andika hadi nkaogopa nikasema au mtu ananifahamu ameamua kuniandikia JF akijifanya ni mtu mwingine[emoji32] ok tupotezee hiyo

Ndugu mimi kama mwana JF mwenzenu, mdogo wenu, mtoto wenu, ndugu yenu nna changamoto moja, ambayo hata jf naogopa kuiandika, Sjawahi kupenda mschana, ndio nnademu wa kuzugia kama huyo bharka sjui, ila kiukweli najihusisha kwa siri sana na mapenzi ya jinsia moja(gays), whats wrong with me?nmelelewa familia nzuri as normal, nmesoma private schools nzuri tu za bei ghali , nmesoma degree yangu university of Nairobi tena course ngumu ina ma physics issues, nimeshi ulaya kiasi, nilipata job nzuri and everything is ok, but why navutiwa sana na handsome mens than beautiful ladies? why?

Je wazazi wangu wamenizembea? ni uzembe wangu mwenyewe maybe hisia nazilazimisha? but why ma manzi hawanvutii but handsome mens wananivutia sana? au kuangalia porn tangu mdogo kuliniharibu? cas dah nahisi porn ziliniharibu psychology hadi one day nilipoona ya gays ikanivutia zaidi?

Ndugu kama una watoto wadogo hebu wakatazeni kutumia tumia cm zenye internet, au laptops ets zinaharibu watoto, i think hata me ndio ziliharibu mindset yangu, imagine nmekua nachezea na laptop na internets, smartphones etc, wawekeeni mipaka ya baadhi ya vitu ni muhimu sana, hata i hate kuzaliwa family yenye uwezo, imeniharibu[emoji26]

sasa nahitaji msaada wenu, im very serious katika hili, rafki zangu wanaoa, wengine wana watoto wazuri tu, na very serious relationships why not me? why sivutiwi na women? i hate this feelings, msaada wenu please najiskia vibaya,wazazi hawajui na kila cku wamauliza taoa lini nazuga tu, naondoaje hii hali, please help me guys nashindwa na nishafika 27 old now[emoji26], nipeni ushauri wenu tafanya na kufata kila ushauri , nishauri nifanye nini niache, nisaidieni please, sitaku haya na feelings, ni ushetani.

Natanguliza shukrani.
You need to go for prayers
 
Anza kwa kubadilisha jina la ID yako imekaa kike kike...

Pili, kuwa karibu na mafundisho ya Mungu na tumia muda mwingi kutafakari mambo ya ibada na sala...

Mwisho, uzi wako umeuandika kama tangazo hivi, hivyo tarajia kutokewa na mabasha huko PM...
 
Unahitaji kumuona daktari akupe(aprescribe for you) hormones za kiume. And that is all really. Quite simple. Hakikisha unakuwa na proper eating habits ili uwe na balanced diet.
We ni choko. Labda onlyalvira anaweza kukusaidia.
And,ah,yes,soma Six Yogas of Naropa.
You seek to do these things which give you the highest pleasure. But you are debasing yourself.
Sex desire is the second greatest power on Earth.
The greatest power on Earth is the power of imagination. The sex urge is juniour to the imagination,and so it can be controlled by controlling the imagination.
 
Man Jack?
Hivi watu walioathirika kisaikolojia huwa wanajitambua?

Bro!
Mimi ninachoamini kulingana na story yako, You know what you are doing brother.

Kuhusu hiyo no 3 brother nina uhakika wewe haupo humo!!!
Anatambua analofanya angalia hata jina lake Jackme mwanaume hawez kujiita hvyo.dawa ni yy nwenyewe kuamua kutoka katika hali hyo

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Unahitaji kumuona daktari akupe(asubscribe for you) hormones za kiume. And that is all really. Quite simple. Hakikisha unakuwa na proper eating habits ili uwe na balanced diet.
We ni choko. Labda onlyalvira anaweza kukusaidia.
And,ah,yes,soma Six Yogas of Naropa.
You seek to do these things which give you the highest pleasure. But you are debasing yourself.
Sex desire is the second greatest power on Earth.
The greatest power on Earth is the power of imagination. The sex urge is juniour to the imagination,and so it can be controlled by controlling the imagination.
Kule jukwaa la afya kuna uzi unaongelea mitishamba kuda jamaa alielezea kuna aina ya dawa ukinywa zina balance hormones bt uzi ni mrefu mpaka aje aione atumie mda mwingi sana

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
acha kutuona wajinga we shoga wa buza, eti umesoma mpaka ulaya halafu unavutiwa na handsome mens!? mens!? kuna kiiengereza kama hicho wapi!? sio lazima utuletee story zako zakutunga kuhalalisha ushoga wako kwa kujifanya matawi,
 
Wewe unachofanya hapa ni kujitangaza au unajaribu kutafuta attention.

Nimejifunza namna yako yakufikiria wewe huna nia yakuacha huo ushoga au unajaribu kuandika uwongo hapa.

Kumbuka baadhi ya watu hapa ni wadadisi na wanasoma neno kwa neno lakini pia kutaka kufahamu nia yako hasa ni nini.

