dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Mwanza: Wasafiri ya Ndege ya Precision Air, Wakatazwa kupanda na mizigo yao kwa sababu ya ndege kujaa sana na haina uwezo kwa sababu za kiufundi
Kitendo hicho kimewatia wasiwasi wasafiri wa ndege hiyo ambao imechukua masaa mawili hadi kukubali kupanda ndege hiyo ambayo walitaka maelezo ya kina kwa kuhofia usalama wao.
"Kama ndege inashindwa kubeba mizigo ya kawaida itakuaje usalama wa watu?" alihoji moja ya abiria wa ndege hiyo.
Mamlaka pamoja na kuwakataza kupiga picha wala kuchukua Video kuhusiana na tukio hilo, imewaambia mizigo yao ibaki hapo uwanjani itasafirishwa kwa ndege nyingine.
Hadi sasa hakuna taarifa rasmi kutoka kwa Wasimamizi wa safari wala Mamlaka husika ili kujua nini hasa kimefanya watu waache mizigo yao kinyume na taratibu au mazoea.
Namba za ndege ni 5H-PWG ambayo operator wake ni Precision Air. Aircraft ni ATR 72-500, type code ni AT75. Safari ilikuwa Mwanza kwenda Dar.
Kitendo hicho kimewatia wasiwasi wasafiri wa ndege hiyo ambao imechukua masaa mawili hadi kukubali kupanda ndege hiyo ambayo walitaka maelezo ya kina kwa kuhofia usalama wao.
"Kama ndege inashindwa kubeba mizigo ya kawaida itakuaje usalama wa watu?" alihoji moja ya abiria wa ndege hiyo.
Mamlaka pamoja na kuwakataza kupiga picha wala kuchukua Video kuhusiana na tukio hilo, imewaambia mizigo yao ibaki hapo uwanjani itasafirishwa kwa ndege nyingine.
Hadi sasa hakuna taarifa rasmi kutoka kwa Wasimamizi wa safari wala Mamlaka husika ili kujua nini hasa kimefanya watu waache mizigo yao kinyume na taratibu au mazoea.
Namba za ndege ni 5H-PWG ambayo operator wake ni Precision Air. Aircraft ni ATR 72-500, type code ni AT75. Safari ilikuwa Mwanza kwenda Dar.