brilliant me
Member
- Aug 1, 2024
- 39
- 52
Habari zenu mabibi na mabwana!!
Ninaomba maelekezo kwa wadau wa mazoezi na pia wale watu wote wanaotumia vifaa mbali mbali vya mazoezi, naomba mnijuze kuhusu ab roller. Je ni sahihi kwa wanawake kukitumia?
Nimekuwa nikikitumia wiki mbili sasa yani tumbo linaisha kwa kasi ya ajabu sana.. ila naogopa nisije nikawa na umbo kama la bouncer. Naomba kama kuna mtaalamu wa mazoezi na mwenye ujuzi kuhusu vifaa vya mazoezi anishauri au anitoe hofu.
Ninaomba maelekezo kwa wadau wa mazoezi na pia wale watu wote wanaotumia vifaa mbali mbali vya mazoezi, naomba mnijuze kuhusu ab roller. Je ni sahihi kwa wanawake kukitumia?
Nimekuwa nikikitumia wiki mbili sasa yani tumbo linaisha kwa kasi ya ajabu sana.. ila naogopa nisije nikawa na umbo kama la bouncer. Naomba kama kuna mtaalamu wa mazoezi na mwenye ujuzi kuhusu vifaa vya mazoezi anishauri au anitoe hofu.