A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Umesema:
"Ulaya kuna kundi kubwa la mataifa ambayo huitwa "Slavonic", maana yake kiasili "slaves" = watumwa."
Siyo kweli, pitia hapa au tupatie source yako.
Kuhusu uhusiano wa jina la kundi la mataifa ya Ulaya Mashariki na "slave = mtumwa" angalia hapa:
"The English term slave derives from the ethnonym Slav. In medieval wars many Slavs were captured and enslaved, which led to the word slav becoming synonym to "enslaved person".[21][22][23] In addition, the English word Slav derives from the Middle English word sclave, which was borrowed from Medieval Latin sclavus or slavus,[22][24][25] itself a borrowing and Byzantine Greek σκλάβος sklábos "slave," which was in turn apparently derived from a misunderstanding of the Slavic autonym (denoting a speaker of their own languages)."
 
Ndio. Kumfanya mtu mwenzako mtumwa ni kitu kizuri kama kina maslahi mapana kwa taifa. It's the survival of the fittest.

Slavery was the necessary evil just like wars, na wazungu (ambao ndio wametuletea dini) walijua fika ya kuwa hili si suala jema lakini wakalazimika kulifanya kwa maana lilikuwa na maslahi makubwa kwa mataifa yao
Jibu zuri sana hili
 
Back
Top Bottom