Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,317
- 23,228
Mi sifanyi kazi? Huoni nyuzi zangu za kumsifia Rais? Au unadhani hiyo kazi unayo peke yako?Weka wewe,uliye mvivu.Hutaki kufanyakazi,unasubiri mteremko.
Mi sifanyi kazi? Huoni nyuzi zangu za kumsifia Rais? Au unadhani hiyo kazi unayo peke yako?Weka wewe,uliye mvivu.Hutaki kufanyakazi,unasubiri mteremko.
Acha unafiki wako hapa na akili ya kitotoLucas mwashambwa nakubaliana na wewe kabisa....tena kwa sasa ni asilimia 100. Hakuna anayepinga. Halafu pia usisahau kuweka na zile data tulikubaliana kuzisambaza. Safi sana... Tuwazime hawa wapinzani....
Zile tulizopewa juzi juzi hapa Lumumba umezisahau? Na IDs sasa uwe unachagua moja....maana unatumia zote kiasi sometimes tutaonekana tunachanganya Kikwajuni One .mi huwa nashauri unaamua week hii unatumia Id hii nyingine id nyingine.
Wewe Ni mnafiki Sana usiyejitambua,Mi sifanyi kazi? Huoni nyuzi zangu za kumsifia Rais? Au unadhani hiyo kazi unayo peke yako?
Kazi za mama zipo wazi na zinaonekana wazi kwa mtu asiyejipa ukipofu, kazi za mama zimegusa maisha ya wengi, Angalia namna suala la mbolea za Ruzuku namna zilivyogusa wakulima secta ambayo imeajiri mamillioni ya watanzania nchiniHuku Afrika ukiona kiongozi anategemea wapambe waonyeshe kuwa anapendwa, basi ujue ni kinyume chake. Na ushahidi ni ikifika kipindi cha uchaguzi utaona hujuma, wizi wa kura na uhayawani mwingine wa wazi ili kupata ushindi wa dhuluma.
Nani wa kuingia msituni? Aingie apambane na Nani? Wananchi walishawakataa kitambo Sana maana ninyi Ni wababaishaji, ndio maana wananchi wameendelea kuwa na Imani na CCM
Kasome utafiti wa Twaweza uone namna watanzania wanavyokubali na kuunga mkono juhudi za mh Rais wetuWananchi wana imani na CCM kwa kura za kuletwa kwenye vyumba vya kura na vyombo vya dola? Huo ujinga hata Mugabe, Elbashir, Mubarak nk waliamini wanaoongoza makondoo, siku kilinuka hawakuamini.
Kazi za mama zipo wazi na zinaonekana wazi kwa mtu asiyejipa ukipofu, kazi za mama zimegusa maisha ya wengi, Angalia namna suala la mbolea za Ruzuku namna zilivyogusa wakulima secta ambayo imeajiri mamillioni ya watanzania nchini
Angalia Ni kundi gani ambalo ukienda utakuta halijaguswa kiutendaji na mh Rais wetu? Kila sehemu mh Rais wetu kafanya kazi inayoonekana na kugusa na kubadilisha au kurahisishia maisha ya watanzania, mfano usogezaji wa huduma za Afya Elimu maji na hata umeme kumempunguzia adha mwananchi wa kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma
pia ukienda katika Elimu unakuta kafanya kazi kubwa ambapo hata mtoto aliyetokea familia maskini anao uhakika wakupata Elimu, maana kwa Sasa jukumu la Ada mpaka kidato Cha sita lipo mikononi mwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani
Maneno magumu yenye ukweli ndani yakeKwahiyo watanzania wote ni hao wanawake mama lishe na hao bodaboda?!
Ninachoshukuru ni kuwa hizi shida na ugumu wa maisha ni watu wa chini ndio wanaoteseka sababu ya kukosa kwao akili.
Huwezi kuta mtu mwenye akili zake timamu anashiriki upuuzi kama huo. Ni hao bodaboda, mama ntilie, wazee wasio na mbele wala nyuma, na wapuuzi wengine ndio kazi yao kujitokeza kwenye hizo hafla za kipuuzi ili kuambulia 5000 na kofia halafu wanarudi majumbani mwao na kulalamika nyoko nyoko nyoko tozo..... Matako yao.
Endeleeni kusapoti na mtakomeshwa tu maana nyie ndio mnabeba limsalaba la ugumu wa maisha. Matozo, maVAT, madeni na kadhalika nyie ndio mnalipishwa katika vibukubuku mnavyonyang'anywa na mgambo na tra na halimashauri.
Shenzi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana tuliwafukuza ili tujiongoze wenyewe na kujichagulia viongozi tinaowataka na kupanga mipango yetu ya maendeleo kwa manufaa yetu wenyewe Kama ilivyo kwa Sasa chini ya CCM na uongozi madhubuti wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu HassaniHata kazi za wakoloni zilikuwa zinaonekana wazi na kina Nyerere wakajipa upofu. Huko Afrika kusini kazi za makaburu mpaka leo zinaonekana. Sasa sijui akina Mandela walikuwa wanataka nini wakati maendeleo ya makaburu tunayoana mpaka leo kwa macho.
