A New Collection of Nyerere's Work to be Published Next Week !

Anapewa utakatifu na Jamhuri ya Muungano ? Wee mwanamke unanuka chuki na udini. Go to hell!

Anapewa na Vatikan kwa sababu ipi kama sio udini? Au Vatikan huwa inatowa tuzo za "utakatifu" kwa wanasiasa ? kuwa mkweli na nafsi yako, usijisute.
 
Nina data na articles zimeandikwa na wasomi zinaelezea hali ya nchi ilivyokuwa wakati anaondoka Nyerere in short ilikuwa bankrupt na kuna mengi yalikuwa yamejificha na hayasemwi. Anyway mie nachukulia kama ya zamani yashapita tugange yajayo.
Kuondoka nchi ikiwa bankrupt hakuna maana kuwa uchumi haukuwahi kuwa mzuri chini ya utawala wake.Tuwe fair.

@Barubaru,sijui umri wako lakini kuna wakati kila kitu kilikuwa bure chini ya mwalimu,i mean huduma za jamii hakuna rais atakayeweza kufanya hivyo tena,tena wengi wenu mnaompinga sasa hivi mlisomeshwa bure chini ya utawala wake.

Penye ukwei semeni tu.
 
swali gumu sana kamwe hawawezi kulijibu .... kwanza kipindi cha nyerere maisha yalikuwa magumu kuliko ilivyosasa
Inategemea ni kipindi gani,acha uongo.Unakumbuka viwanda vilivyokuwa viki operate chini ya mwalimu hadi mwanzoni mwa uongozi wa Mwinyi?
 
Kuondoka nchi ikiwa bankrupt hakuna maana kuwa uchumi haukuwahi kuwa mzuri chini ya utawala wake.Tuwe fair.

@Barubaru,sijui umri wako lakini kuna wakati kila kitu kilikuwa bure chini ya mwalimu,i mean huduma za jamii hakuna rais atakayeweza kufanya hivyo tena,tena wengi wenu mnaompinga sasa hivi mlisomeshwa bure chini ya utawala wake.

Penye ukwei semeni tu.

Mushi usinifanye nikayatafuta madata ya Nyerere tosheka kwamba uchumi ulikuwa mbovu na nchi ilikuwa haina hela. Nyerere alikuwa katika same position kama Greece ilivyo sasa na pengine mbaya zaidi ndio maana akaona bora aachie ngazi. Kutoa elimu bure, matibabu bure sio sababu ya kwamba nchi ilikuwa katika hali nzuri kiuchumi kwani nchi ilikuwa kiuchumi hakui, na wala haiendi mbele na tulizidiwa na madeni na misaada kutoka kwa wafadhili hadi World Bank na IMF wakaingilia na kutoa masharti ya kuendelea kupata mikopo na misaada kuwa lazima mfumo wa kiuchumi nchini ubadilike (Economic Reforms Policy). Ndipo Nyerere akaona bora aachie ngazi kwani hali ilikuwa mbaya.
 
Labda nikujuze. Wakti wa Nyerere hakukuwa na sio tu nguo kama alizovaa yeye bali pia hata sabuni za kuogea na kufuria zote zilikuwa kwa foleni tena katika duka la kaya la mtaani kwako.

Hizo baiskeli nakumbuka aina ya Swala zilikuwa zinapatikana RTC tu nazo zilikuwa kwa mwendo wa kuruka (Ulanguzi).

Ndio maana nauliza Je tokea apewe nchi 1961 mpaka anatoka madarakani ni kipi cha kujivunia Nyerere anaweza kuwaeleza wa TZ?

Mimi ninachojua ni kuasisi ulanguzi wa bidhaa kitu kilichoendelea na kuzaa ubadhilifu na sasa Ufisadi? Wewe je unanenaje?
Mwalimu angeuza nchi mbona hivyo vingekuwa ni vitu vidogo tu?Dhana ya gap kubwa kati ya masikini na tajiri mwalimu hakuipenda.Na aligoma kuuza nchi mainly kwasababu hiyo.

Nyie watu sijui vipi,hata hao waliobobea kwa yale mnayoyayapenda,leo hii wanalalamika kuwa ni olny 1% ya wananchi kwenye taifa ni matajiri.

Na hiyo ni licha ya kufuata mfumo huo kwa karne nyingi zilizopita.
 
Kwenye uchumi ni totally failure na nyanja nyote zingine ni zaidi ya kufeli namkubali katika kuchonga tu, ni "orater" (mpiga porojo) mzuri sana na kujichekeshachekesha hovyooo.

