A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

Ajitokeze mtu upande wa wanasiasa na wana-ccm atoe hoja za ni kwa nini huduma za afya zisiboreshwe sambamba na maslahi ya watumishi wa sekta hiyo kuboreshwa kama wanavyodai madaktari; kisha na mimi nitapinga kwa kuweka sababu za uungaji wangu mkono wa mgomo wa madaktari II

Kuna watu wanapotosha kwa makusudi suala la mgomo huu. Wanatoa cheap and inconsistent reasons as if madaktari ni wakatili, wabinafsi na vitu kama hivyo. Lakini hawajiulizi uhalali na mazingira ya madai ya hawa madktari. Hawataki kufikiri kuwa kwa huduma hizo mbovu mamia ya watu wanakufa kila kona systematically.

Zomba na wenzako kweli mtakuja juta kukubali kuuza nafsi (human integrety) kwa mlo wa siku chache.


wacha choko choko au umetumwa na waarabu wewe ?? Hao hawana uzalendo kwani hawaelewi hali ya uchumi wa taifa ??? Wenzao kule Zanzibar wanapokea chini ya milioni wala hawafanyi fujo zozote , hawa vibaraka wa masultani ndio wanataka kuleta fujo wawarudishe mabwana zao
 
naandika haya kwa hasira na machozi yakinitoka kama kweli yupo mungu wa eliya mungu wa ibrahimu, isaka na yakobo hii serikali inatakiwa kung'oka madarakani kwa nguvu ya umma mapema iwezekanavyo haiwezekani kila sauti itakayonyanyuka kutetea wanyonge wao wanaizimisha. Kwa hili hatuwezi kulikubali hata kidogo. Watanzania kama mtalinyamazia hakika damu ya watu hawa itakuwa juu ya vichwa vyenu na uzao wenu. Yuko wapi captain kombe? Wapi horas kolimba? Sokoine na wengine?


hizi chochoko za mabwana zako wa kiarabu na kisultani ziwacheni ,hii ni serikali ya kiafrika ya watu weusi na kamwe hatuwezi kuchezewa na vitimbakwiri vya kiarabu na kisultani.

Tutawashughulikia vizuri hao wenye chapa ya uamsho
 
CHADEMA mkizembea hapa hamtakaa mchukue nchi hii tena,chukueni nchi hii kesho kwa kutanganza maandamano yatakayoanzia Muhimbili kwenda ikulu moja kwa moja.hawa wagonjwa ambao wako ikulu sijui na wapi huko tena,waje Muhimbili walazwe wawe chini ya senior psychiatrist Hogan kwa matibabu zaidi
 
This is old communist style(tactics) hivi kweli dunia ya sasa unaweza kufanya vitu kwa staili hii ya kizamani ?huwezi kufunga mtu mdomo kwa kutumia mbinu hii ya kizamani dunia iko macho na mambo hayo ya kibabe ya kizamani hayakubaliki
Extremely valid observation ...!!
 
Masikini Watanzania! Kwa kusahau na kudanganyika... mbona tu wepesi hivyo? Watanzania tuko mikononi mwa kundi la magaidi na wauaji wakubwa wakijiita serikali. Kwa bahati nzuri hivi sasa wanatazamana uso kwa uso na upepo wa mabadiliko, viti walivyovikalia vinapata joto na yabidi tuwe tayari kwa "the last kicks of a dying horse"

Mnakumbuka mazungumzo kati ya Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na wazee wa Dar es Salaam alipomtishia Nicholas Mgaya kuhusu mgomo uliotangazwa wa wafanya kazi? Kwa kifupi ni kuwa mgomo haukufanyika na Nicholas Mgaya yupo anadunda...hakudhurika ila kapoa kama maji ya mtungi. Nina hakika kuna siku atapata ujasiri wa kusimulia.

Kuna watu humu uchomaji wa Makanisa huko Zanzibar walidai ni kazi ya Usalama wa taifa na si wana UAMUSHO. Hao hao leo wanapinga kwa nguvu zao zote kuihusisha dola na kitendo alichofanyiwa Dr. Ulimboka! Jamani jaribuni ku"connect the dots", kuna genge linataka kama ni kuzama lizame na Watanzania milioni 40, chukueni tahadhari!
 
