A night in Tunduma, Pombe wanawake na ukimwi

A night in Tunduma, Pombe wanawake na ukimwi

Baada ya kipindi kirefu cha uhaba wa pesa, madeni na stress mara paah mchongo huu hapa inabidi nisafiri mpaka Border Tunduma nakabidhiwa kibunda kwa ajili ya safari na kazi, what a wonderful day nafanya clearance ya madeni yangu na tayari kwa ajili ya safari nakutanishwa na suka wa Scania R440 nyuma ikiwa na mzigo wa tani 26 ambao ndio jukumu langu kuhakikisha unafika destination husika.


Kwangu mimi sio kazi ni refreshment maana a trip with nature is very beautiful adventure safari yetu iliaanza ijumaa saa moja za usiku toka Dsm stori za hapa na pale ukweli ni zaidi ya adventure na vile kibunda kipo basi full kugombania kulipa bill pale tunaposimama kwa ajili ya chakula.
View attachment 3327879

Hatimae tukafika Tunduma jpili asubuhi kwa vile mzigo wetu ni special case tukapewa kipaumbele kufikisha kwenye ofisi za border tukafanya makabidhiano na maafisa wa border jukumu langu likawa limeisha nikatafuta sehemu nikaoga na kubadilisha nguo nikapiga menu na kupumzika kidogo.
View attachment 3327880

Sikuwa na haraka ya kurudi dar nikatenga kama siku mbili za kuexplore Tunduma ilikuwa mwendo wa mbuzi katoliki ugali na pombe kidogo sehemu niliyofikia Kuna barmaid nilimuelewa ila sikuwa na pupa kudeal naye nilipanga kumchombeza siku Moja kabla ya kuondoka ili tusizoeane kivile.


Siku Moja kabla ya kuondoka as usual nimeshiba nikaanza kupiga zangu lager taratibu huku jioni inaingia baada ya vitu kukaa nikamuita yule mrembo muonekane wake ni short chassis iliyoshiba nina experience nao hawa watu hawana kazi mbovu nikamwambia kuwa free agiza bibie mtoto hana gharama naye kaagiza local beer na kiepe stori za hapa na pale mi namzea mate balaa.


Saa saba hao mdogomdogo kwenye room niliyofikia ilikuwa ni experience ya sex tourism wote tulikuwa under influence ya alcohol kilichofanyika ni zaidi ya ufuska kinga ilitumika mara ya kwanza tu round zilizobakia ilikuwa nyama kwa nyama asubuhi ilivyofika nikampa fungu lake tukabadilishana namba Mimi huyo stendi kuanza kuitafuta Dar es salaam.


sijui yule Mwanamke alikuwa anafikiria nini.. alinitumia sms nanukuu "kwa nn jana umenitumia bila ya kondom mm mwenzako natumia dawa"
uko salama hapo hujapata ngoma
 
Baada ya kipindi kirefu cha uhaba wa pesa, madeni na stress mara paah mchongo huu hapa inabidi nisafiri mpaka Border Tunduma nakabidhiwa kibunda kwa ajili ya safari na kazi, what a wonderful day nafanya clearance ya madeni yangu na tayari kwa ajili ya safari nakutanishwa na suka wa Scania R440 nyuma ikiwa na mzigo wa tani 26 ambao ndio jukumu langu kuhakikisha unafika destination husika.


Kwangu mimi sio kazi ni refreshment maana a trip with nature is very beautiful adventure safari yetu iliaanza ijumaa saa moja za usiku toka Dsm stori za hapa na pale ukweli ni zaidi ya adventure na vile kibunda kipo basi full kugombania kulipa bill pale tunaposimama kwa ajili ya chakula.
View attachment 3327879

Hatimae tukafika Tunduma jpili asubuhi kwa vile mzigo wetu ni special case tukapewa kipaumbele kufikisha kwenye ofisi za border tukafanya makabidhiano na maafisa wa border jukumu langu likawa limeisha nikatafuta sehemu nikaoga na kubadilisha nguo nikapiga menu na kupumzika kidogo.
View attachment 3327880

Sikuwa na haraka ya kurudi dar nikatenga kama siku mbili za kuexplore Tunduma ilikuwa mwendo wa mbuzi katoliki ugali na pombe kidogo sehemu niliyofikia Kuna barmaid nilimuelewa ila sikuwa na pupa kudeal naye nilipanga kumchombeza siku Moja kabla ya kuondoka ili tusizoeane kivile.


Siku Moja kabla ya kuondoka as usual nimeshiba nikaanza kupiga zangu lager taratibu huku jioni inaingia baada ya vitu kukaa nikamuita yule mrembo muonekane wake ni short chassis iliyoshiba nina experience nao hawa watu hawana kazi mbovu nikamwambia kuwa free agiza bibie mtoto hana gharama naye kaagiza local beer na kiepe stori za hapa na pale mi namzea mate balaa.


Saa saba hao mdogomdogo kwenye room niliyofikia ilikuwa ni experience ya sex tourism wote tulikuwa under influence ya alcohol kilichofanyika ni zaidi ya ufuska kinga ilitumika mara ya kwanza tu round zilizobakia ilikuwa nyama kwa nyama asubuhi ilivyofika nikampa fungu lake tukabadilishana namba Mimi huyo stendi kuanza kuitafuta Dar es salaam.


sijui yule Mwanamke alikuwa anafikiria nini.. alinitumia sms nanukuu "kwa nn jana umenitumia bila ya kondom mm mwenzako natumia dawa"
Duh, pole mzee. Fika kituo cha afya kwanza, watajua cha kukushauri.
 
Naomba kuuliza kwani mtu akitumia dawa Kuna uwezekano wa kupata maambukizi ? Wenye elimu Dr am 4 real PhD
IMG-20250508-WA0011.jpg


Leo nilikua busy Sana hapa NIMEAMUA kujipumzisha japo naona Bado mambo ni mengi mengi.

Unaweza ku sex na muathilika kama haitatokea michubuko yaan kusiwe na blood contact with infected person..Ila Sasa ukiwa umekunywa unaichakata kisawasawa maana blood supply inakua very high kwenye kichwa Cha Chini☺️
Tafiti zinaendelea kuhusu mtu anae tumia dawa kwa usahihi account ya wadudu inapungua inasemwa.
Mambo ni mengi mno mzee muda machache ni funzo kwetu pia Kama vijana.
Piga zako tungi Ila usinunue Malaya ni risk Sana ukiwa under influence of alcohol mzee mwenzangu min_me anaelewa.
 
Ha ha haaa, kuna siku mchana ulinikuta hapo Tunduma, nikaenda kwenye Bar moja kupata lunch, kuna goma moja nililiona pale Bar nikasema huyu simuachi, ila sasa ule uzuri wake ukawa unanifanya nawaza hapa lazima mijitu kibao inaloweka! Nikaforce namba, akanipa!

Mchana huo huo nikaendelea na safari yangu kwenda Sumbawanga, kule sikukakaa sana saa nne usiku nikawa niko tena Tunduma! Sasa Mgogoro wa nafsi ukaanza baada ya kufika Lodge, akili moja inasema pigia goma lije, nyingine inasema acha ujinga, hapa ni Tunduma boda kubwa mambo Makubwa! Nikajikaza sana, sikumuita ila nilipata usingizi wa hovyo sana.
 
Back
Top Bottom