Abdulrahman Kinana: Who is he?

Ninachojiuliza ni kimoja tu . . . .
  • Kama ni kweli suala la Uraia wake halijulikani
  • Na kama ni kweli facts zote zilizotolewa hapo juu zinamhusu
  • Na kama ni kweli ana nguvu za ziada CCM
  • Na kama ni kweli anaweza ku-control siasa za tanzania kiasi hiki . . .
Then . . . .

Watanzania makini wa level yake au zaidi wako wapi na wanafanya nini mpaka tumefika hapa?

Je; enzi za Mwalimu ilikuwaje?
 
Source: WiA Group - Management

Abdulrahman Kinana

Chairperson of the Board of Directors


Abdulrahman Kinana is one of the founding principals and the Chairman of The WiA Group.

Previously Abdulrahman Kinana served as a member of the Tanzanian Parliament for the Arusha region for two terms from 1985-1995. He went on to become the Deputy Minister of Defense and National Service from 1985-1990 and thereafter he became the Deputy Minister of Foreign Affairs and International Cooperation from 1990-1991. He was then appointed Speaker of the East African Legislative Assembly 2001-2006.

Abdulrahman Kinana has been active in several industries and has chaired several major companies including Diamond Shipping, Coastal Development, Tanzania Pharmaceuticals and Meditech Industries. Abdulrahman Kinana is also a member of several boards such as Alexander Forbes Tanzania and Artumas Energy Tanzania Ltd.

Abdulrahman Kinana is currently the Chairman of both The WiA Group and WiA Company Ltd. He is also a member of the two most powerful executive wings of the ruling party the National Executive Committee and the Central Committee.

Abdulrahman Kinana holds a Bachelor Degree in Political Science and International Relations from the Ljubiliana University in Yugoslavia and a Masters in Management and Public Administration from Harvard University in the United States.
 

Hii ni hatari inabidi CIA, MI6 na KGB wajulishwe kwani inaelekea Tanzania hatuwezi kumkamata huyu mtu. Jamaa kumbe ana deal na majangili kule Diamond Shipping, Anafisadi Tanzania kule Alexander Forbers na Artumas. Dah kila la kheri CCM kura yangu hamuipati
 
Kinana namfahamu.
1. Alikuwa mwanajeshi na cheo cha kanali
2. Ni kweli ana asili ya kisomali
3. Sina uhakika kama kazaliwa Tanzania lakini alienda sekondari ya Old Moshi na Lowassa na matokeo yake ya Form Four alipata Division 0.
4. Alikuwa mbunge wa Arusha kuanzia 1985 na alikuwa Naibu wa ulinzi chini ya Salim Salim.
5. Alikuwa Jirani wa Lowassa kwenye nyumba za msajili maeneo ya sanawari arusha kuanzia miaka ya mwisho ya sabini mpaka ya mwanzo ya 80.
6. Amejenga nyumba maeneo ya nyiro kilimani pale Arusha
7. Wakati wa mkapa alikuja kujiendeleza kielimu.
8. Yeye ndiye aliyewaunganisha Kikwete na Lowassa kuwa marafiki kwasababu anawafahamu wote. Kikwete kutoka jeshini na Lowassa jirahi wa siku nyingi.
 
3. Sina uhakika kama kazaliwa Tanzania lakini alienda sekondari ya Old Moshi na Lowassa na matokeo yake ya Form Four alipata Division 0.

Duh! Yaani jamaa alizungusha form four halafu akaenda kuchukua Master's Harvard? Wow...
 
Maneno mazito sana haya hasa hapo penye NYEKUNDU......
 

hayo ndo muneno achana na vibaraka kina kadogoo(kimtu chenyewe cha weza kuwa na ubongo mdogo pia)
lete datz za huyu fisadi.
kwani kila wajapo wale wezi wa wanyama wa kiarabu kule Loliondo gate huwa Kinana ana kuwepo na wanamuogopa sana hasa watz ambao kwa nyakati hizo wanakuwa wapagazi wa waarabu hao.
mwisho wasiku wanaishia kusifia ujinga mtoto wa malme kaja na neema,tumevuna sana safari hii.
wakati alichochukua hakilingani na walichopata.
 
AISEE! Yaani naogopa hata kuamini. Huyu ndio meneja wa kampeni ya chama chetu "kitukufu"? isije kuwa fedha za utekaji nyara zinatumika kugharamia kampeni ya kutushawishi kuwachagua tena. Kwa vile jambo hili liko hadharani sasa, wanaohusika wafanye linalipaswa maana kama Al Shabab wana wakala hapa TZ tusishangae siku moja yaliyotokea Kampala yakajitokeza hapa tukabaki tunajilaumu kwa tabia yetu ya kupuuzia mambo. Ashughulikiwe
 
Watanzania upole wa kuhodhi wakimbizi ipo siku itakula kwetu
 
Asante, nitatfuta thread yake. Tanzania tu watu wa ajabu sana; tunakubali kutawaliwa na wageni kinyume cha sheria kwa kirahisi sana.

