90% wanawake wametoa mimba

90% wanawake wametoa mimba

😛ound:Chanzo cha mwanamke kutoa mimba ni wewe mwanaume. Mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni wewe dume tamak rea. Kila kibaya kinachomuhusu mwanamke ktk mahusiano wewe mwanaume ndio mbaya. ie Kama nimeduu na wewe nikaconsv na ukakubali majukumu mi ninakichaa nikatoe hicho kiumbe, nizae alafu niolewe na mwingne kwa 7bu gani nawewe upo???? Ndio maana cku hizi tunawachakachua na mimba hatubebi mpk mlie na mizimu ya kwenu na mkituoa mkaleta za kuleta dawa mnaijua. :biggrin1:

we mama punguza hasiraaa................
 
chukua jina la mtoa threat pale kwenye O weka i...........molembe ukiweka mil......................................
wala msipate
 
Hii ni kweli kabisa, yaani dadas...mmmmh!!!
 
^^
Ha ha kumbe we na Nyerere ni wababe wa Wagriki, maana hata Nyerere alimpa msukosuko Mgiriki mpaka akatimka na hakuwahi kurudi Tz
^^

mkuu hata kama ni ww ukikaa karibu na hawa watu utawachoka tu! Wanaubabe wa kikolon. Nilimfanya kitu mpaka moyo wangu ukasuuzika
 
Mh.....utafiti urudiwe ili tupate takwimu zilizo sawa...
 
Back
Top Bottom