Aiana ya mifano katika hadithi yako inaonyesha hivyo, wewe unatangaza ushonga kiaina au unatafuta attention kwa mambo yakutunga.

Bisha nikuambie kwa sababu gani.
 
Wachangia mada,kuweni makini.....hii ishu siyo ya kuoneha huruma.bible inasema ni bora kuingia Mbinguni ukiwa chongo. Hii ni dhambi mkuu huruma ya mtu haikusaidii Tambua unamuudhi aliyekuumba ,Tambua wewe niwanaume .
Tubu KWA imani funga,toa sadaka,badalisha Maisha,afu Tambua unakosea na juta usirudie,weka toba huo ni ushenzi,ujinga na Motoni utaenda
 
Wewe una growth hormone deficiency especially kwenye prostate gland, hivyo unapaswa kuchomwa sindano ya growth hormone stimulation.
 
You wanna change the situation? Asin do you really mean it deep down in your heart? Well natamani kusema umeamini uongo all this time. Moyo ni mdanganyifu sana una ugonjwa wa kufisha..moyo wako umekuaminisha wewe ni wa darkness na ukaamini ukaishi nayo. Toka huko, you are a man, be a man.

Natamani niseme jambo na wazazi walezi na wote tunaoelekea huko. Kwenye haya mashule hasa hizi boarding schools kuna shida nyingi sana miaka hii. Hata kama hyo shule ulisomaga zamani, lkn sasa hv kuna maagent wa kuzimu wako so active kudondosha maroho haya ya uharibifu kwenye mashule. Hizi roho za chukizo watoto wanazibebea mashuleni. Na ndo zinakuja kujifunua huku uraiani. Tuombee sana watoto walioko mashuleni maana ndo target no 1 ya adui kuliangamiza taifa.

Mleta mada, achana na hiyo dunia uliyoingia..utawezaje? ijue kweli, nayo ikuweke huru. Katika YEYE tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu. Yesu ni yeye yule jana, leo na hata milele. May God save you from that dungeon!!!
 
JF members habari za wakati huu, ni matumaini yangu wote mko salama.

Dah guys i need advice katika jambo lenye limekua linanipa stress na mawazo na sijui nitafix vipi niwe normal cas nishajitahidi sana ila narudi nyuma.

nilisoma thread moja hapa i think iliandikwa na somebody Bharka if nakumbuka vyema, na alivyo andika hadi nkaogopa nikasema au mtu ananifahamu ameamua kuniandikia JF akijifanya ni mtu mwingine[emoji32] ok tupotezee hiyo

Ndugu mimi kama mwana JF mwenzenu, mdogo wenu, mtoto wenu, ndugu yenu nna changamoto moja, ambayo hata jf naogopa kuiandika, Sjawahi kupenda mschana, ndio nnademu wa kuzugia kama huyo bharka sjui, ila kiukweli najihusisha kwa siri sana na mapenzi ya jinsia moja(gays), whats wrong with me?nmelelewa familia nzuri as normal, nmesoma private schools nzuri tu za bei ghali , nmesoma degree yangu university of Nairobi tena course ngumu ina ma physics issues, nimeshi ulaya kiasi, nilipata job nzuri and everything is ok, but why navutiwa sana na handsome mens than beautiful ladies? why?

Je wazazi wangu wamenizembea? ni uzembe wangu mwenyewe maybe hisia nazilazimisha? but why ma manzi hawanvutii but handsome mens wananivutia sana? au kuangalia porn tangu mdogo kuliniharibu? cas dah nahisi porn ziliniharibu psychology hadi one day nilipoona ya gays ikanivutia zaidi?

Ndugu kama una watoto wadogo hebu wakatazeni kutumia tumia cm zenye internet, au laptops ets zinaharibu watoto, i think hata me ndio ziliharibu mindset yangu, imagine nmekua nachezea na laptop na internets, smartphones etc, wawekeeni mipaka ya baadhi ya vitu ni muhimu sana, hata i hate kuzaliwa family yenye uwezo, imeniharibu[emoji26]

sasa nahitaji msaada wenu, im very serious katika hili, rafki zangu wanaoa, wengine wana watoto wazuri tu, na very serious relationships why not me? why sivutiwi na women? i hate this feelings, msaada wenu please najiskia vibaya,wazazi hawajui na kila cku wamauliza taoa lini nazuga tu, naondoaje hii hali, please help me guys nashindwa na nishafika 27 old now[emoji26], nipeni ushauri wenu tafanya na kufata kila ushauri , nishauri nifanye nini niache, nisaidieni please, sitaku haya na feelings, ni ushetani.

Natanguliza shukrani.
Nenda ukaishi North Korea, Uganda, China au Urusi japo mwaka mmoja naamini tatizo lako litaisha
 
Jackyme! Nakushauri ingia YouTube, mtafute Pastor Anthony Kapola, anza kufuatilia mafundisho yake, then utakuwa sawa. Mungu akusaidie.
Kwa kumsaidia zaidi,atafute somo lenye kichwa kinachosema"How to deal with addictions" hapo kuna mtoko wake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom