Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Unaweza hisi ni vituko lakini ndicho kinaendelea hivi sasa tatizo la ku overbook abiria linazidi kuwameza precissionair pale group la watu 48 liilipokata tkt na kuhakikishiwa safari ya Zanzibar matokeo yake leo wamekuta watu kadhaa wamepewa boarding pass ambao hawakuwepo kwenye list
Hivi sasa abiria 6 wamebaki walichoafanya ni kuwaambia wenzao sita wasimame na kushuka chini kwa habari zaidi tunaendelea kuwapa
Hili liwe fundisho kwa wenye tamaa kama hawa muweke wale waliolipa kwanza kunatabia cha hapa airport wafanyaakazi kupewa hela na kuchukua abiria tena wakisapotiwa na viongozi wao wa juu hili linafanya kutokuwa na maana ya kuwahi kufanya booking kwa nini wasifanye kama kalula air south mnakatia airport kabisa
Tunaitaji kuwepo na mashirika mengi ili urasimu kama huu uishe daima
Hivi sasa abiria 6 wamebaki walichoafanya ni kuwaambia wenzao sita wasimame na kushuka chini kwa habari zaidi tunaendelea kuwapa
Hili liwe fundisho kwa wenye tamaa kama hawa muweke wale waliolipa kwanza kunatabia cha hapa airport wafanyaakazi kupewa hela na kuchukua abiria tena wakisapotiwa na viongozi wao wa juu hili linafanya kutokuwa na maana ya kuwahi kufanya booking kwa nini wasifanye kama kalula air south mnakatia airport kabisa
Tunaitaji kuwepo na mashirika mengi ili urasimu kama huu uishe daima