Vipi alikua anajichekesha chekesha kama Bosi wako wa sasa? Familia yako ilikua ya Kifisadi ndio maana hutaki kumsikia huyu mzee hata siku moja.
 
Umekosea sana. Hata ngozi yake si "made in Tanzania" huoni?

weupe? LOL FF usinichekeshe..cha kuuliza hapa ni wanaopost humu JF vitu wanavyovaa ni made in where? ndipo tuta-mjudge Kikwete , ndio nakufundisha ma ujanja wangu!
 
Ndugu yangu Mwanakijiji.

Hii si kazi kisomi bali ni kazi ya kukusanya tu hotba zake alizozitoa katika shughuli zake mbalimbali na kuziweka katika ktabu kimoja.



Cha msingi hapa kama kuna mtu atajitokeza na kuandika historia yake nzima kutokea utotoni mpaka harakati za Uhuru wa Tanganyika mpaka kufa kwake. Hiyo ikajumuisha tafiti kubwa tokea kwake mwenyewe na wengine mbalimbali aliowahi kufanya nao kazi mbalimbali kwa ukaribu kwani siku zote mtu haoni mapungufu yake.

Hicho kitabu ndicho alishindwa kuandika mwenyewe na mpaka leo hakuna aliyedhubutu kukiandika. Lakini bado ni baba wa taifa
.
Tafuta kitabu cha Godfrey Mwakilagile. Kama hicho hakikutoshi kuna kingine aliandika William Edgett Smith.
 
Mushi usinifanye nikayatafuta madata ya Nyerere tosheka kwamba uchumi ulikuwa mbovu na nchi ilikuwa haina hela. Nyerere alikuwa katika same position kama Greece ilivyo sasa na pengine mbaya zaidi ndio maana akaona bora aachie ngazi. Kutoa elimu bure, matibabu bure sio sababu ya kwamba nchi ilikuwa katika hali nzuri kiuchumi kwani nchi ilikuwa kiuchumi hakui, na wala haiendi mbele na tulizidiwa na madeni na misaada kutoka kwa wafadhili hadi World Bank na IMF wakaingilia na kutoa masharti ya kuendelea kupata mikopo na misaada kuwa lazima mfumo wa kiuchumi nchini ubadilike (Economic Reforms Policy). Ndipo Nyerere akaona bora aachie ngazi kwani hali ilikuwa mbaya.
Sasa kama haushangazwi na position ya Greece,ni kwanini ushangazwe na position ya Tanzania kwa wakati huo?

Tena Greece ambayo bado ilikuwa ikifuata mfumo wa kibepari na kukumbatia masharti?

Je ina maana serikali hiyo ya Greece imekuwa kwenye hali hiyo kwa kipindi chote ilipokuwa madarakani ama ni situation iliyotokea?

Tukiangalia situations ama causes za economic down turn za both Greece and Tz,je unaweza kuona zinalingana?

Unajuwa kilichosababisha economic downturn kipindi hicho unachozungumzia?Na unajuwa ni kwanini wakahitaji hizo reforms?

Je unaweza kunihakikishia kuwa mara baada ya hizo reforms mambo yalikuwa mazuri hata kupita nyakati za utawala wa mwalimu ambapo uchumi ulikuwa mzuri tu?

Kwa maoni yangu,mojawapo ya kilicho uathiri kwa kiasi kikubwa uchumi chini ya mwalimu ni ile vita ya Uganda...Ilikuwa very costly.

Na ili ku recover,ilibidi IMF wasikilizwe in one way or another.
 
Hiyo ni media niliyotumia, nimekuwekea link kukujulisha source: utaikuta humo kwenye hiyo media. EMT nakuaminia upo juu zaidi ya haya. Ukiifunguwa hiyo link utakutana na "source raferences" ambazo ni hizi hapa kwa kukurahisishia kazi:

References
Labda turudi mwanzo. Link ya source ya Wikipedia uliyotoa haijadili tuu mabaya aliyofanya Nyerere. In deed, inamjadili Nyerere kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Ulichofanya wewe umekopi paragraph moja tuu as if hiyo article inajadili mabaya ya Nyerere tuu. This is the paragraph you copied japokuwa tena kwa kukusudia ulisepa hapo kwenye nyekundu. Kwa sababu umesema kwenye thread nyingine unatumia the latest gadget na sio laptop, then sidhani hiyo gadget iliruka hiyo sentence yenye rangi nyekundu.

"Unfortunately for Nyerere and Tanzania, this ujamaa system caused agricultural output to plummet. The deficit in cereal grains was more than 1 million tons between 1974 and 1977. Only loans and grants from the World Bank and the IMF in 1975 prevented Tanzania from going bankrupt. By 1979, ujamaa villages contained 90% of the rural population but only produced 5% of the national agricultural output.[18]Subsequently, the country fell on hard economic times which was excacerbated by a war against Idi Amin and the six year drought. Tanzania went from the largest exporter of agricultural products in Africa to the largest importer of agricultural products."

