Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
- Thread starter
-
- #41
Jamani muziki unachelewa sasa mpaka tunaanza kupoteza muda na mafisadi kina Dar Es Salaam (memba JF) AKA .... in the process.
Mkjj, weka vitu mkuu!
Usidhani wamekusahau, we jipeleke hivyo hivyo. Ila nikiri jina lako huku ofisini utadhani sijui nini. Kuna mtu alikuwa anamfukuza nzi ukutani akadai "nzi wa mwanakijiji" LoL. Well wenzako wanasubiri kesho, mkifungiwa tena usilalamike kutakuwa hakuna cha BBC wala CNN.
Asante.
Nasikia DJ ndio amepata habari za CD mida hii alikuwa hayupo studio.. so tusubiri vitu in an hour or so.
Bibi Senti 50
Kumbe bado uko arobaini na saba? Kwa taharifa siku hizi tunahitaji Tanzania ya kukimbia Miaka takribani 47 tuliotambaa baada ya kupewa uhuru inatosha.
We Muziki wako wa Ekimenengule utawekewa kwenye Bodi ya CCM, huku usiangalie.
yaani huku saa nane,usiku silali mpaka nicheze
Nishatandika jamvi,ndizi mkononi,kachumbari kwa jirani nasubiria majamboz....
Muziki uko wapi jamani?? Tunateseka kwa kusubiri kwa sana!
yaani huku saa nane,usiku silali mpaka nicheze
Nasikia DJ ndio amepata habari za CD mida hii alikuwa hayupo studio.. so tusubiri vitu in an hour or so.
Embu nipe frequency nitegee mkulima wangu, niweze sikilizaMzee wa Kibaha, sisi huku tumeisha cheza tumechoka tupo halfu time tunapata togwa na juicy la ukwaju ilo changanywa na ubuyu