A Program Note: Tutaweka Hoja Zetu Wazi

A Program Note: Tutaweka Hoja Zetu Wazi

Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa. Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna? Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!

MM

NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.

acha mzaha, unachotaka kufanya wala hakijengi bali unazidi kubomoa, huu sio wakati wa kuonyesha nani ni nani, ni wakati wa kuungana, adui yetu ni mmoja, tusianze kuonana maadui wenyewe kwa wenyewe. Au unapenda kuwa mpinzani wa kudumu?
 
Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa. Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna? Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!

MM

NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.

Flexibility in politics normally enhance winning strategy
 
As if your opinion matter... kama mtei na mbowe wamepitisha kalamu ya chuma wengine muandike maumivu. Chama kina wenyewe. Slaa alifurahia kipindi maamuzi ya wenye chama yalipokuwa yanamfavor akasahau kwamba ipo siku wenye chama watapata mwenye maslahi ya papo kwa papo zaidi yake.
Wakati zitto ananyolewa slaa hakukumbuka kupitisha mkasi. Mtu mlafi na mpenda hela na madaraka huwa hana rafiki zaidi ya maslahi yake.
Mbowe na mtei ndio wa tabia hizo
1.wapenda hela kuliko chochote
2. Wapenda madaraka
3. Wasokubali kupingwa
4. Wasio na upeo (kiakili yupo short-sited)
5. Wabinafsi (mmimi)
Mtu Mwenye sifa hizo hashindwi kuua kulinda hayo hapo juu.
Jiangalieni sana msije kufa premature death.
 
Good luck on your mission...
Ila na wewe ulichangia 'kiburi hiki cha viongozi wa CHADEMA'

Hii si mara ya kwanza wanakiuka misingi wanayojifanya kuisimamia

si chadema ni chama cha demokrasia lakini uchaguzi tu wa mwenyekiti
watu hawakuruhusiwa? au umesahau?...
hii inayotokea inaitwa 'chicken come home to roost'

Mliponyamaza wakati haki za watu wengine zinanyimwa ndani ya CHADEMA na hadi kuunga
mkono 'watu wakiminywa'
kina Kafulila,Zitto na wengi wengineo the list is endless...haya ndo mavuno now
Daahh!! Mkuu umenikumbusha Malcom X "chicken come home to roost",moja ya misemo iliyomfanya Malcom X kuwa a 'controversial' figure. The Boss
 
Last edited by a moderator:
Daahh!! Mkuu umenikumbusha Malcom X "chicken come home to roost",moja ya misemo iliyomfanya Malcom X kuwa a 'controversial' figure. The Boss

Chochote kile unachokitumia kufanikisha jambo
siku mtu au wattu wengine wakikitumia dhidi yako
huu msemo una apply sana

CHADEMA walikuwa kama kunddi la wanaharakati na sio chama cha siasa
mttu akitofautiana kidogo anaitwa msaliti na kufukuzwa au kutengwa
sasa leo ni SLAA ndo yuko tofauti na wenzake...unaweza ona kinachoendelea
 
01-Lowasa.jpg

Kuna katuni zingine ni burudani kweli
 
Nimegundua Tanzania ni nchi ya watu wa ajabu sana...
Watanzania wengi ni wabaguzi, wabinafsi na tena ni wachanga sana kwenye siasa za ukombozi...!!!
 
Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa. Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna? Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!

MM

NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.
Nilikuwa napenda sana kusoma maandishi yako lakini wa hili la Slaa na Lowassa naona umekosa mang'amuzi kabisa! You are behind the reality!!!!
 
Kweli naamini zile hela za CCM zimekufikia..mtu aliyenipa taarifa kuwa umenunuliwa na CCM kuvuruga nilijua utani sasa nimeamini..Ndugu zangu tegemeani maandiko mengi kutoka kwa huyu mtu kuanzia kesho...kama ungekuwa na nia ya dhati ungejua adui yetu ni CCM..ungetumia busara ya kubaki kimya kama ulivyobaki kimya wakati anasulubiwa Zzk..Arfi..Kafulila and the like..Wanachadema wanahitaji kuficha tofauti zao sasa ili kuitoa Ccm


Hakika hata mimi mwanzoni nilipinga sana ujio wa Lowassa lakini baada ya siku 2 na baada ya kumsikiliza Mh Mbowe nakujilidhisha kwamba adui yetu ni Ccm nimeludi kundini,na ningefurahi sana nawaasi wengine waludi.Mungu ibariki Chadema,Mungu ibariki UKAWA!
 