Sasa ukiangalia kwenye hiyo paragraph uliyo-quote, mwandishi ametumia reference moja tuu (footnote 18). Mwandishi huyo kwenye footnote ni Meredith, Martin (2006). The fate of Africa: from the hopes of freedom to the heart of despair : a history of fifty years of independence. Public Affairs. Sasa wewe unanimwagia list ya references za article nzima ya Wikipedia ambayo pia inaongelea the positive side ya Nyerere. Kwa maana, hiyo unatambua mazuri ya Nyerere yaliyoandikwa na hizo references ambazo hazihusiani hata kidogo na quotation yako hapo juu?

Lakini that is not my point kwa sababu kama ulivyosema unaniaminia na umesema nipo juu zaidi ya haya (I am flattered!). Sasa ngoja nikupe hayo ya juu. Kama unakumbuka huko nyuma kuna thread moja ya Nyerere ilianzishwa na Mwanakijiji, uka quote article moja iliyom-quote Karl Maier, kwenye kitabu chake kilichokuwa published mwaka 1998 ambapo anadai Nyerere alisema: "I failed. Let's admit it." Unakumbuka ile thread? Karl Maier naye alida ali-refer kwenye speech moja ya Nyerere. Tukaitafuta ile speech ya Nyerere, tukaiweka hapa, tukaisoma yote na hatukupata hiyo quotation ya Karl Maier aliyodai kuichukua kwenye hiyo speech ya Nyerere kuwa ali admit mwenyewe kuwa he was a failure. Kwa mana hiyo Karl Maier alikuwa anadanganya.

Sasa kwenye quataion yako ya leo ina-mrefer Meredith, Martin na kitabu chake ambacho possibly hujakisoma ujue kama kweli amesema hayo. Wewe umeanini tuu secondary source ya Wikipedia bila ku-very primary source i.e kitabu cha Meredith, Martin kama kweli amesema hayo. Ndio maana nilikupa yanayosemwa na Wikipedia juu ya Kikwete. Kama tunamni yaliyoandikwa na Wikipedia juu ya mabaya ya Nyerere, then tunaweza kuamini mabaya yaliyoandikwa na Wkipedia juu ya Kikwete bila hata ku-cross check references zilizotumika. Sitaki uumbuke kama ulivyoumbuka kwenye ile thread.

FF nasema usinchekeshe.
 
Mimi kama mchumi naweza kuwauliza Pro Nyerere,
Je ni kitu gani cha kiuchumi mnachoweza kumkumbaka Nyerere katika maendeleo ya Tanganyika?

We siyo mchumi ndo maana hauwezi kuona wala kukumbuka maendeleo wakati wa Mwl.Nyerere!Kama wewe ni mchumi 'unavyodai' basi, ni wa mrengo fulani na mawazo yako ni ya upande fulani tu. Najua, ukiulizwa maendeleo wakati wa Kikwete utasema yapo na kuwa nimengi zaidi!

kwa heri mie napita tu!
 
Sasa kama haushangazwi na position ya Greece,ni kwanini ushangazwe na position ya Tanzania kwa wakati huo?

Tena Greece ambayo bado ilikuwa ikifuata mfumo wa kibepari na kukumbatia masharti?

Je ina maana serikali hiyo ya Greece imekuwa kwenye hali hiyo kwa kipindi chote ilipokuwa madarakani ama ni situation iliyotokea?

Tukiangalia situations ama causes za economic down turn za both Greece and Tz,je unaweza kuona zinalingana?

Unajuwa kilichosababisha economic downturn kipindi hicho unachozungumzia?Na unajuwa ni kwanini wakahitaji hizo reforms?

Je unaweza kunihakikishia kuwa mara baada ya hizo reforms mambo yalikuwa mazuri hata kupita nyakati za utawala wa mwalimu ambapo uchumi ulikuwa mzuri tu?

Kwa maoni yangu,mojawapo ya kilicho uathiri kwa kiasi kikubwa uchumi chini ya mwalimu ni ile vita ya Uganda...Ilikuwa very costly.

Na ili ku recover,ilibidi IMF wasikilizwe in one way or another.

Ndugu,

Kilichosababisha matatizo ya Greece ni excessive government expenditure, elephant projects that yield zero or negative returns (kama olympic projects), tax evasion, corruptions, bureucracy, European Union. Hazina tofauti na Tanzania kwani Tanzania wakati wa Nyerere tulikuwa na similar scenarios kama Large government expenditure, low revenues, East African Community that we were the losing party, elephant projects, corruptions, tax evaders and bureaucracy.