CHADEMA mkizembea hapa hamtakaa mchukue nchi hii tena,chukueni nchi hii kesho kwa kutanganza maandamano yatakayoanzia Muhimbili kwenda ikulu moja kwa moja.hawa wagonjwa ambao wako ikulu sijui na wapi huko tena,waje Muhimbili walazwe wawe chini ya senior psychiatrist Hogan kwa matibabu zaidi

Duh! CHADEMA tena?!

Nilifikiri ungesema watanzania wote wenye kupinga udhalimu kama huo!

Mkuu ukisubiri CHADEMA wafanye kila jambo hakika utasubiri mpaka kiama. Yaani hadi leo haujaelewa haki na wajibu wako kama raia?!

Hii nchi sasa inahitaji raia tuamke na kudai chetu na kupinga udhalimu wa serikali. CHADEMA wameshafanya kazi nzuri,kazi kwetu!
 
Kama hali ni hii basi wananchi wote wake kwa waume kesho tuanze kukusanyika viwanja vya JANGWANI(TAHIR SQUARE) kuanzia saa 2 asubuhi ili kuilazimisha serikali iliyo madarakani kujiuzuru....Hii ni nchi yetu wote.
Very bad idea. Nimeshangaa watu pia wameipenda hiyo comment yako! Fikiri zaidi... Hasa uki-refer huko Syria na kwingineko!
 
Msihitaji chukueni, hakuna serikali ya kishenzi kama hii, mnashangaa yakutaka kumuua ulimboka? je hao wagonjwa wanaouawa na migomo wakati wao wanaenda kutembelea balozi zetu kwa hela zetu, wanatula mbelel na nyuma na sisi tunawachekea, huyo kijana kwa nini wasingemuua? kusingekua na kuokolewa sasa hivi hii ni vita tupambane maana tutake tusitake hatuponi, wawachezee wakina mwakyembe wenye tamaa ambao wamebebe unafiki dr ulimboka hata kufa na ndio atabaki symbo ya ukombozi wa nchi hii
 
Katika taarifa ya habari mtu aliyekuwa akimtafuta mfululizo kwa siku tatu ni mtu wa Ikulu aitwaye kwa jina moja David na baadaye aliondoka kumfuata huyu David na baadaye akatekwa infront of him. Kwa mwenye akili anajua tu hii ni plan from somewhere
Mbona hili wala sio siri tena ... Jamaa alimpigia simu wakamalize maongezi LEADERS CLUB!!! Ulimboka akaondoka na Rafiki yake mmoja! Wakati wanongea na huyo Jamaa hakueelwana ...

Jamaa akapiga simu kwa hao wanjeshi walikuja kumburuza na kumchukua ... wakamuacha Rafiki wa ulimboka na huyo jamaa mwingine kwa kusema hatuwahitaji nyie tunamuhitaji Dr Ulimboka ....!

Rafiki wa Ulimboka ... Akapiga simu kwa waaharakati wa Haki za Binadamu ..Hellen Kijo Bisimba at al .. na usiku huo wakaanza kumtafuta na kuripoti vituoa mbalimbali vya Polisi ...lakini Kila kituo wakidai ... hamjui huyo mtu .... labda waje asubuni .... na subuhi? Wapata habari toka kituo cha polisi tegata .... kaokotwa mtu ....blabalahhhh!!

Source. Hellen Kijo Bisimba!!
 
ngoma inogile, a failed assassination plot na itaigharimu sana serikali ya nyinyiem
 
Kwakweli inaumiza sana, hivi Ulimboka anapigwa kwa vipi, hivi ni yeye aliamua Mgomo au anafanya alichotumwa na Madaktari? Kama uhusika wa serikali ktk kumpiga Ulimboka hakika inakusudi ya kuleta vurugu na migogoro na wananchi.
 
naona mkulu atakuwa alisema akikataa kutoa tamko la kusitisha mgomo muueni
 
hii ni hatar kwa nch kama tz nahc ni wkt wa ccm kila mtu achukuwe chake maana inaonekana kuwa kimekufupa!
 
Tukio hili ni kielelezo cha ukomo wa fikra kwa wakuu wa taasisi za ulinzi na usalama. Ni tukio la kufedhehesha. Tunaelekea kule walikopita Wakenya wa zama za akina Kariuki, Dk. Ouko na wengine wengi. Huku ni kurudi nyuma kifikra, kimaamuzi na kimatendo. Vitendo vya namna hii ni vya kulaaniwa
 
Kwa hali ya kawaida,tanzania wala sio ksiwa cha aman,kila akitokea mtetez wanamuua,mi na shauri na walimu nao wawe makin
 
Back
Top Bottom