Yeyote anayeishi Tanzania alitegemea CDM ichukue nchi ili CCM inyee debe, lakini kama ndo hivyo tutajenga nchi? Acha watu waache mabaya wajenge nchi. Dr Slaa na wengine naheshimu maamuzi yenu sana, nchi masikini kama yetu haina watu wengi hivi
 
MM....kwavile Mungu kanipa akili....nitaitumia vyema.....haiwezekani tumpuuze Dr Slaa dakika hii.....wengine tunajua mapito yake....nitasimama nae......

Sikubaliani na wewe kama mapenzi yako uliweka kwa mtu hapo sawa lakini mapenzi yangu yapo kwa chama. Hatuwezi kuendelea kwa kupeana tuhuma zisizo na msingi wowote. Binafsi naona kama vile Dr. Slaa alikuwa ni kikwazo cha ushindi kwa Chadema kwa hiki alichokifanya sasa. Kama kweli anaushahidi kuwa Lowasa ni fisadi mbona hajampeleka mahakamani? Lowasa kasema mikono yake ni misafi waziwazi bila kuficha na kamtaja mtu ambaye mikono yake ni michafu waziwazi ulitaka ajiteteeje tena zaidi ya hapo? Kila mwanachama hata yule atakaye jiunga kesho anahaki sawa na yule aliyejiunga wakati chadema inaanza sasa kunashida gani kwa Lowasa kugombea Uraisi chadema? Bora twende kwenye uchaguzi bila Dr. slaa na tukapoteze kuliko kuwa na mtu wa aina yake ambaye ukitaka kukimbia yeye anakuvuta shati, ukutaka kuruka anakupiga mtama. Hakuna mwezi maamuzi ya juu kuliko cc na balaza kuu la chama. Afanye chochote anachoona kinafaa lakini sisi tunasonga mbele.

Watanzania tuanche kumuongelea mtu bali tuongelee issues, Dr. Slaa bila system nzuri asingekuwa na uzuri unaomuona anao leo. Slaa hawezi kitu bila Lissu, Mnyika, Mdee, Sugu, Lema, Wenjee, Mabere marando, Pr. Safari, Mboe, Salm Mwalimu. Hivyo sytem ndiyo inayo amua na siyo mtu mmoja. Tumwache mzee wa watu apumzike kwa amani maana matendo anayofanya yanaanza kuibua hisia nyingi za safari ya maisha yake tangu akiwa padri na kushawishi watu kuanza kujua kwanini aliacha kazi ya Mungu.
1. Anatabia za kikoloni
2. Anataka anachoamini yeye tuu ndiyo kiwe hivyo
3. Hamheshimu bosi wake
4.
 
Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa.

Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna?

Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.

Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!

MM

NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.
MM ni chura Wa kijani
 
Good luck on your mission...
Ila na wewe ulichangia 'kiburi hiki cha viongozi wa CHADEMA'

Hii si mara ya kwanza wanakiuka misingi wanayojifanya kuisimamia

si chadema ni chama cha demokrasia lakini uchaguzi tu wa mwenyekiti
watu hawakuruhusiwa? au umesahau?...
hii inayotokea inaitwa 'chicken come home to roost'

Mliponyamaza wakati haki za watu wengine zinanyimwa ndani ya CHADEMA na hadi kuunga
mkono 'watu wakiminywa'
kina Kafulila,Zitto na wengi wengineo the list is endless...haya ndo mavuno now

Ilifikia muda ukikosoa tu chadema, utatukanwa matusi yote ya nguoni

Niliamini ni bora uwa shape/tune au kuwatayarisha viongozi wajao kuliko walioko madarakani

kambi ya chadema ikaingiwa na matusi na defence mechanism ya hali yajuu

Mbowe hakuwa mtu wa kushaurika, kusikiliza n.k

kuna watu natamani niwataje kwa majina, wamepotea kabisa,

mliyataka haya!
 
Ilifikia muda ukikosoa tu chadema, utatukanwa matusi yote ya nguoni

Niliamini ni bora uwa shape/tune au kuwatayarisha viongozi wajao kuliko walioko madarakani

kambi ya chadema ikaingiwa na matusi na defence mechanism ya hali yajuu

Mbowe hakuwa mtu wa kushaurika, kusikiliza n.k

kuna watu natamani niwataje kwa majina, wamepotea kabisa,

mliyataka haya!

Hakuna mwalimu mzuri kama mda, wamepewa mda mwalimu ameanza kuwafunza vizuri sana. Na waliobaki wapeni mda tu.
 
