Abiria aliyetambuliwa kwa majina ya George Onesmo amefariki ndani ya basi la Mohamed Trans namba T642 lililotoka Dar kuelekea Bukoba.
Mwili umehifadhiwa hospitali ya mkoa wa Kagera na marehemu amepatwa na mauti kati ya mji wa Kahama na Chato.
Kamanda wa Polisi Henry Salewi amesema uchunguzi unaendelea.
Mwili umehifadhiwa hospitali ya mkoa wa Kagera na marehemu amepatwa na mauti kati ya mji wa Kahama na Chato.
Kamanda wa Polisi Henry Salewi amesema uchunguzi unaendelea.