Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Naona upeo wetu upo chini ndio maana tuliletewa dini tukapokea bila kuhoji! Kweli Muumba anaweza kumtoa mwanae kafara?
Inawezekana pia upo sahihi ndugu...Woga wetu kuwaogopa wenzetu
Nilimaanisha kwa wagenikufanyana misukule ni upendo pia?
Sasa nimekuelewaNilimaanisha kwa wageni
Kwa sababu hawakuhitaji wafanyakazi wa ziada, (surplus labour) waliridhika na walichokizalisha kwa wakati ule.
Mkuu, kwa maana hiyo kupenda kuridhika ni "Poverty Mentality"?UMASKINI HUO
Ukiwa na kila kitu huo niumasikini? Kwa taarifa ni Kuwa katika Karne ya 15 maendeleo ya Afrika na Ulaya uwiano ulikua karibu sawa, kasome kitabu Cha Wolter Rodney, How Europe Underdevelop Africa.UMASKINI HUO
Yusuf alikuwa mzungu aliuzwa utumwani Misri, waafrica ndio walioanza kununua watumwa kutoka uyunani na kuwaleta Africa. Piramids za Misri zilijengwa na watumwa kutoka ulaya.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;
Kwanini watu weusi walishindwa kuwa wa kwanza kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?
Kwanini wazungu/waarabu waliweza kuwa wa kwanza kuwaza kuja kuwazoa babu zetu na kuwafanya bidhaa?
Waafrika tulikosa nyenzo gani za kutufanya kuwa wa kwanza kwenda Ughaibuni kisha kuwazoa wazungu kuja kufanya kazi za kitumwa katika mashamba yatu?
Je, hii inadhihirisha ya kuwa wazungu/waarabu wana kitu cha ziada kwenye akili/bongo zao (highly intelligent) tangia zama za kale mpaka wakawaza kuja Afrika kwa mara ya kwanza?
HILI SWALI WADAU WENGI WANALIKWEPA
Je, kuna umuhimu wowote wa watu wa bara la Afrika kuendelea kulialia na kulalamikia biashara ya utumwa kama ni janga lililowarudisha nyuma kimaendeleo mpaka sasa?
NINAOMBA KUWASILISHA MADA HII FIKIRISHI. KARIBUNI SANA KWA MICHANGO YENU NDUGU ZANGU
KUMBUKA: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TAFADHALI TIMIZA WAJIBU WAKOIPASAVYO.
Mkuu, Misri sio sub saharan Africa ujue?...Yusuf alikuwa mzungu aliuzwa utumwani Misri, waafrica ndio walioanza kununua watumwa kutoka uyunani na kuwaleta Africa.
Mwanza Mwanza Yamaliza Uchaguzi Mapemaaaa Mgufuri Kushinda kwa kishindo.Kwanini mzungu awe mbali kidogo? Huu ndio msingi wa swali langu bro.
Ina maana wazungu wapo very intelligent tangia zamani sana na ndio maana wanatawala dunia mpaka sasa?
Mtu kuwa mbali ni tokeo la historia au jiografia,,,Kwanini mzungu awe mbali kidogo? Huu ndio msingi wa swali langu. Ina maana wazungu wapo very intelligent tangia zamani sana na ndio maana wanatawala dunia mpaka sasa?
Umefafanua kwa utaalam wa hali ya juu sana mkuu. Thanks.Mtu kuwa mbali ni tokeo la historia au jiografia,,,
Kwamfano hapa kwetu Tanzania kuna makabila yapo mbali kielimu au kiuchumi (kibiashara), mfano wahaya, wachagga na wanyakyusa,
Je, unadhani makabila hayo yapo very intelligence au yana kitu Mungu kawazidishia kuliko makabila mengine???
