Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,596
Huo usafiri ulikua wa kisasa wakati wetu wa shule. Madereva wa malori walikua mpaka wanajivuna. Tulikuwa tunageuzwa pamba maana malaria yalikuwa ya mamlaka ya pamba. Hatari kweli..dah milima ya uporoto umenikumbusha zamani tukienda shule, maisha ya boardin irambo hakuna fashion!