As if your opinion matter... kama mtei na mbowe wamepitisha kalamu ya chuma wengine muandike maumivu. Chama kina wenyewe. Slaa alifurahia kipindi maamuzi ya wenye chama yalipokuwa yanamfavor akasahau kwamba ipo siku wenye chama watapata mwenye maslahi ya papo kwa papo zaidi yake.
Wakati zitto ananyolewa slaa hakukumbuka kupitisha mkasi. Mtu mlafi na mpenda hela na madaraka huwa hana rafiki zaidi ya maslahi yake.
Mbowe na mtei ndio wa tabia hizo
1.wapenda hela kuliko chochote
2. Wapenda madaraka
3. Wasokubali kupingwa
4. Wasio na upeo (kiakili yupo short-sited)
5. Wabinafsi (mmimi)
Mtu Mwenye sifa hizo hashindwi kuua kulinda hayo hapo juu.
Jiangalieni sana msije kufa premature death.
kwi kwi kwa kwa maccm bwana mumepata pakujipandisha chat na propaganda MM aje tu na mada zale zitasaidia kujuwa baadhi ya wanachadema wanafikiria nini ukweli kama wananchi wakiwaelewa chadema na ukawa MM naye ataelewa kwa nini CCM ing,oke mabadiriko hayana fence eti wewe usije sisi tulimwaga damu
 
kama hujui kitu ni bora kunyamaza. Zitto alipochukua form 2009 alizuiwa hata kupigiwa kura. nahapo zikaanza danadana mara wazee wakaambiwa wamshawishi ajitoe. Tena wakati huo akina bob nyange makani wakiwa hai, huyu edwin mtei unayemsikia kila siku na wengine.
kama kweli demokrasia ilikuwa inazingatiwa ni kitu gani kilichopelekea hayo yote. na baada ya hapo likaundwa zengwe la kuhakikisha zito anafukuzwa kabla ya uchaguzi uliofuta. haya unayoyasema kwa zitto ni matokeo tu na wala sio chanzo cha zitto kufukuzwa chadema hii ya wapiga dili.
hata kabla ya hapo sote tunakumbuka kilichotokea kwa chacha wangwe.
tatizo lenu mmekuwa misukule, hamuoni wala hamsikii. au ndo unaanza kujua mambo sasa hivi kwa hiyo hujui ya hapo kabla.


Acha kupotosha, Zitto hakuzuiwa kugombea uenyekiti !.

Acha kuongea statement za jumla jumla ambazo umezibadilisha kwenye fikra zako kuwa facts baada ya kusoma propaganda mbali mbali na kuamini kwamba huo ndio ukweli !

Nafikiri unamaanisha ya Zitto kufukuzwa
mimi sikulitaja hilo
mimi nalitaja la Zitto kuzuiwa kugombea uenyekiti
msingi wa demokraia ilikuwa wamshinde kwa hoja na kushawishi wanachama wasimchague
lakini sio kumzuia hata kugombea tu,wakati chama ni cha kidemokrasia

Huo ni mmoja wa mifano ambapo chama kiliuka misingi yake yenyewe tu inayojitangaza kuisimamia
na suala la Kafulila pia....tena Slaa huyu huyu ndo alikuwa jeuri kwa Kafulila...

Mkikiuka misingi kwa kuwatazama watu na kusema huyu ni sisimizi aende zake
na watu kama Mwanakijiji wakiona ni sawa...leo misingi hiyo hiyo inakiukwa tena
na sasa hivi ndio watu wanaamka kupinga...laiti mtu kama Mbowe angezoea kupingwa
toka mwanzo akileta kitu hakiko sawa..asingeleta haya ya sasa
 
Ilifikia muda ukikosoa tu chadema, utatukanwa matusi yote ya nguoni

Niliamini ni bora uwa shape/tune au kuwatayarisha viongozi wajao kuliko walioko madarakani

kambi ya chadema ikaingiwa na matusi na defence mechanism ya hali yajuu

Mbowe hakuwa mtu wa kushaurika, kusikiliza n.k

kuna watu natamani niwataje kwa majina, wamepotea kabisa,

mliyataka haya!
ha ha we are not blind propaganda hizi hazisaidii kitu
 
Acha kupotosha, Zitto hakuzuiwa kugombea uenyekiti !.

Acha kuongea statement za jumla jumla ambazo umezibadilisha kwenye fikra zako kuwa facts baada ya kusoma propaganda mbali mbali na kuamini kwamba huo ndio ukweli !

Hii ya juzi ilikuwa ni attempt ya mara ya pili kwa Zitto kutaka kugombea uenyekiti. Mara ya kwanza alizuiwa na 'wazee wa chama'. Mara ya pili, alitimuliwa wakati anapanga mikakati ya kugombea uenyekiti ambao hat aMbowe alikuwa anautaka. Ingekuwa haina shida kama Zitto angefukuza kwa makosa mengine(maana alikuwa nayo mengi) lakini sio la kupanga mikakati ya kugombea uenyekiti maana inakuwa kama Mbowe alikuwa anaogopa kushindana nae kwenye kura-kitu ambacho kinaua dhana ya demokrasia ndani ya chama.
 
Back
Top Bottom