Ndio maana tuliwafukuza ili tujiongoze wenyewe na kujichagulia viongozi tinaowataka na kupanga mipango yetu ya maendeleo kwa manufaa yetu wenyewe Kama ilivyo kwa Sasa chini ya CCM na uongozi madhubuti wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani
Nenda ukawe mtumwa Hukoo walikoKwa taarifa yako, wakoloni wangekuwepo hadi leo, maendeleo yangekuwa makubwa kuliko haya ya chama cha washirikina.
Nenda ukawe mtumwa Hukoo waliko
Nenda tu utuachie nchi yetu tumaini la wanyonge na kimbilio la wengi waliokata tamaa,Naona ni kama nachelewa kwa kuendelea kuishi hapa kwenye nchi ya maiti hai.
Wewe si katibu tawala Lazima umkubaliNimetembea sehemu nyingi sana Tanzania, kwenye mikusanyiko ya watu wanampongeza Rais Samia kwa kuwa na uongozi thabiti. Mpaka jana, kulikuwa na maonyesha ya biashara ya kina mama wa kila kabila, kila dini na wa kila rangi. Maonyesho hayo yanaoitwa Women Galla.
Wanawake walileta mpaka vyakula wanavyouza mitaani(mama ntilie, huku wanaiwata mama lishe) na bidhaa mbalimbali nk. waliniambia tumefanya biashara tunamshukru Mungu, na tunamshukuru Mh. Rais Samia. Kina mama wajasiriamali waliniambia wapo hapo jana ikiwa ni siku 4 na pia wakamshukuru sana Meya wa mji huo kwa kuandaa tamasha hilo.
Na wakazi wa mji huo pia walifurahi nakusema ni ubinifu haujawahi kutokea, na kuwaletea wasanii wa Mama Kimbo, waliniambia huu ni ubunifu wa hali ya juu hasa kufanyika katikati ya mji. Vijana wengi pia walishukuru kwa kupata kazi ya usalama wa eneo husika, walipata ajira.
Pia vijana wa bodaboda, bajaji, guta ya pikipiki kwa wingi wao walishukuru sana kwa kupata abiria. Wenye maguta walikuwa wakipata bidhaa za wafanyabiashara. Bila kuwasahau wenye biashara ndogo ndogo na wenye michezo ya watoto kama magari ya watoto, mabembea nk. nao walishukuru sana.
Kwa hii hata wapumbavu wameelewa vzr,ngoja waendelee kushabikia ujinga waone kama watakula matako yao.Kwahiyo watanzania wote ni hao wanawake mama lishe na hao bodaboda?!
Ninachoshukuru ni kuwa hizi shida na ugumu wa maisha ni watu wa chini ndio wanaoteseka sababu ya kukosa kwao akili.
Huwezi kuta mtu mwenye akili zake timamu anashiriki upuuzi kama huo. Ni hao bodaboda, mama ntilie, wazee wasio na mbele wala nyuma, na wapuuzi wengine ndio kazi yao kujitokeza kwenye hizo hafla za kipuuzi ili kuambulia 5000 na kofia halafu wanarudi majumbani mwao na kulalamika nyoko nyoko nyoko tozo..... Matako yao.
Endeleeni kusapoti na mtakomeshwa tu maana nyie ndio mnabeba limsalaba la ugumu wa maisha. Matozo, maVAT, madeni na kadhalika nyie ndio mnalipishwa katika vibukubuku mnavyonyang'anywa na mgambo na tra na halimashauri.
Shenzi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa kwenye ID hii unakuwa mkali sana komredi. Tunajenga nyumba moja tunagombania fito za nini?A
Acha unafiki wako hapa na akili ya kitoto
Ukiwa kwenye ID hii unakuwa mkali sana komredi. Tunajenga nyumba moja tunagombania fito za nini? Tunakubaliana vizuri unakuja huku unanichafua. Ili ionekane we una uchungu sana? Siku ile nlikuwa nakucheck tu unavyojieleza kwa katibu kuwa sisi wengine hatufanyi kazi....Wewe Ni mnafiki Sana usiyejitambua,
Mbona kila siku nakwambia acha unafikiUkiwa kwenye ID hii unakuwa mkali sana komredi. Tunajenga nyumba moja tunagombania fito za nini? Tunakubaliana vizuri unakuja huku unanichafua. Ili ionekane we una uchungu sana? Siku ile nlikuwa nakucheck tu unavyojieleza kwa katibu kuwa sisi wengine hatufanyi kazi....
Wewe ndo mnafiki wote ofisini tunakujua.Mbona kila siku nakwambia acha unafiki