Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,669
- 698,640
Bado ni mchanga kisiasaHabari zenu wanajamvi,
Huyu Abdul nadhani atakua kasahau ama amekengeuka kidogo kwenye hili, binafsi nakumbuka kipindi cha awamu ya 4 waislam walishawahi kufanya hicho kitu na wakawa blocked!
Asijikweze, yupo anabwabwaja saizi Clouds 360.