Abiria afariki ndani ya Mohamed Trans

Mutabora

Member
Apr 29, 2010
45
4
Abiria aliyetambuliwa kwa majina ya George Onesmo amefariki ndani ya basi la Mohamed Trans namba T642 lililotoka Dar kuelekea Bukoba.

Mwili umehifadhiwa hospitali ya mkoa wa Kagera na marehemu amepatwa na mauti kati ya mji wa Kahama na Chato.

Kamanda wa Polisi Henry Salewi amesema uchunguzi unaendelea.
 
apunzike kwa amani,yawezekana pia heart attack au pumu.sielewi inakuwaje siku hizi watu wanakufa ghafla namna hiyo.
 
mohamed trans imeanza kutoka kivingine eti? RIP ONESMO G
 
Mungu ampe pumziko la milele na mwanga wa bwana umwangazie amen
 
Huyo jamaa inasemekana alikuwa anakunywa konyagi tangu alipoingia kwenye basi na walipokuwa wanaondoka kahama jamaa alikuwa anashindwa kupanda hata kwenye basi, konda akamsaidia. Mpaka mauti yalipomkuta alikuwa anamalizia chupa ya 4.
Source ni RFA kipindi cha matukio leo asubuhi.
Kweli ulevi noma!
 
Huyo jamaa inasemekana alikuwa anakunywa konyagi tangu alipoingia kwenye basi na walipokuwa wanaondoka kahama jamaa alikuwa anashindwa kupanda hata kwenye basi, konda akamsaidia. Mpaka mauti yalipomkuta alikuwa anamalizia chupa ya 4.
Source ni RFA kipindi cha matukio leo asubuhi.
Kweli ulevi noma!

Ni kweli ilitokea hivyo mimi nimesimuliwa na jamaa yangu aliyekuwemo kwenye basi hilo. Marehemu alipandia Dodoma na inasemekana alikuwa mwajiriwa wa Dodoma Hotel.
 
nchi haina taratibu hii! kuna siku iliongelewa hapa kuhusu uhusiano wa gharama unayolipia na quality of service. kuna abiria alikataliwa kukwea dar express coz alikua amelewa tena asubuhi! jamaa akawa analalama kua hiyo sio ndege! sasa abiria wengine vifo huwa vinatu-traumatise jamani! ama kwao kanyigo walau amepunguzia watu kazi!
Huyo jamaa inasemekana alikuwa anakunywa konyagi tangu alipoingia kwenye basi na walipokuwa wanaondoka kahama jamaa alikuwa anashindwa kupanda hata kwenye basi, konda akamsaidia. Mpaka mauti yalipomkuta alikuwa anamalizia chupa ya 4. <br />
Source ni RFA kipindi cha matukio leo asubuhi. <br />
Kweli ulevi noma!
<br />
<br />
 
R.I.P Bwana ikukupendeza umsamehe na kuyasahau makosa yake yote, apumzike kwa amani.
 
&lt;font size=&quot;3&quot;&gt;in alilah la in alillahi raijun&lt;/font&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
muwe mnatafsiri basi wandugu, mtu unaandika kiarabu kwa kiswahili, unashindwa kutafsiri ama kutuandika kwa kiswahili, ole wako ikibainika ni tusi!!!!
 
Ni kweli ilitokea hivyo mimi nimesimuliwa na jamaa yangu aliyekuwemo kwenye basi hilo. Marehemu alipandia Dodoma na inasemekana alikuwa mwajiriwa wa Dodoma Hotel.
...Huenda jamaa alikuwa frastrated maana haya maisha bana sio mchezo. Hapo madeni, au katimuliwa kibarua Dodoma hotel, wife hajatulia, nyumba ndogo inakupelekesha au amegonga demu mwenye ngoma ili mradi ni taabu tu. any way RIP George , kufa ni kufa tu..
 
hapo inawezekana waliposimama kula chakula alikula ugali wa moto, ni hatari sana, watu wengi wanazimika kwa stali hiyooooo, wenye taaruma ya udaktari tupeni sababu
 
Back
Top Bottom