Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
Walichapisha toleo la Machi mwaka1969 la Jarida la Ebony na kuweka picha ya Yesu Mweusi kwenye jalada.
Watu wengi katika jumuiya ya watu Weusi walikasirika sana hadi kutishia kughairi usajili wao.
Walilalamika wakasema Dunia imefika mwisho mpinga Kristo yuko kazini walimtumia Johnson picha za yesu Mzungu ili akachapishe picha za yule Mzungu ambaye wengi wanaamini ni "Yesu wa Kweli (Mzungu)".
Tunapo fundishwa kuwa Yesu ni mweupe katika akili za watu Weusi ni mojawapo ya mipango ya vita vya kisaikolojia iliyopata mafanikio makubwa zaidi katika historia ya binadamu.
Fikiria kwa kina na ujiulize swali lifuatalo:
Ikiwa kila kitu hadi rasili mali vilichukuliwa kutoka kwa watumwa (kusoma, utamaduni, lugha n.k.) kwa nini Ukristo walituachia tuabudu pamoja wakati wao walituona sisi kama Punda?
Sababu ya kweli kwa nini mabwana wa watumwa wa Afrika waliona ni muhimu kubadili watu Weusi kuwa Wakristo.
Katika kipindi cha kwanza kabla wazungu kuwageuza watu Weusi kuwafanya Wakristo kitu cha kwanza walitangaza Watu weusi si binadamu walio kamilika inatakiwa wabatizwe na waokoke.
Kwa sababu hizi wakoloni wazungu na mabwana weupe walisema kwamba watu Weusi kwa kweli hawawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu (waliodhaniwa kuwa wataingia mbinguni ni watu weupe wote) yaani wazungu wote wataingia na wataishi mbinguni.
Iliamika hivyo kutona maneno ya ubaguzi wa rangi juu yetu sisi watu Weusi wale wazungu waliowageuza mababu zetu kuwa Wakristo wao waliamini kwamba wazo la mtu mweusi kuingia mbinguni lilikuwa la kipuuzi ilikuwa nisawa mtu aseme kwamba mbwa anaweza kuingia mbinguni.
Tunapoutazama ukweli, mabwana wa watumwa weupe na wakoloni hawakutuletea Dini ili kuokoa roho za watu Weusi waingie mbinguni. .
Ukweli wa mambo ni kwamba Biblia ilitumika kuwatengeneza Waafrika katika akili zao waachane na kilakitu wahangaikie kuingia katika Ufalume wa Mungu.
Hata huko Amerika Watumwa weusi walipewa dini ya Kikristo iliyowafundisha kuamini Mungu niwa wazungu tu. (Mungu mweupe, masihi mweupe,.malaika weupe na manabii weupe).
Sababu ya kuwaletea Dini ilikuwa ni kuwaondolea kujikubali na kuingiza hadithi ya uungu wa kizungu katika akili zao za pamoja za watumwa wa Kiafrika kuamini kwamba Mungu,Yesu,Malaika na manabii wrote ni wazungu.
Picha hizi za miungu "weupe pekee" zilitengenezwa kimakusudi ili kuingiza imani potofu ya uungu mweupe katika akili za watumwa Waafrika.
Picha za mwana wa Mungu mweupe kimakusudi hutengeza dhana yenye mantiki kwamba ikiwa mwana wa Mungu ni mweupe basi Mungu (baba) lazima pia awe mweupe. Hitimisho hili la kimantiki limesababisha watu wengi Weusi kumwabudu Mungu mweupe kwa umakini.
Wakoloni weupe na watumwa walijua kwamba kwa kuwafundisha watu Weusi kumwabudu masihi mweupe na Mungu mweupe kwa uangalifu kwamba iliwafanya watu weusi wawa heshimu na kuwaogopa watu weupe wajitume bila kutumikishwa ili kuwavutia watu weupe.
Watu wengi katika jumuiya ya watu Weusi walikasirika sana hadi kutishia kughairi usajili wao.
Walilalamika wakasema Dunia imefika mwisho mpinga Kristo yuko kazini walimtumia Johnson picha za yesu Mzungu ili akachapishe picha za yule Mzungu ambaye wengi wanaamini ni "Yesu wa Kweli (Mzungu)".
Tunapo fundishwa kuwa Yesu ni mweupe katika akili za watu Weusi ni mojawapo ya mipango ya vita vya kisaikolojia iliyopata mafanikio makubwa zaidi katika historia ya binadamu.
Fikiria kwa kina na ujiulize swali lifuatalo:
Ikiwa kila kitu hadi rasili mali vilichukuliwa kutoka kwa watumwa (kusoma, utamaduni, lugha n.k.) kwa nini Ukristo walituachia tuabudu pamoja wakati wao walituona sisi kama Punda?
Sababu ya kweli kwa nini mabwana wa watumwa wa Afrika waliona ni muhimu kubadili watu Weusi kuwa Wakristo.
Katika kipindi cha kwanza kabla wazungu kuwageuza watu Weusi kuwafanya Wakristo kitu cha kwanza walitangaza Watu weusi si binadamu walio kamilika inatakiwa wabatizwe na waokoke.
Kwa sababu hizi wakoloni wazungu na mabwana weupe walisema kwamba watu Weusi kwa kweli hawawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu (waliodhaniwa kuwa wataingia mbinguni ni watu weupe wote) yaani wazungu wote wataingia na wataishi mbinguni.
Iliamika hivyo kutona maneno ya ubaguzi wa rangi juu yetu sisi watu Weusi wale wazungu waliowageuza mababu zetu kuwa Wakristo wao waliamini kwamba wazo la mtu mweusi kuingia mbinguni lilikuwa la kipuuzi ilikuwa nisawa mtu aseme kwamba mbwa anaweza kuingia mbinguni.
Tunapoutazama ukweli, mabwana wa watumwa weupe na wakoloni hawakutuletea Dini ili kuokoa roho za watu Weusi waingie mbinguni. .
Ukweli wa mambo ni kwamba Biblia ilitumika kuwatengeneza Waafrika katika akili zao waachane na kilakitu wahangaikie kuingia katika Ufalume wa Mungu.
Hata huko Amerika Watumwa weusi walipewa dini ya Kikristo iliyowafundisha kuamini Mungu niwa wazungu tu. (Mungu mweupe, masihi mweupe,.malaika weupe na manabii weupe).
Sababu ya kuwaletea Dini ilikuwa ni kuwaondolea kujikubali na kuingiza hadithi ya uungu wa kizungu katika akili zao za pamoja za watumwa wa Kiafrika kuamini kwamba Mungu,Yesu,Malaika na manabii wrote ni wazungu.
Picha hizi za miungu "weupe pekee" zilitengenezwa kimakusudi ili kuingiza imani potofu ya uungu mweupe katika akili za watumwa Waafrika.
Picha za mwana wa Mungu mweupe kimakusudi hutengeza dhana yenye mantiki kwamba ikiwa mwana wa Mungu ni mweupe basi Mungu (baba) lazima pia awe mweupe. Hitimisho hili la kimantiki limesababisha watu wengi Weusi kumwabudu Mungu mweupe kwa umakini.
Wakoloni weupe na watumwa walijua kwamba kwa kuwafundisha watu Weusi kumwabudu masihi mweupe na Mungu mweupe kwa uangalifu kwamba iliwafanya watu weusi wawa heshimu na kuwaogopa watu weupe wajitume bila kutumikishwa ili kuwavutia watu weupe.