Halafu ukiwa raia na kumsema asie raia unaambiwa kuwa wewe sio Raia...............
 
duh kweli hi ni kali, inaonekana pesa na umaarufu vinasaidia sana.
wala sio pesa ki hivyo wanakwenda kama international students, wala hawahitaji criterias za home students kupata nafasi. Si ajabu kama ni mambumbu ubaki hivyo hivyo tu kama gavana wetu.
 
wewe wa wapi wacha watu wajadili;vitu kuhusu huyu fisadi anayekwepa kodi mbalimbali

 


Heshima kwako Jatropha,

Umesahau kitu kimoja muhimu sana.Kinana ni mwenyekiti wa chama cha wasomali wanaishi Tanzania na Kenya na sasa mtandao wao unazidi kupanuka ndani ya EAC.Madhumuni makuba ya chama cha ni kama ifuatavyo.

[1] Kuwasaidia wasomali kupata uraia kwa njia haramu na halali hapa nchini.Hili tayari limefanyika huko handeni wasomali walikuwa wakibembelezewa uraia wa Tanzania kitu kilichowashangaza watu wengi.

[2] Kuwasidia wasomali kupata nafasi nyeti ndani ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama eg JWTZ na TISS.Kuwasiadia wasomali kupata nafasi za kisiasa ili wasomali waendeshe mambo yao bila kuguswa na vyombo vya dola.Mfano mzuri ni huko Nzega Bashe alikuwa akimwaga fedha kama njugu bila kuguswa na TAKUKURU wala TISS.Arusha Mama batilda alikuwa akigawa fedha,kanga,kofia bila kugushwa na mtu yoyote.Jambo hili tayari limeshafanikiwa nchi Kenya Al shabab walifanikiwa kufanya mashambulizi ya kigaidi nchi Uganda wakitokea nchini Kenya.

Kenya wasomali wamenunua majumba na ardhi kwa kutumia fedha haramu za utekaji meli na sasa taratibu wanakuja Tanzania kufanya walichokifanya nchini Kenya.

Kinana ni mtu pekee anayetegemewa kuwafungulia njia salama hasa ukizingatia nafasi yake kama kampeni manage wa Muungwana hakuna atakayewasumbua wasomali kuvuruga Tanzania bali watanzania wenyewe kuamka na kuumbua Kinana na gene lake la Al shabab.

Mungu ibariki Tanznaia Mungu ibariki Afrika.
 

YES, in other words he is a backbone of Chama cha Mapinduzi.
 

Sir Andy Chande ni Freemason wa kiwango cha juu sana. Join the dots......
 
Kadogoo, sasa unaona unavyoshambuliwa? Ukitaka kuvuka maji ya mto tanguliza fimbo them mguu usiende mzima mzima. Kumbe kuna watu wanamjua kuliko wewe.
 

Hivi Mungu ataibariki vipi Tanzania wakati ninyi mnaendeleza kunawirisha mbegu za chuki katika nchi hiyohiyo unayo omba Mungu aibariki.

Huu uzandiki wa Kinana kusaidiana na Al Shabab una chembe gani ya ushahidi zaidi ya kuwa ana asili ya kisomali?? Unadhani sumu hii itaishia kwa wasomali tu na kina Kinana isifike kwa wachaga na akina LYIMO mgombea wa TLP Arusha? Muulize mwenzio Rostam na Bashe waliokuwa wakisaidia kampeni za aina hizi mwaka 2005 ladha halisi ya siasa hovyohovyo kama hizi.

Mwenzio Jatropha ambaye hapo kabla nilikuwa nadhani ana kitu kichwani naye amefikia kuhusisha PARADISE hotels na utekai nyara meli wakati wote tunajua kuwa PARADISE wamekuja Tanzania hata kabla ya masuala ya Al Shabab na utekaji nyara meli kufikiriwa. Asili ya fedha za PARADISE iko wazi kabisa lakini sio hili la Al Shabab na Piracy......The owner of Paradise alikuwa Waziri wa Fedha wa Somalia ya Said Barre kabla ya kutimka mwanzoni mwa kuanguka kwa taifa la Somalia....

Kingine ni hili la kumuhusisha Batilda Burian na usomali na utekaji nyara meli unaotaka kufanya hapa. Yaani this is what TLP candidature for parliament can offer to wanaARUSHA??? Tayari Batilda ameshakuwa MSOMALI ama kwa kuwa ni muislamu na ameolewa na Mpemba basi kwa akili yako tayari huyo atakuwa na mahusiano na AL QAEDA na Wateka nyara meli...

Acheni siasa za uzandiki hizi zilizojaa mbegu za chuki za kijamii ndipo muanze kumuomba mungu aibariki Tanzania yetu...

omarilyas
 
Hiyo ndi sababu kubwa ya wao kung'ang'nia madraka kwa gharamo zote, lakini piga ua mwisho wao unakuja hata Mobutu Seseko aliyekuwa na uweze wa kukodijeshi la nchi za west kama France na Belgium aliodoka madarakani tena kwa aibu na sasa ni historia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…