Sasa niambie what is the differences? Tulikuwa tunadanganywa na wasomi wetu kuwa ati World Bank and IMF walikuwa hawana nia njema na sisi wakati ukweli wa mambo hata kama wao hawana nia njema na sisi vile vile na sie tulikuwa sehemu ya tatizo. Kwa taarifa yako matatizo ya uchumi wa Tanzania yalianzia kabla ya vita vya Uganda check your facts correct mkuu. Matatizo yetu ya uchumi yalianza miaka ya mwanzoni mwa 1970s ambapo serikali ilipoanza kutekeleza sera za vijiji. Uzalishaji ukashuka, na uchumi ukaanza kuwa unasuasa. Vile vile viwanda vikaanza kufa. Vita ya Uganda ilikuja kuongeza mzigo mwengine mzito but the problem started kabla ya hiyo nenda kasome vizuri uchumi utakuja kuniambia.
 
Labda turudi mwanzo. Link ya source ya Wikipedia uliyotoa haijadili tuu mabaya aliyofanya Nyerere. In deed, inamjadili Nyerere kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Ulichofanya wewe umekopi paragraph moja tuu as if hiyo article inajadili mabaya ya Nyerere tuu. This is the paragraph you copied japokuwa tena kwa kukusudia ulisepa hapo kwenye nyekundu. Kwa sababu umesema kwenye thread nyingine unatumia the latest gadget na sio laptop, then sidhani hiyo gadget iliruka hiyo sentence yenye rangi nyekundu.

"Unfortunately for Nyerere and Tanzania, this ujamaa system caused agricultural output to plummet. The deficit in cereal grains was more than 1 million tons between 1974 and 1977. Only loans and grants from the World Bank and the IMF in 1975 prevented Tanzania from going bankrupt. By 1979, ujamaa villages contained 90% of the rural population but only produced 5% of the national agricultural output.[18]Subsequently, the country fell on hard economic times which was excacerbated by a war against Idi Amin and the six year drought. Tanzania went from the largest exporter of agricultural products in Africa to the largest importer of agricultural products."

Sasa ukiangalia kwenye hiyo paragraph uliyo-quote, mwandishi ametumia reference moja tuu (footnote 18). Mwandishi huyo kwenye footnote ni Meredith, Martin (2006). The fate of Africa: from the hopes of freedom to the heart of despair : a history of fifty years of independence. Public Affairs. Sasa wewe unanimwagia list ya references za article nzima ya Wikipedia ambayo pia inaongelea the positive side ya Nyerere. Kwa maana, hiyo unatambua mazuri ya Nyerere yaliyoandikwa n hizo references ambazo hazihusiana hata kidogo na quotation yako hapo juu?

Lakini that is not my point kwa sababu kama ulivyosema unaniaminia kwa kusema nipo juu zaidi ya haya. Sasa ngoja nikupe haya ya juu. Kama unakumbuka huko nyuma kuna thread moja ya Nyerere ilianzishwa na Mwanakijiji, uka quote article moja iliyom-quote

Karl Maier, kwenye kitabu chake kilichokuwa published mwaka 1998 ambapo anadai Nyerere alisema: "I failed. Let's admit it." Unakumbuka ile thread? Karl Maier naye alida ali-refer kwenye speech moja ya Nyerere. Tukaitafuta ile speech ya Nyerere, tukaiweka hapa, tukaisoma yote na hatukupata hiyo quotation ya Karl Maier aliyodai kuichukua kwenye hiyo speech ya Nyerere kuwa ali admit mwenyewe kuwa he was a failure. Kwa mana hiyo Karl Maier alikuwa anadanganya.

Sasa kwenye quataion yako ya leo ina-mrefer Meredith, Martin na kitabu chake ambacho possibly hujakisoma ujue kama kweli amesema hayo. Wewe umeanini tuu secondary source ya Wikipedia bila ku-very primary source i.e kitabu cha Meredith, Martin kama kweli amesema hayo. Ndio maana nilikupa yanayosemwa na Wikipedia juu ya Kikwete. Kama tunamni yaliyoandikwa na Wikipedia juu ya mabaya ya Nyerere, then tunaweza kuamini mabaya yaliyoandikwa na Wkipedia juu ya Kikwete pia hata ku-cross check references zilizotumika. Sitaki uumbuke kama ulivyoumbuka kwenye ile thread.

FF nasema usinchekeshe.