Jibu ni hapana kuna sababu za kihstoria na kigeographia kwanini wamefika hapo walipo kielimu au kiuchumi,
Pengine wazungu (wakoloni) walipofika hapa Tanzania walipendezwa na mazingira yao ya baridi (geographical) wakaamua kuweka makao maeneo yao na kujenga shule nyingi kama Kilimanjaro, mbeya na kagera, pia hata makabila yaliyowahi kufikiwa na wakoloni utaona waliwahi kupata ustaarabu mapema
Vivyo hivyo na biashara na utawala, watoto wa wakubwa (viongozi) wanauwezekano wa wao kusoma sana, au kufika nje ulaya kimasomo, au hata kuja kushika uongozi wa nchi kuliko watoto wa maskini (makapuku) mfano: Amani karuke, Hussein Mwinyi,,,, swali je, unadhani nao wako very intelligent kuliko watoto wa wengine?! Au ni incident tu ya kimazingira na kihistoria?!
Ndivyo ilivyo hata historia yetu kwanini wazungu waweze kuja kututawala na sio sisi waafrika twende kwao kuwatawala na kuwauza watumwa,
Wao wenzetu waliwahi kupata elimu na technology mapema kuliko sisi ni jambo tu la kihistoria au kigeographia, wao walikuwa karibu na Roman empire/ Greece empire (Alexander The Great) hivyo ulaya iliweza kupata ujuzi wa utawala na majeshi mapema kuliko sisi waafrika tuko mbali sana na hizo empire mpaka kuja kutufikia na kupata elimu zao na ujuzi ni mpaka kutawaliwa kama wao ulaya yote walivyotawaliwa na Roman empire!
Pamoja mkuu ,,,Umefafanua kwa utaalam wa hali ya juu sana mkuu. Thanks.
Kama Mzee wa Chadema anamkubali Rais Magufuli wewe kijana unabwabwaja ili iweje?Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;
Kwanini watu weusi walishindwa kuwa wa kwanza kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?
Kwanini wazungu/waarabu waliweza kuwa wa kwanza kuwaza kuja kuwazoa babu zetu na kuwafanya bidhaa?
Waafrika tulikosa nyenzo gani za kutufanya kuwa wa kwanza kwenda Ughaibuni kisha kuwazoa wazungu kuja kufanya kazi za kitumwa katika mashamba yatu?
Je, hii inadhihirisha ya kuwa wazungu/waarabu wana kitu cha ziada kwenye akili/bongo zao (highly intelligent) tangia zama za kale mpaka wakawaza kuja Afrika kwa mara ya kwanza?
HILI SWALI WADAU WENGI WANALIKWEPA
Je, kuna umuhimu wowote wa watu wa bara la Afrika kuendelea kulialia na kulalamikia biashara ya utumwa kama ni janga lililowarudisha nyuma kimaendeleo mpaka sasa?
NINAOMBA KUWASILISHA MADA HII FIKIRISHI. KARIBUNI SANA KWA MICHANGO YENU NDUGU ZANGU
KUMBUKA: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TAFADHALI TIMIZA WAJIBU WAKOIPASAVYO.
Hujui nguvu ya damu kwenye ulimwengu wa kiroho so just cool of. Halafu hebu fanya research ni mwanae katika context gani.Naona upeo wetu upo chini ndio maana tuliletewa dini tukapokea bila kuhoji! Kweli Muumba anaweza kumtoa mwanae kafara?
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!Kama Mzee wa Chadema anamkubali Rais Magufuli wewe kijana unabwabwaja ili iweje?
Mkuu tunajibu ki-shabiki lakini swali lako la ki-falsafa sana, natamani nikujibu ila maelezo ni marefu sana.
Imagine Phd-holder wa ki-zungu yupo maabara anatafuta dawa ya COVID-19, Phd wa Tanzania yupo msitu wa Pande na madagaska anakata mizizi kujifukiza ili apone Covid- tena kumbe kanyweshwa Juisi tu maana hata Rais wao Anaugua Corona !
PhD Mzungu akigundua hiyo dawa atauza dunia nzima, Phd wa Tanzania akipona, hajui ni jani lipi limemponyesha, na hana cha kusaidia wengine wala vizazi vyake!
UPDATE: Ile Juisi toka Madagaska iliishia wapi? Tuwape na Wenzetu Houston Texas wanakufa kweli kweli.