Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,370
- 33,016
Anapewa na Vatikan kwa sababu ipi kama sio udini? Au Vatikan huwa inatowa tuzo za "utakatifu" kwa wanasiasa ? kuwa mkweli na nafsi yako, usijisute.
Mbona kuna wanasiasa wengi tu wamewahi pewa utakatifu na wakatoliki? Hebu jishughulishe kusoma utagundua hilo