Sasa kuna zuri hapo, ukiacha wananchi hawana hata chakula wala nguo za kuvaa, mashamba hayalimiki wakati ardhi ni safi.

Uzuri upi huo? Leo akujie muuza samaki umtoe samaki mmoja mbovu kwenye kapu utaanza kuchaguwa wazuri tena kwenye kapu hilohilo? Ustake ncheke.
 
Ndugu,

Kilichosababisha matatizo ya Greece ni excessive government expenditure, elephant projects that yield zero or negative returns (kama olympic projects), tax evasion, corruptions, bureucracy, European Union. Hazina tofauti na Tanzania kwani Tanzania wakati wa Nyerere tulikuwa na similar scenarios kama Large government expenditure, low revenues, East African Community that we were the losing party, corruptions, tax evaders and bureaucracy.

Sasa niambie what is the differences? Tulikuwa tunadanganywa na wasomi wetu kuwa ati World Bank and IMF walikuwa hawana nia njema na sisi wakati ukweli wa mambo hata kama wao hawana nia njema na sisi vile vile na sie tulikuwa sehemu ya tatizo. Kwa taarifa yako matatizo ya uchumi wa Tanzania yalianzia kabla ya vita vya Uganda check your facts correct mkuu. Matatizo yetu ya uchumi yalianza miaka ya mwanzoni mwa 1970s ambapo serikali ilipoanza kutekeleza sera za vijiji. Uzalishaji ukashuka, na uchumi ukaanza kuwa unasuasa. Vile vile viwanda vikaanza kufa. Vita ya Uganda ilikuja kuongeza mzigo mwengine mzito but the problem started kabla ya hiyo nenda kasome vizuri uchumi utakuja kuniambia.

hapo sasa.
 
weupe? LOL FF usinichekeshe..cha kuuliza hapa ni wanaopost humu JF vitu wanavyovaa ni made in where? ndipo tuta-mjudge Kikwete , ndio nakufundisha ma ujanja wangu!

Kikwete hata umpe gunia avae bado atawaka tu. hilo ji Handsome la nguvu, MashaAllah, Halafu katika Marais wanajuwa kuvunja vitu, mnhhh mkali, Alipowekwa na boyz to men utafikiri mwenzao, Hollywood wanamkubali wacha Tanzania.
 
Sasa kuna zuri hapo, ukiacha wananchi hawana hata chakula wala nguo za kuvaa, mashamba hayalimiki wakati ardhi ni safi. Uzuri upi huo? Leo akujie muuza samaki umtoe samaki mmoja mbovu kwenye kapu utaanza kuchaguwa wazuri tena kwenye kapu hilohilo? Ustake ncheke.

Huwa unanichekesha unaposepa kiaina. Jibu lako hali-relate kabisa na nilichoeleza hapo juu. Simwongelei Nyerere wala Kikwete. Nakuongelea wewe na Wikipedia yako. Lini uko free nikupeleke East Africana tukaperuz kidogo? I promise kama tukipata muda tutapitia pia ile Ph.D thesis ya Dr. Kikwete aliyopewa juzi kama tayari ameshaibind na kuiweka mle. Pia tuangalie jinsi ya kufanya collection of Kikwete's works pia.

FF usinchekeshe.
 
Kikwete hata umpe gunia avae bado atawaka tu. hilo ji Handsome la nguvu, MashaAllah, Halafu katika Marais wanajuwa kuvunja vitu, mnhhh mkali, Alipowekwa na boyz to men utafikiri mwenzao, Hollywood wanamkubali wacha Tanzania.

Hapo kwenye red usinchekeshe.
 
Mimi kama mchumi naweza kuwauliza Pro Nyerere,
Je ni kitu gani cha kiuchumi mnachoweza kumkumbaka Nyerere katika maendeleo ya Tanganyika?

Kama ni hapo kwenye red, no comment.

Kama ulimaanisha kumkumbuka then yafuatayo:-

Kusoma bure kwa wengi ambao leo ni vigogo wanaotubania sisi tusipige shule

Madini ardhini ambayo sasa hivi yanatapanywa na kusafirishwa na mchanga wake

zaidi ya state owned companies 500 ambazo wamepeana mpaka bure na wameshindwa kumaliza

na hakuwahi kupewa suti na mtu

n.k
 
Rais Mstaafu kupewa utakatifu kwa kazi ipi zaidi au huo sio udini?


Kwa sababu Nyerere akipewa utakatifu na Wakatoliki wenzake inakuuma sana na wewe tumekuruhusu umtangaze Mzee Mwinyi au hata ukipenda Kikwete awe Mtakatifu wa Taifa hili ili roho yako ipate burudani.
 
Back
Top Bottom